ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 6,287
- 15,242
- Thread starter
- #41
😀Ntumie private 😎
😀Ntumie private 😎
Unanikosea sana ujue!😏Kijukuu kimbea hiki🙆♂️
Mtu asiseme he babu mwache bibi anguUnanikosea sana ujue!😏
Hii ni ajira ya full time kwa watu wote wenye afya njema. Vipi wewe baada ya Simba na Yanga unaingia ulingoni?Anyway vipi kabumbu ya kwa 6×6
Hiyo si bado ipo top au nayo ndio basi😢
Mie nitangalia kipindi cha kwanza tu cha pili magoli yatafungwa inside 😀Hii ni ajira ya full time kwa watu wote wenye afya njema. Vipi wewe baada ya Simba na Yanga unaingia ulingoni?
Vunja mifupa maisha ni haya haya.Mie nitangalia kipindi cha kwanza tu cha pili magoli yatafungwa inside 😀
😀😀Vunja mifupa maisha ni haya haya.
Kwanza unaongelea derby ipi mkuu?Guys leo ni weekend, tutaenda kushuhudia baadaye derby ya Kariakoo na kuona magoli ya moto 🔥
Kabla ya hiyo derby sasa, hebu tuzungumzie magoli ya kwa bed 😅
Kuna goli likifungwa unasahau kabisa kuwa mboga mboga bado wapo sana mpa ripoti ile unasahau kabisa yoooooo ni fire 🔥 😅
Ni derby gani ulikutana nayo ukasema hapa umechezwa mpira mkubwa? 😉
NB: Wanaume hakuna kiba 100, ila tu unakutana na nani 👍
Wanaume wengi hawana shida ya nguvu za kiume, shida ni kitete tu au mazingira sio mazuri.
Ni weekend yoooo… chill, relax, enjoy 😎
Kesho kazi na dawa
Kutafuta mkate👍
Derby ya kulombana mkuuKwanza unaongelea derby ipi mkuu?
Habari za mchana?Unanikosea sana ujue!😏
Naam mhaini kwenye moja na mbili😂Guys leo ni weekend, tutaenda kushuhudia baadaye derby ya Kariakoo na kuona magoli ya moto 🔥
Kabla ya hiyo derby sasa, hebu tuzungumzie magoli ya kwa bed 😅
Kuna goli likifungwa unasahau kabisa kuwa mboga mboga bado wapo sana mpa ripoti ile unasahau kabisa yoooooo ni fire 🔥 😅
Ni derby gani ulikutana nayo ukasema hapa umechezwa mpira mkubwa? 😉
NB: Wanaume hakuna kiba 100, ila tu unakutana na nani 👍
Wanaume wengi hawana shida ya nguvu za kiume, shida ni kitete tu au mazingira sio mazuri.
Ni weekend yoooo… chill, relax, enjoy 😎
Kesho kazi na dawa
Kutafuta mkate👍
Astakafirilah
Sisi wenye vibamia tumeionea Wivu gunia, tunatamani sisi Ndo tungekuwa gunia



Aisee 😂Mie nitangalia kipindi cha kwanza tu cha pili magoli yatafungwa inside 😀
Du! Nikafukiri ya Kariakoo. Kama derby yenyewe ni hii, ngoja nipite huku. Siiwezi.Derby ya kulombana mkuu
Asalamaleko 😎Derby ya kulombana mkuu