Dereva na 'Anko' wabaka mtoto wa miaka 6 Dar

Dereva na 'Anko' wabaka mtoto wa miaka 6 Dar

Bongo fleva, Singeli inachangia ubajaji, ushoga?


  • Total voters
    47
  • Poll closed .
Sio kweli, labda km hujui kuhusu maumbile. Kwa mtt wa umri huo na ukiangalia muda wa tukio lilivokuaa linafanyika lazima ujiulize sana....hakuwahi kupata maumivu? Hana care giver alieweza kuona tofaut yoyote mwanzoni mana ndo time ambayo kujulikana ni rahisi
Kule kwenye uzi wa hii taarifa, niliweka dosari kwenye hiyo taarifa ila kuna jamaa akanipinga vikali akisema mi ni katili sana na sina huruma.
Watu wanafikiri kwa kutumia hisia na sio akili mkuu.
 
kama umeshasikia kesi mbalimbali huwezi kuwa na mashaka kwa maswali hayo,mara nyingi wanaowafanyia ukatili huwatishia kuwaua pindi watakaposema,siku ya kwanza mpaka ya tatu mtoto atapata maumivu kadri siku zinavyosogea atazoea
laikini hakuna mwenye uhakika hivyo ni vyema uchunguzi wa kina ukafanyika
 
Duuh mtoto wa miaka 6 kurudishwa saa 2 usiku shule gani hiyo na mzazi anaona sawa tu?
Kuna shida mahali

Ila najiuliza, wazazi hawakunotice hata mabadiliko ya kutembea au kukaa kwa mtoto wao, sababu kwa umri huo mtoto kuingiliwa kila siku lazima atakua ana maumivu mmh sintofahamu ni nyingi hapo
Hata mimi nimeshangaa, hii habari kama ni ya kweli basi mzazi naye amekwama katika malezi, jana tuliambiwa mtoto alianza kuumwa tumbo,leo tunaambiwa mzazi ali notice wakati anamuogesha
 
Du vile vitoto vya shule tunavyogombania mabasi na sisi watu wazima kumbe viko salama zaidi kuliko wanaopanda mabasi ya njano
 
Wakati mwingine inategemea na mwenekano wa mtoto!unakuta litoto lina miaka 8 au kumi lakini kulingana na mivyakula anayokula anaonekana kama mtu mzima wa miaka 35,hii nayo nadhani inachangia matamanio kimaunekano
Ww Ni mpumbavu Sana imagine angekuwa mwanao ungeandika huu ujinga, kwahiyo mtoto wako akinenepa akaanza kupendeza utatamani umwingilie Sio?

Otherwise umeandika hii comment ukiwa Na pombe kichwani mbali Na hapo ww Ni mshenzi hufai kuitwa baba.
 
Ww Ni mpumbavu Sana imagine angekuwa mwanao ungeandika huu ujinga, kwahiyo mtoto wako akinenepa akaanza kupendeza utatamani umwingilie Sio?

Otherwise umeandika hii comment ukiwa Na pombe kichwani mbali Na hapo ww Ni mshenzi hufai kuitwa baba.
hajielewi huyu na ikute ni dereva wa school bus, kuna wanao anzaga kwa kuvishika vitoto maziwa, kitoto hakijui kitu kikikua kinaingia mkenge kinavuliwa chupi, laana tupuu
 
Mi sio mpelelezi ila hii habari ina maswali mengi. Mtoto wa miaka 6 wanaume wawili lijali wasimuumize? Mwanamke mtu mzima ukifanya sex siku ya kwanza panauma sembuse mtoto wa miaka 6 asiumie hata kidogo?
Wanambaka peke yake tu kila siku au na watoto wengine?
Anarudishwa nyumbani saa ngapi na foleni za Dar hizi hadi wapate na muda wa kupaki gari sehemu wambake mtoto zaidi ya mara moja?

Inawezekana ni kweli ila mtoa habari haja ripoti vizuri.
Hii shule ipo Wazo sehemu gani? Naishi wazo ila siijui. Nimeangalia hata matokeo ya darada la nne na la saba mkoa wa Dar es salaam sijaiona? Au bado haijafika la nne?

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Una maswali ya msingi sana
 
Halafu hii tabia ya watoto kupakatana kwenye school bus wazazi inatakiwa muitazame mara mbili ndizo upromote ushoga,unalipia siti kwann mtoto apakatwe na wenzio kwa ubahili wa shule.
 
Halafu hii tabia ya watoto kupakatana kwenye school bus wazazi inatakiwa muitazame mara mbili ndizo upromote ushoga,unalipia siti kwann mtoto apakatwe na wenzio kwa ubahili wa shule.
Wanaona kwenye bongo fleva wazazi wao wanavyo pakatana, huko kwenye basi si matokeo ya walichoona?
 
Walezi wa watoto sikuizi ni wa dada wa kazi

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Na ndio uwaogesha na kuwasafisha watoto kina mama wapo bize na kuchati awagusi maji wataharibu kucha zao za kishetan.
Yaani siku hizi ni kama tumeoa house girl wanawake awafanyi kabisa majukumu yao hata wakiwa home KILA kitu dada dada.Hawa madada ambao nao wapo fully stressed kwa maudhi ya maboss zao wanawake kama anao ushetan atashindwa vipi kuanza kumchokonoa mtoto Ili kumpandikizia roho ya ushoga na uzinzi wanapowasafisha.
 
Back
Top Bottom