Elections 2010 Deogratias Ntukamazina, nuru mpya ya wana Ngara!!

Ebu jibu Ndiyo au Hapana kwa haya1.Ntukamazina hakuwahi kufanya kamepeini kwa kuwa aliugua kiharusi2.Kwenye mikutano yake ya kampeini CCM walikuwa wakitumia picha yake kumnadi3.Ametanagzwa mshindi kupitia CCM kwa kura nyingi.4.Mpaka sasa amelazwa nyumbani baada ya kutoka India kwenye matibabu.5.Ntukamazina hawezi kusimama,wala kutembea6.Hataweza kwenda bungeni kutokana na ugonjwa wa kiharusi unaomsumbua.7.Wana Ngara wamepata mbunge makini LAKINI hatawawakilisha BungeniMengine yatafuata baada ya kujibiwa hayo
Rutunga kwa kuongezea lini wana ngara waliwahi kusema hatukupata mbunge safi? Maskini wana ngara kila msimu wa uchaguzi uja na kauli hizo hizo kuwa wamepata chaguo bora kisha uangukia pua. Ngoja utasikia wewe mwenyewe.
 
Ndugu Ngongo mbunge wetu Ngara aliwahi kuwa Katibu mkuu wa utumishi, Ndugu Rutanga aisee kweli wewe umenisikitisha sana hivi wewe pole kwa kuwa na chuki moyoni kiasi hiko kwa mbunge wetu, hivi hiko kiharusi ulimpa wewe? pleease hizo sala zako za kumuombea mbunge wetu zishindwe katika jina la YESU mbunge wetu haumi ni mzima na nakuomba usikose kukodolea macho wabunge watakapokuwa wanaapishwa huko Dodoma ili uweze kumuona mbunge wetu wa Ngara na nitaleta picha huku akiwa anaapishwa ili uzomewe na uongo wako wa duu!! duniani kuna mambo!!
Mficha ugonjwa ekililo kilambula. Alisema Nyerere
 
Ha haaa, we ndugu yangu Rutunga kweli story yako inaendana na jina lako ni ya kutunga! sasa nakuweka sawa,usisikie poroja za kihuni za wafama maji au wenye wivu wanaokaribia kujinyonga,Huyu jamaa (mbunge mteule) ni mwadilifu kupita maelezo, ni mchapa kazi wa kuigwa ,ana uzalendo kwa nchi hii na record yako inathibitisha hivyo,now what happened is siku chache kable cam[paign kuanza alipata ajali jumapili moja akitoa kanisani kumcha Mungu kama ilivyo desturi yake.ajali ilitokea pale mlalakuwa alikuwa akiendeshwa na mwanae mmoja wa kiume, alipata mshituko sehemu ya shingo kwa sababu alikuwa anasoma gazeti wakati ajali hiyo inatokea,mimi binafsi ni kati ya watu wa kwanza kabis kuifka eneo la ajali,ambayo haikuwa ya kutisha sana,tulimpeleka hopitali akapimwa akapewa matibabu na kuruhusiwa siku hiyo hiyo ya jumapili, lakini maumivu yalipomzidia alishauriana na familia yake na chama chake na kwa kuwa hana mzaha na afya yake aliamua kwenda India kupata matibabu ya uhakika ambako alikaa for ten days na kurudi ngangari kuwahi kuelekea Ngara kuendelea na kampeni ambako amewabwaga wapinzani kwa kishindo plus wabaya wake wote .sasa unaposema hatembei hasimami una maana watu wangara wote ni wapumbavu kumpeleka mjengoni mgonjwa? alifanya je kampeni majimbo yote 20 ya ngara na kumpatia ushindi wa kishindo JK wa 84%? wewe ungeijua jiografia ya ngara ilivyo iusingeandika upuuzi kama huo,kule lazima uwe ngagari kinoma, the weakest fell by the way!! anayetaka kumuona mheshimiwa huyu anijulishe nimpangie mihadi ajionee alivyo mzima wa afya yupo nyumbani kwake mbezi beach akisubiria kuapishwa aingie mjengoni kuwatumikia wa Tanzania wenzake,Mungu mbariki mtumishi wako Deo Ntukamazina,Mungu ibariki Tanzania,JK mchapakazi muadilifu huyo wanangari wamekupa mtumie kadri uwezavyo, nasi tuko nanyi kwa maendeleo ya nchi tuachane na porojo, za wanafiki wafamaji.
????:nono: Hapo sasa! Nilitegemea utasema amuone nyumbani kwake Ngara! haya bwana mie simo kama Ngara wameuziwa mbuzi kwenye gunia!
 
Ha haaa, we ndugu yangu Rutunga kweli story yako inaendana na jina lako ni ya kutunga! sasa nakuweka sawa,usisikie poroja za kihuni za wafama maji au wenye wivu wanaokaribia kujinyonga,Huyu jamaa (mbunge mteule) ni mwadilifu kupita maelezo, ni mchapa kazi wa kuigwa ,ana uzalendo kwa nchi hii na record yako inathibitisha hivyo,now what happened is siku chache kable cam[paign kuanza alipata ajali jumapili moja akitoa kanisani kumcha Mungu kama ilivyo desturi yake.ajali ilitokea pale mlalakuwa alikuwa akiendeshwa na mwanae mmoja wa kiume, alipata mshituko sehemu ya shingo kwa sababu alikuwa anasoma gazeti wakati ajali hiyo inatokea,mimi binafsi ni kati ya watu wa kwanza kabis kuifka eneo la ajali,ambayo haikuwa ya kutisha sana,tulimpeleka hopitali akapimwa akapewa matibabu na kuruhusiwa siku hiyo hiyo ya jumapili, lakini maumivu yalipomzidia alishauriana na familia yake na chama chake na kwa kuwa hana mzaha na afya yake aliamua kwenda India kupata matibabu ya uhakika ambako alikaa for ten days na kurudi ngangari kuwahi kuelekea Ngara kuendelea na kampeni ambako amewabwaga wapinzani kwa kishindo plus wabaya wake wote .sasa unaposema hatembei hasimami una maana watu wangara wote ni wapumbavu kumpeleka mjengoni mgonjwa? alifanya je kampeni majimbo yote 20 ya ngara na kumpatia ushindi wa kishindo JK wa 84%? wewe ungeijua jiografia ya ngara ilivyo iusingeandika upuuzi kama huo,kule lazima uwe ngagari kinoma, the weakest fell by the way!! anayetaka kumuona mheshimiwa huyu anijulishe nimpangie mihadi ajionee alivyo mzima wa afya yupo nyumbani kwake mbezi beach akisubiria kuapishwa aingie mjengoni kuwatumikia wa Tanzania wenzake,Mungu mbariki mtumishi wako Deo Ntukamazina,Mungu ibariki Tanzania,JK mchapakazi muadilifu huyo wanangari wamekupa mtumie kadri uwezavyo, nasi tuko nanyi kwa maendeleo ya nchi tuachane na porojo, za wanafiki wafamaji.



Hapo kwenye red....kampeni ya wazi wazi ya kupata Uwaziri.
Ngara na wenzio (jamaa za Mhe Mbunge), hebu tupeni majibu ya maswali yafuatayo:
1. Alipokuwa Katibu Mkuu Utumishi wa Umma Ntukamazina alifanya jambo gani la tofauti la kukumbukwa na watumishi wa Umma;
2. Mhe Mbunge mteule wenu ana ajenda gani ya kimaendeleo kwa Watanzania, na wana Ngara? What is his mission?
Kama ni kutafuta cha kum-keep busy hatumtaki....nataka majibu ya kuridhisha
 
Ana asili ya Rwanda au Burundi? Amewaingiza serikalini watu wengi sana wa aina hiyo. Hawa ni kati ya wazee ambao wananalishusha hadhi Bunge letu kwa kulifanya sehemu ya kustafia wakati wengi wetu tunatarajia makubwa kutoka Bunge hili. Nadhani itungwe sheria kuwazuia wazee kama hawa ambao wamechoka kwenda kumalizia maisha yao Bungeni. Kuna kamtindo ka MAkatibu wakuu wastaafu, wakurugenzi wa Taasisi za UMMA wastaafu, wakuu wa vyombo vya DOLA wastaafu( Mboma, Tibaigana,......) kuingia CCM haraka wakishastafu halafu wanaibukia majimboni.
Akianani huyu mlevi Tibaigana kama angepata nafasi ya kwenda bungeni ningehama nchi hii........ sijui angesema nini au kufanya nini zaidi ya kuongeza ulevi. Hawa ndio aina ya watu inawapenda sisi m bahati alitokea mama yule Professor kuokoa jahazi.
 
Ndugu Ngongo mbunge wetu Ngara aliwahi kuwa Katibu mkuu wa utumishi, Ndugu Rutanga aisee kweli wewe umenisikitisha sana hivi wewe pole kwa kuwa na chuki moyoni kiasi hiko kwa mbunge wetu, hivi hiko kiharusi ulimpa wewe? pleease hizo sala zako za kumuombea mbunge wetu zishindwe katika jina la YESU mbunge wetu haumi ni mzima na nakuomba usikose kukodolea macho wabunge watakapokuwa wanaapishwa huko Dodoma ili uweze kumuona mbunge wetu wa Ngara na nitaleta picha huku akiwa anaapishwa ili uzomewe na uongo wako wa duu!! duniani kuna mambo!!

USHINDI WAKE SI WA MIZENGWE???? KAMA NI WA MIZENGWE a.k.a CHAKACHUA NI WALEWALE!!
 
Hivi huyu jamaa anaeongelewa hapa ndo huyu hapa au mwingine? Manake kama ndo huyu kuna walakini

Mchangiaji Namaki amemtaja mgombea wa jimbo la Ngara kana Nuru Mpya kwa maendeleo ya Ngara. Nilitegemea atuambie baadae kuwa NURU MPYA IMEFIFIA. Baada ya kushindwa kuanza kampeni kutokana na matatizo ya afya ya muda mrefu ya Bw. Ntukamazina, tulitegemea wananchi wa Ngara kuambiwa ukweli juu ya afya yake. Ukweli ni kwamba kazi ya ubunge haiwezi tena hata kama CCM wanahaha kumpitisha huku wakikampeini kwa kuonyesha picha yake tu.
Aidha kashfa ya kutembea na mtoto mdogo wa Form I iliyotoka kwenye mtandao ni ya kweli. Jambo ambalo halikuelezwa ni kwamba mhanga wake huyo ni binti wa jirani yake waliosoma pamoja enzi za Middle school. Mimi nimefanya kazi chini yake pale Utumishi. Mwandiko ule haina shaka lolote kuwa ni wa kwake na haujabadilika tangu nimfahamu. Namba ya simu iliyowekwa ni ya kwake na imebadilika kuwa 0784. Si hayo tu, pale ofisini utumishi aliigeuza ofisi yake kuwa chumba cha kulala na wanawake na hata masekretari wake. Huyu ni FATAKI wa muda mrefu na ugonjwa wake wa mgongo unaweza kutokana na overuse!

Mpaka sasa wanaomtetea kwenye mtandao hawamjui na kama wanamjua, ni makuwadi wake. Tungependa ajitokeze hadharani na kukanusha kama yeye siye mwandishi wa barua ile kwa kabinti kale. Tayari sisi tumekwisha kupeleka mwandiko wa barua ile kwa wataalamu na wamelinganisha mwandiko na dokezo la ofisini aliloliandika kwa mkono wake. Hakuna shaka. Akanushe hadharani halafu tuuthibitishie umma. Tutatoa ushahidi zaidi wa vetendo vyake vichafu kwa watoto wa marafiki zake waliomwamini ikiwa ni pamoja na mwanajeshi ndugu yake aliyefariki na kumwachia kuangalia familia yake.
Hii thread below naona kama inaelezea mengi ya watu hawa:
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...kongwe-wa-ccm-na-tanu-ajiunga-na-chadema.html
 
baada ya kugundua kwamba kuanzia mwezi wa kumi kuna uchafu mwingi una kuwa posted hapa janvini ambao unachosha macho na akili, nimeamua kuangalia umri wa member kisha hoja yake kabla ya kuamua nishiriki katika mjadala au la. fuatilia umri wa wachangiaji katika thread hii kuanzia juu, kisha tathmini hoja yenyewe.
 
Mimi nina mashaka kidogo na ukali wake. Huyu ni mwenyekiti wa bodi ya shirika moja la umma. Lakini sidhani kama amefanikiwa sana kunyoosha yale yanayopindishwa na mkurugenzi mkuu wa shirika hilo la uma ambaye amegeuza shirika kuwa kituo cha majungu. Watu wanahamishwa na kubadilishwa vyeo bila kujali ufanisi ila majungu na taarifa za kipuuzi (Na mengine mengi, lakini hapa sio jukwaa lake). Ameingia kwenye mkumbo wa kuhadaiwa na mkurugenzi huyu asiye na maadili. Kama mwenyekiti wa bodi nadhani ana nguvu lakini kuna mambo kadhaa na yeye ameyaendekeza akiwa anayaona kabisa. Sina uhakika kama ni upole au kuna lingine, ila natilia shaka uadilifu wake. Inawezekana ni afadhali kuliko wengine lakini tusitoe sifa zilizopitiliza
 
baada ya kugundua kwamba kuanzia mwezi wa kumi kuna uchafu mwingi una kuwa posted hapa janvini ambao unachosha macho na akili, nimeamua kuangalia umri wa member kisha hoja yake kabla ya kuamua nishiriki katika mjadala au la. fuatilia umri wa wachangiaji katika thread hii kuanzia juu, kisha tathmini hoja yenyewe.
Umri wa mchangiaji katika forum ni immaterial. Majority wamejiunga katika kipindi cha kuelekea uchaguzi si kwamba ni wapya mzee, bali waamebadili identity kwa sababu mbalimbali. Kuna watu ni members since Jambo Forum.
 
Ngara, nakukubali. Regardless of the party, kama mtu ni mzuri ni mzuri tu na lazima tuseme hivyo!!!!!!!
 
Wasiwasi wangu asije akawa kati ya wale wanaokua wanaongea kama wana uchungu na nchi then anapomalizia hoja anasema " Naunga hoja kwa asilimia mia" wakati ndani ya hotuba ameonyesha kutokukubaliana na hoja.
 
Asije akawa anauma na kupulizaaaaaaaaa
Alafu iyo Surname sio ya kule kwa mzee Kagame?
 
Wasiwasi wangu asije akawa kati ya wale wanaokua wanaongea kama wana uchungu na nchi then anapomalizia hoja anasema " Naunga hoja kwa asilimia mia" wakati ndani ya hotuba ameonyesha kutokukubaliana na hoja.

Usinikumbushe waliyotufanyia akina Mwakyembe, Anna Kilango, Sitta na wenzao hoja ya RichMond!! Unafiki mtupu ndio wanasiasa wetu wa Kijani hao!!!:A S angry::A S angry::A S angry::A S angry:
 
Usinikumbushe waliyotufanyia akina Mwakyembe, Anna Kilango, Sitta na wenzao hoja ya RichMond!! Unafiki mtupu ndio wanasiasa wetu wa Kijani hao!!!:A S angry::A S angry::A S angry::A S angry:
hawa watu wa kijani bwana They mean what they do not say and they say what they do not mean. Wanadai eti wanadumisha Amani na utulivu ni kweli jamani kwa mwenendo huu wa kuchakachua kura na kutumia mabomu ya machozi
Hawa wanawajengea wananchi usugu maana baadae tutayazoea mabomu ya machozi wataamua kuanza kutumia yenyewe na hapo sasa amani itakua haipo kabisa
 
Ndugu Ngongo mbunge wetu Ngara aliwahi kuwa Katibu mkuu wa utumishi, Ndugu Rutanga aisee kweli wewe umenisikitisha sana hivi wewe pole kwa kuwa na chuki moyoni kiasi hiko kwa mbunge wetu, hivi hiko kiharusi ulimpa wewe? pleease hizo sala zako za kumuombea mbunge wetu zishindwe katika jina la YESU mbunge wetu haumi ni mzima na nakuomba usikose kukodolea macho wabunge watakapokuwa wanaapishwa huko Dodoma ili uweze kumuona mbunge wetu wa Ngara na nitaleta picha huku akiwa anaapishwa ili uzomewe na uongo wako wa duu!! duniani kuna mambo!!

We should care about the integrity of the individual and not his or her party.come ö pple
 
Ha haaa, we ndugu yangu Rutunga kweli story yako inaendana na jina lako ni ya kutunga! sasa nakuweka sawa,usisikie poroja za kihuni za wafama maji au wenye wivu wanaokaribia kujinyonga,Huyu jamaa (mbunge mteule) ni mwadilifu kupita maelezo, ni mchapa kazi wa kuigwa ,ana uzalendo kwa nchi hii na record yako inathibitisha hivyo,now what happened is siku chache kable cam[paign kuanza alipata ajali jumapili moja akitoa kanisani kumcha Mungu kama ilivyo desturi yake.ajali ilitokea pale mlalakuwa alikuwa akiendeshwa na mwanae mmoja wa kiume, alipata mshituko sehemu ya shingo kwa sababu alikuwa anasoma gazeti wakati ajali hiyo inatokea,mimi binafsi ni kati ya watu wa kwanza kabis kuifka eneo la ajali,ambayo haikuwa ya kutisha sana,tulimpeleka hopitali akapimwa akapewa matibabu na kuruhusiwa siku hiyo hiyo ya jumapili, lakini maumivu yalipomzidia alishauriana na familia yake na chama chake na kwa kuwa hana mzaha na afya yake aliamua kwenda India kupata matibabu ya uhakika ambako alikaa for ten days na kurudi ngangari kuwahi kuelekea Ngara kuendelea na kampeni ambako amewabwaga wapinzani kwa kishindo plus wabaya wake wote .sasa unaposema hatembei hasimami una maana watu wangara wote ni wapumbavu kumpeleka mjengoni mgonjwa? alifanya je kampeni majimbo yote 20 ya ngara na kumpatia ushindi wa kishindo JK wa 84%? wewe ungeijua jiografia ya ngara ilivyo iusingeandika upuuzi kama huo,kule lazima uwe ngagari kinoma, the weakest fell by the way!! anayetaka kumuona mheshimiwa huyu anijulishe nimpangie mihadi ajionee alivyo mzima wa afya yupo nyumbani kwake mbezi beach akisubiria kuapishwa aingie mjengoni kuwatumikia wa Tanzania wenzake,Mungu mbariki mtumishi wako Deo Ntukamazina,Mungu ibariki Tanzania,JK mchapakazi muadilifu huyo wanangari wamekupa mtumie kadri uwezavyo, nasi tuko nanyi kwa maendeleo ya nchi tuachane na porojo, za wanafiki wafamaji.



Kwenye hiyo blue nipate majibu

Hivi yupo Ngara au Mbezi Beach ya Ngara,Je kwenye kamnpeini hawakutumia picha yake badala yake huku mke wake akitumika kumuombea kura mmewe mgonjwa

Hivi unajua mimi niko wapi,Je kama nipo ngara kwenye timu iliyokuwa ya kampeini,Wewe ni mgeni humu JF kuwa makini,utaumbulkiwa hata unayopanga na mkeo.

Ntukamazina ni mtu safi hata kule Mfuko wa bima ya afya wanajua hilo,nimezunguka naye mikoa 7 nchini namjua vizuri pengine kuliko yeye,nimekwisha mpigia simu kumpongeza lakini issue hapa ni kuwa wana ngara wamechagua mtu mgonjwa ambaye ugonjwa wake unaweza kusababisha hasifike bungeni(Sipendi iwe hivyo)

Endelea kujibu
 
Ndugu Ngongo mbunge wetu Ngara aliwahi kuwa Katibu mkuu wa utumishi, Ndugu Rutanga aisee kweli wewe umenisikitisha sana hivi wewe pole kwa kuwa na chuki moyoni kiasi hiko kwa mbunge wetu, hivi hiko kiharusi ulimpa wewe? pleease hizo sala zako za kumuombea mbunge wetu zishindwe katika jina la YESU mbunge wetu haumi ni mzima na nakuomba usikose kukodolea macho wabunge watakapokuwa wanaapishwa huko Dodoma ili uweze kumuona mbunge wetu wa Ngara na nitaleta picha huku akiwa anaapishwa ili uzomewe na uongo wako wa duu!! duniani kuna mambo!!

Ngara wamchagua chama wala si mtu. Habari za uchamungu sina uhakika nazo ila hapa JF kulikuwa na thread moja iliyoongelea kuhusu barua yake ya mapenzi na mwanafunzi wa shule ya sekondari wakati amestaaf ukatibu mkuu. hata hivyo, yetu macho. 2010 to 2015 siyo mbali tutaona jinsi atakavyoifanya Ngara kupaa kimaendeleo. Kwa taarifa nilizo nazo, hakuleta maendeleo yoyote katika wilaya yake aidha kwa nguvu yake mwenyewe au kwa kuishawishi serikali kufanya lolote.

Kuchaguliwa kwake kulijaa Rushwa tangu kura za maoni (kwa sababu yeye ndiye aliyeongoza kwa kutoa Rushwa kati ya wagombea wote). yeye kama CCM anaendekeza kuwapa pombe wananchi kwa kuwa hayo ndo mahitahi yao.
 
Ndugu Dreamer, usikariri, angalia mtu binafsi usiangalie chama, je kina Mwakyembe si wako CCM au na wao unawaita mafisadi?

Ufisadi ni dhana pana sana, hao uliowataja hapo juu kama kweli sio mafisadi na kwa dhati wanauchukia ufisadi ilikuwaje kati yao walikuwa katika kundi la wabunge waliokuwa wanachukua posho mbilimbili?
 
Back
Top Bottom