Dereva mzuri ni yupi?

Dereva mzuri ni yupi?

Mtavyoamua msitutoe nje ya ILANI YETU YA UCHAGUZI Na ahadi za Mgombea wetu.Ameanza kuzitekeleza mnapiga kelele.Na yote rhreads zote zinazoandikwa ama KELELE nyingi zinazopigwa MH.Raisi wetu anatekeleza kwa vitendo ahadi zake.Na anaishi kwa kauli zake na Vitendo.Tunahitaji MAENDELEO YA NCHI NZIMA na siyo Matumbo Binafsi na ya Kikundi (Cartel) Leo mmepata sms.Mh.Piga kazi Umma tuko nyuma yako
 
Mi najua hata dreva akiwaendesha mwendo mkali mnapaza sauti anapunguza mwendo, labda kama kavaa headphones!
 
K
Laɓda gari lina vyoo
lada_tank.jpg
 
Hili swali ukiwauliza wengi watakupa majibu yasiyo sahihi na kati yao tena wasomi kabisa watakwambia dereva mzuri ni yule asiyesikiliza abiria wake wanasemaje sahihi kabisa lakini ni makosa makubwa kujiaminisha kwenye dhana hii ama kudhani ndio jibu sahihi

Dereva naye ni binadamu kama binadamu mwingine yoyote sio mkamilifu ana mapungufu yake ....udereva ni fani ni ujuzi wa kusomea darasani kwa kufundishwa na wataalamu ambao nao ni binadamu vile vile

Dereva ni mmoja tu na hapaswi kuwasikiliza abiria ila hiki si kigezo cha dereva bora

Dereva bora ni yule ambaye pamoja na kufuata sheria za udereva na barabarani lakini ana tafakuri ya kuweza kuepusha ajali na kuhakikisha abiria wake wanafika safari yao salama salimini

Dereva mzuri ni yule anayehakikisha chombo chake ni kizima na hakina kasoro yoyote

Kuwa dereva mzuri kuna hitaji zaidi ya kutokuwa na misimamo isiyozingatia hekima weledi na tafakuri
Kwa dereva wa abiria, ishara kwamba anaedesha vizuri ni pale asikiapo abiria wanapiga story na kucheka. Akisikia au kuona abiria wako kimya, lazima ajitafakari kuangalia mwendo wake au uendeshaji wake. Kwa sasa SUMATRA wametoa namba kwa ajili ya abiria kutoa juu ya mwendo wa gari.
 
Ni yule aliyepitia mafunzo ya udereva na ana lesen kama haitosh ni yule anayesikiliza maoni ya abiria wake hasa anapokwenda ndivyo sivyo.
 
Tulia dereva afanye kazi yake, kama unajua ungekuwa dereva wewe sasa
 
Chombo kikienda kwa mpangilio salama kikifuata njia sahihi abiria huwa wapole na watulivu, lakini ukiona abiria wanapiga mayowe chombo hicho kinaenda mrama ama kimepotea njia hivyo dereva makini lazima atachukua tahadhari kwa kuangalia mapungufu yako wapi. Kumbuka umepakia roho za binadamu na wala sio roho za ngombe unapaswa kuwasikiliza na sio kuwapuuza.
 
Back
Top Bottom