Deo Mwanyika na pesa za laana

Deo Mwanyika na pesa za laana

Wala asilaumiwe kwa shida mnazopata. Uongozi wa makampuni ya migodi huwa ni wazungu wenyewe. Watu kama Mwanyika wanawekwaga kulainisha serikali na kutatua mambo ya zengwe za kisiasa (hata wewe ukiwa na kampuni kubwa, usisahau kufanya hivyo). Anacholipwa ni stahili yake kwa anachofanya. Ingekua kingi, wangemstaafisha.

Tuepuke kulalamika bila msingi. Wenye kujua wamekwambia wala haijauzwa hiyo barick. Mwanaharakati ulishindwaje kujua la msingi kama hilo?
 
mkimaliza mtuambie turudi kwenye mada ,swala nani analipwa ngapi na nani ni majungu !!! mleta mada tuambie binafdi we umefanya nn kwa level ya family !acha majungu kafanye kz. then uje mwakani.utuambie turnover yako ni.ngapi kaa mwaka !!!!!
 
Mimi nadhani mleta hoja uwenda ana point mahala...hasa suala la kulipwa wafanyakazi mwezi mmoja badala ya miezi kumi na mbili...kwa kuachishwa kazi. Hapa ni suala la kisheria...kwa suala la Mwanyika kuwa anapesa za laana...hapo mleta hoja anahitaji atoe ufafanuzi zaidi tena wenye ushahidi usio tiliwa shaka. Vinginevyo mleta mada atakuwa nafanya jinai ya kuchafua sifa ya mwanyika.
 
Mwanaharakati pole sana. Usipoteze muda na kutokwa na energy yako kubishana na waru humu jukwaani. Wenzio wamegungua harakati mpya kwa watu kama hao ni kuwa piga vyuma tu wapotee kwenye uso wa dunia ukishindwa uza picha yake kwa al shabaab wamshughulikie.(natania tu) usije kufanya kweli. !
 
Jaribu kufanya utafiti wako upya maana kila ulipogusa umegonga mwamba. Ungeonekana wa maana km ungeomba Mwanyika aongezewe japo ifike 50, kuhusu wafanyakazi kulipwa mwezi mmoja hilo ungerudi kwy sheria ya kazi ya 2004.
 
We kibaraka mkubwa usiyejua chochote,unadhani kila anayezungumzia kitu kinamhusu? mimi ni mwanaharakati,I dont work with Barrick,so far wasting my time by argueing with a fool like you that does not match my scale at any extent is merely great daftness,I can't put up with you because you're mind is phlegmatically distorted by being raised into scrub enviroment wherein you were probably a thug,that's you uphold Mwanyika,whilst you know not of the other side,this seems that your IQ audacity suffers low,hence you better should have kept silent than trying to chop poor points into the thread which you understood not of what it meant,to me you're an imbecile that needs to be taken to mir

Tafadhali nenda grammar school kwanza halafu ndiyo ujibu kwa kiingereza
 
mbona mnamshambulia mleta mada ......ila kama ni kweli huyo mwanyika ache adhulumu tu maana hata akifa ataacha kila kitu duniani.....

Angeweza kueleza hoja zake kwa kiswahili angeeleweka vizuri zaidi, lakini he! ni mkali hata akielekezwa anabishia.
 
Mwanaharakati uchunguzi wako unaonekana umeufanya kwa kuchukua misimamo, maoni na hisia za miners zaidi. Byrnecut wamepewa mkataba wa kudevolop mgodi na wafanyakazi wengi waliowachukua mwanzo walikuwa ni waajiriwa wa barrick na waliwavuta kwa sababu malipo yao yalikuwa mara mbili walichokuwa wanalipwa na barick. Kwa hiyo kitendo cha General Manager kuruhusu uhamisho kwa walio tayari kuhamia byrnecut kikajenga hisia kwamba byrnecut wamenunua mgodi kwa njia ya mzunguko lakini ukweli ni kwamba hawa waustralia ni contractors tu. Si kwamba namtetea Deo ila kiukweli Deo kuna masilahi ya waajiriwa lukuki wa barick hasa wazawa ana nafasi kubwa kwa cheo chake kuyaweka level na ninaweza kusema ananufaika na chochote ndo mana hajali. Kuhusu ridandasi ni kweli hii hicho kitu kimezungumzwa sana ndani ya hii miezi 2 na baadhi ya vigogo katika vitengo kadhaa wameshaliwa.
 
Siyo kika kitu siasa,Sheria ya kazi 2004 iliwezesha uwepo wa bodi za kisekta za mishahara so Deo afanyeje?
 
Mwanaharakati uchunguzi wako unaonekana umeufanya kwa kuchukua misimamo, maoni na hisia za miners zaidi. Byrnecut wamepewa mkataba wa kudevolop mgodi na wafanyakazi wengi waliowachukua mwanzo walikuwa ni waajiriwa wa barrick na waliwavuta kwa sababu malipo yao yalikuwa mara mbili walichokuwa wanalipwa na barick. Kwa hiyo kitendo cha General Manager kuruhusu uhamisho kwa walio tayari kuhamia byrnecut kikajenga hisia kwamba byrnecut wamenunua mgodi kwa njia ya mzunguko lakini ukweli ni kwamba hawa waustralia ni contractors tu. Si kwamba namtetea Deo ila kiukweli Deo kuna masilahi ya waajiriwa lukuki wa barick hasa wazawa ana nafasi kubwa kwa cheo chake kuyaweka level na ninaweza kusema ananufaika na chochote ndo mana hajali. Kuhusu ridandasi ni kweli hii hicho kitu kimezungumzwa sana ndani ya hii miezi 2 na baadhi ya vigogo katika vitengo kadhaa wameshaliwa.

Kuhusu mishahara nayo ni rumours ya kitambo sana ambayo miners hurithishana, inasemekana barick waliponunua mgodi wa bulyanhulu toka kmcl miaka ya 2002 walikuwa wanalipa mishahara kwa dola na ikifika bongo wanaconvert into Tzs so kipindi hicho scale yao dola $1/= ilisimama kama Tzs. 1000/= kwa tetesi zilipo kwa miner ni currency converter scale kwa toronto makao makuu hubadilika kulingana na kupanda au kushuka kwa dola over shillingi mfano kwa sasa $1=tsh1700, toronto mishahara hutuma kwa thamani iliyopo lakinh ikifika makaburu wa south Afrka kwa kushirikiana na wabongo huikata na kulipa kwa scale ya 2002 ya 1$=tzs1000/= manake wamechakachua mia saba katika dola 1 ni rumors zipo kitambo kwa miners so mwanaharakati nakushauri uchunguzi ujikite kindani zaidi tupate ukweli usiishie kuchukua hisia za miners na kuconclude moja kwa moja.
 
Tatizo ni serikali yenu,nilikuwa Miner pia but Ma miners hawapigagi hata kura eti wako busy,na bado mtakoma
 
Kuhusu mishahara nayo ni rumours ya kitambo sana ambayo miners hurithishana, inasemekana barick waliponunua mgodi wa bulyanhulu toka kmcl miaka ya 2002 walikuwa wanalipa mishahara kwa dola na ikifika bongo wanaconvert into Tzs so kipindi hicho scale yao dola $1/= ilisimama kama Tzs. 1000/= kwa tetesi zilipo kwa miner ni currency converter scale kwa toronto makao makuu hubadilika kulingana na kupanda au kushuka kwa dola over shillingi mfano kwa sasa $1=tsh1700, toronto mishahara hutuma kwa thamani iliyopo lakinh ikifika makaburu wa south Afrka kwa kushirikiana na wabongo huikata na kulipa kwa scale ya 2002 ya 1$=tzs1000/= manake wamechakachua mia saba katika dola 1 ni rumors zipo kitambo kwa miners so mwanaharakati nakushauri uchunguzi ujikite kindani zaidi tupate ukweli usiishie kuchukua hisia za miners na kuconclude moja kwa moja.

Mwanaharakati nakushauri uchunguzi wako uchimbe ndani zaidi usibase kwenye dondoo za miners zaidi, members wamecritisize sababu umehitimisha kwa kusema byrnecut kanunua barrick unajua african barrick wanamiliki buzwagi, bulyanhulu na north mara na Deo ndo rais na byrnecut kwa sasa wapo bulyanhulu pekee so ulposema african barrick imeuzwa kwa byrnecut kuna members wengine humu ni wafanyakazi wa north mara na buzwagi hawajui kabisa insu za buly kwa habari hii kwamba barick imeuzwa lazima wakushangae.
 
Tatizo ni serikali yenu,nilikuwa Miner pia but Ma miners hawapigagi hata kura eti wako busy,na bado mtakoma

Usilaumu miners pekee ni watz kwa ujumla tunastahili hapa bongo miners hawizidi elfu 10 so kwa wao pekee hawatoshi kuiondoa serkali dhalimu madarakani.
 
Mwanaharakati nakushauri uchunguzi wako uchimbe ndani zaidi usibase kwenye dondoo za miners zaidi, members wamecritisize sababu umehitimisha kwa kusema byrnecut kanunua barrick unajua african barrick wanamiliki buzwagi, bulyanhulu na north mara na Deo ndo rais na byrnecut kwa sasa wapo bulyanhulu pekee so ulposema african barrick imeuzwa kwa byrnecut kuna members wengine humu ni wafanyakazi wa north mara na buzwagi hawajui kabisa insu za buly kwa habari hii kwamba barick imeuzwa lazima wakushangae.

Wewe lijamaa upo vizuri sana kwenye halmashauri yako ya kichwa na bila shaka wewe ni /ulikuwa ni senior staff pale buly maana umetembelea kwn facts ambazo miner wa kawaida hawezi kueleza kwa ufasaha BTW hiyo kampuni si ndio ilikuwa drilling contractor miaka ya 1999 ikijulikana pia km TRB?
 
truth guy uchunguzi ndivyo ulivyo lazima ukutane na kukatishwa tamaa, kudanganywa, kutukanwa, dharau na kama hayo na kila achunguzwaye hakai akasubiri tu, lazima atingishike na aoneshe kama hatangishiki vile!!!!!

Tulia fanyia kazi hii taarifa yako hata ukijua ukweli sio ule unaouamini "kill your darlings" ili ukweli ujitenge na uongo!!!

Ila kuna kitu utapata, lipo jambo hapo komaa!!!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom