Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,903
- 1,053
Rutunga kwa kuongezea lini wana ngara waliwahi kusema hatukupata mbunge safi? Maskini wana ngara kila msimu wa uchaguzi uja na kauli hizo hizo kuwa wamepata chaguo bora kisha uangukia pua. Ngoja utasikia wewe mwenyewe.Ebu jibu Ndiyo au Hapana kwa haya1.Ntukamazina hakuwahi kufanya kamepeini kwa kuwa aliugua kiharusi2.Kwenye mikutano yake ya kampeini CCM walikuwa wakitumia picha yake kumnadi3.Ametanagzwa mshindi kupitia CCM kwa kura nyingi.4.Mpaka sasa amelazwa nyumbani baada ya kutoka India kwenye matibabu.5.Ntukamazina hawezi kusimama,wala kutembea6.Hataweza kwenda bungeni kutokana na ugonjwa wa kiharusi unaomsumbua.7.Wana Ngara wamepata mbunge makini LAKINI hatawawakilisha BungeniMengine yatafuata baada ya kujibiwa hayo