Derby ya Kariakoo na Derby za Kwa Bed 😉🔥

Derby ya Kariakoo na Derby za Kwa Bed 😉🔥

Watu wanasema hata goli la kuku haliwahi hivi
 

Attachments

  • 2026_05_03_18.09.06.jpg
    2026_05_03_18.09.06.jpg
    134.6 KB · Views: 9
Guys leo ni weekend, tutaenda kushuhudia baadaye derby ya Kariakoo na kuona magoli ya moto 🔥
Kabla ya hiyo derby sasa, hebu tuzungumzie magoli ya kwa bed 😅
Kuna goli likifungwa unasahau kabisa kuwa mboga mboga bado wapo sana mpa ripoti ile unasahau kabisa yoooooo ni fire 🔥 😅

Ni derby gani ulikutana nayo ukasema hapa umechezwa mpira mkubwa? 😉

NB: Wanaume hakuna kiba 100, ila tu unakutana na nani 👍
Wanaume wengi hawana shida ya nguvu za kiume, shida ni kitete tu au mazingira sio mazuri.

Ni weekend yoooo… chill, relax, enjoy 😎
Kesho kazi na dawa
Kutafuta mkate👍
*NB: Wanaume hakuna kiba 100, ila tu unakutana na nani 👍
Wanaume wengi hawana shida ya nguvu za kiume, shida ni kitete tu au mazingira sio mazuri.*🤣🤣🤣🤣
 
Usinitajie mambo ya simba na yanga, najua umefurahi!!😏
Nimefurahi mpka nimefika kilele cha kwanza ila naogopa 😢
Simba nao sio wa kuwa amini 😅
 
Back
Top Bottom