Bob12
JF-Expert Member
- Feb 27, 2017
- 11,422
- 58,790
uko poa lakini?Duuh kumbe ulienda nawe?
mana long time sana
uko poa lakini?Duuh kumbe ulienda nawe?
Yeah me poa tu, we ndo unaadimika sana sijui majukumu ya kumlea viviuko poa lakini?
mana long time sana
Na kwambia,Yeah me poa tu, we ndo unaadimika sana sijui majukumu ya kumlea vivi
Uendeshaji tahadharishi, huyo ndiye dereva mzuri. Usipite speed kwenye makutano ya feeder roads kisa eti uko kwenye main road. Punguza mwendo maana anaweza akawa nakuja dereva tokea feeder road bila kusimama akaingia main road!Hili swali ukiwauliza wengi watakupa majibu yasiyo sahihi na kati yao tena wasomi kabisa watakwambia dereva mzuri ni yule asiyesikiliza abiria wake wanasemaje![]()
![]()
sahihi kabisa lakini ni makosa makubwa kujiaminisha kwenye dhana hii ama kudhani ndio jibu sahihi
Dereva naye ni binadamu kama binadamu mwingine yoyote sio mkamilifu ana mapungufu yake ....udereva ni fani ni ujuzi wa kusomea darasani kwa kufundishwa na wataalamu ambao nao ni binadamu vile vile
Dereva ni mmoja tu na hapaswi kuwasikiliza abiria ila hiki si kigezo cha dereva bora
Dereva bora ni yule ambaye pamoja na kufuata sheria za udereva na barabarani lakini ana tafakuri ya kuweza kuepusha ajali na kuhakikisha abiria wake wanafika safari yao salama salimini
Dereva mzuri ni yule anayehakikisha chombo chake ni kizima na hakina kasoro yoyote
Kuwa dereva mzuri kuna hitaji zaidi ya kutokuwa na misimamo isiyozingatia hekima weledi na tafakuri
Aisee poleeNa kwambia,
sasa hivi muda mwng nakua mwsho wa upepo,network mpk niende kijiji cha pili
Nikatika harakati za kumtafutia vivian mkate wa kila sikuYeah me poa tu, we ndo unaadimika sana sijui majukumu ya kumlea vivi
asanteAisee polee
Gari halina vyoo ndio maana abiria wamemwomba dreva asimame wachimbe dawaK
Laɓda gari lina vyoo
Hahaha unajua kuna wakati ukimsikiliza kiongozi tena wajuu unatamani uzibe masikio maana unakuta hukutarajia kusikia maneno fulani kutoka kwa mtu huyo na hasa ukizingatie level yake ya elimu inahitaji analysis ya mambo kwa hali ya juu.
Hivi kumbe zile namba za simu za makamanda wa polisi wanazoweka kwenye mabasi ili dereva kama hawasikilizi abiria wawapigia ni upuuzi mtupu??Barabara ina alama za kuzizingatia, ina sheria na kanuni za kufuata..... lakini nashangaa dereva anasema hapaswi kusikiliza abiria ikumbukwe Mr. dereva hii si gari binafsi
Hahaha unajua kuna wakati ukimsikiliza kiongozi tena wajuu unatamani uzibe masikio maana unakuta hukutarajia kusikia maneno fulani kutoka kwa mtu huyo na hasa ukizingatie level yake ya elimu inahitaji analysis ya mambo kwa hali ya juu.
Hivi kumbe zile namba za simu za makamanda wa polisi wanazoweka kwenye mabasi ili dereva kama hawasikilizi abiria wawapigia ni upuuzi mtupu??Barabara ina alama za kuzizingatia, ina sheria na kanuni za kufuata..... lakini nashangaa dereva anasema hapaswi kusikiliza abiria ikumbukwe Mr. dereva hii si gari binafsi
hii si gari binafsi dereva kumbuka hilo