Dereva na 'Anko' wabaka mtoto wa miaka 6 Dar

Dereva na 'Anko' wabaka mtoto wa miaka 6 Dar

Bongo fleva, Singeli inachangia ubajaji, ushoga?


  • Total voters
    47
  • Poll closed .
Miaka 6 afu wanaume wawili tena kwa zamu??? Huo ni uongo manina zao wanaotaka kuichafu Bright school
Tema mate chini, shule haihusiki wanahusika wabakaji:
Hivi unajua mtoto huyo ananzishwa taratibu anapakwa mafuta anaingiziwa taratibu kila siku mpaka inaingia yote, naona wewe unatetea maslahi ila hujui watoto wa kike wanavyo nyanyaswa.
 
Wakati mwingine inategemea na mwenekano wa mtoto!unakuta litoto lina miaka 8 au kumi lakini kulingana na mivyakula anayokula anaonekana kama mtu mzima wa miaka 35,hii nayo nadhani inachangia matamanio kimaunekano
Think about what you are about to write before you post it. Kwa hiyo kama mtoto ana mwonekano mkubwa basi abakwe?

Hamna mtu mwenye umri wowote anayestahili kuingiliwa kingono pasipo consent yake.

May they rot in hell.
 
Mbna Kama unawachafua hyo shule ,hpn wee una mgogoro binafsi na shule hyo
Anaongelewa Konda na Dereva wewe unawaza habari za shule?
Hapa msomaji wa jf anahangaika vipi na shule, shule haijahusishwa na ndio maana hata polisi wamekamata dereva na konda, hata mmiliki hausiki.
Wa-Tanganyika ipo shida mahali, hakyanani.
 
Mi sio mpelelezi ila hii habari ina maswali mengi. Mtoto wa miaka 6 wanaume wawili lijali wasimuumize? Mwanamke mtu mzima ukifanya sex siku ya kwanza panauma sembuse mtoto wa miaka 6 asiumie hata kidogo?
Wanambaka peke yake tu kila siku au na watoto wengine?
Anarudishwa nyumbani saa ngapi na foleni za Dar hizi hadi wapate na muda wa kupaki gari sehemu wambake mtoto zaidi ya mara moja?

Inawezekana ni kweli ila mtoa habari haja ripoti vizuri.
Hii shule ipo Wazo sehemu gani? Naishi wazo ila siijui. Nimeangalia hata matokeo ya darada la nne na la saba mkoa wa Dar es salaam sijaiona? Au bado haijafika la nne?

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Huwa najiuliza inakuwaje ubake mtoto wa miaka 6? Hivi wanawake walivyo wengi hawawaoni?

Halafu inakuwaje gari la shule halina matron? Kwanini wazazi kwenye vikao wasilizungumzie hili swala lazima school basi iwe na matron? Ikiwezekana kuwe na michango ya kumlipa huyo matron maana ishakua balaa.
 
Huwa najiuliza inakuwaje ubake mtoto wa miaka 6? Hivi wanawake walivyo wengi hawawaoni?

Halafu inakuwaje gari la shule halina matron? Kwanini wazazi kwenye vikao wasilizungumzie hili swala lazima school basi iwe na matron? Ikiwezekana kuwe na michango ya kumlipa huyo matron maana ishakua balaa.
suala la gari la shule kuwa na MATRON ni shule za wahindi kule upanga na Posta ndio wameweka, wahindi wapo very smart, sisi huku unakuta EICHER lambagala na wale makondakta wavuta bangi ndio hao hao wanabeba wanafunzi asubuhi na jioni, kwenye basi watoto wanapigiwa singeli, huko huko kuna kabinti viko sekondari miaka 15, 16 maziwa yamesimama na wamevunja ungo, yaani wanayofanyiwa ikiundwa tume taifa litasimama.
 
Hizi kesi sio za kuamini sana, nyingi zinapikwa.

Haiingii akilini dogo wa miaka 6 abakwe na njema 2 kwa zamu na mzazi usione mabadiliko. Au ndo ile mtoto kulelewa na house girl!!

Sijaamini hili, kuna kitu kati hapo.
Ikikufikia utaamini, wewe unazungumzia miaka 6 wakatiwatu wanakula vitoto vya miaka 2 ?
 
Miaka 6 afu wanaume wawili tena kwa zamu??? Huo ni uongo manina zao wanaotaka kuichafu Bright school
Najaribu pia kutafakari naona moja haikai wala mbili haiingii...wanaume wawili wanambaka kwa zamu mtoto wa miaka sita halafu wanamrudisha nyumbani anakuwa kawaida kabisa kiasi cha mzazi au mtu mwingine yeyote kutohisi jambo analala na kesho tena wanamchukua mpaka shuleni hata walimu wake hawahisi kitu lakini muda wa kurudi tena nyumbani wanambaka kwa zamu na hali inakuwa shwari......Duuuh...kama ni kweli basi huyo mtoto hana miaka sita lakini pia ni mzoefu wa michezo hiyo ila vinginevyo kuna sababu za kibiashara na kimaslahi....

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom