Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 52,124
- 126,108
Dah 😂😅 tafuta mwenyewe
Dah 😂😅 tafuta mwenyewe
JamaniLeo makolo watakacho kutana nachoView attachment 3583121
Mdada, hv una taarifa zozote kumhusu bantu lady?Jamani
Sasa ww unazungumzia goli lipi?Goli la kwanza tayaliii🔥🔥
Watu wacheze bhana
hahaa karibu tuzogoe mkuu.Aiseeeeh!
Huyo ni bibi yako ujue😁😁😁Sizitaki mbichi hizi
Jebu jikaze huko🤨😅
Najua ndio maana nakushauri umtende vyema kama simba ambavyo kamtenda yanga kipindi cha kwanzaHuyo ni bibi yako ujue😁😁😁
*NB: Wanaume hakuna kiba 100, ila tu unakutana na nani 👍Guys leo ni weekend, tutaenda kushuhudia baadaye derby ya Kariakoo na kuona magoli ya moto 🔥
Kabla ya hiyo derby sasa, hebu tuzungumzie magoli ya kwa bed 😅
Kuna goli likifungwa unasahau kabisa kuwa mboga mboga bado wapo sana mpa ripoti ile unasahau kabisa yoooooo ni fire 🔥 😅
Ni derby gani ulikutana nayo ukasema hapa umechezwa mpira mkubwa? 😉
NB: Wanaume hakuna kiba 100, ila tu unakutana na nani 👍
Wanaume wengi hawana shida ya nguvu za kiume, shida ni kitete tu au mazingira sio mazuri.
Ni weekend yoooo… chill, relax, enjoy 😎
Kesho kazi na dawa
Kutafuta mkate👍
Dad mi sitaki bhna🫢😅*NB: Wanaume hakuna kiba 100, ila tu unakutana na nani 👍
Wanaume wengi hawana shida ya nguvu za kiume, shida ni kitete tu au mazingira sio mazuri.*🤣🤣🤣🤣
kuyaaaminaa😋😋😋😋Leo makolo watakacho kutana nachoView attachment 3583121
Usinitajie mambo ya simba na yanga, najua umefurahi!!😏Najua ndio maana nakushauri umtende vyema kama simba ambavyo kamtenda yanga kipindi cha kwanza
Nimefurahi mpka nimefika kilele cha kwanza ila naogopa 😢Usinitajie mambo ya simba na yanga, najua umefurahi!!😏
Achana na mimi....Nimefurahi mpka nimefika kilele cha kwanza ila naogopa 😢
Simba nao sio wa kuwa amini 😅
Tayali mmochoa dah furaha ya masikini haidumu 😭😭Achana na mimi....
Endelea kufurahi sasa😅😅😅
Nimekaribia mkuu.hahaa karibu tuzogoe mkuu.
Eti umesema?Wanisaidie tu nishachoka bwana😁😁