Safi sana Chifu....
Hata Kiingereza chenyewe hajui..Halafu anajiita Mwanaharakati...My foot..
Dont argue with a fool,why?he will drag you into his levels of fullshness and at the end defeat you because he has experience!We kibaraka mkubwa usiyejua chochote,unadhani kila anayezungumzia kitu kinamhusu? mimi ni mwanaharakati,I dont work with Barrick,so far wasting my time by argueing with a fool like you that does not match my scale at any extent is merely great daftness,I can't put up with you because you're mind is phlegmatically distorted by being raised into scrub enviroment wherein you were probably a thug,that's you uphold Mwanyika,whilst you know not of the other side,this seems that your IQ audacity suffers low,hence you better should have kept silent than trying to chop poor points into the thread which you understood not of what it meant,to me you're an imbecile that needs to be taken to mir
Hivi kwa maneno yako haya na niliyoandika mimi nani mjinga????Kushindana na mjinga ni kazi nzito sana,nyie mliosoma shule za bongo na walimu wenu ni walifeli,mtakijua wapi kiingereza nyie? maana mnafundishwa kiingereza fake,so mkiona English iliyotofauti na mautumbo yenu,mnadhani ni feki,I better maintain silence than putting up with fools like you!
Rudia uchunguzi wako hiyo Byrnercut ni contractor wa barrick wanafanya development ktk mgodi wa bulyanhuluNi rais wa Barrick Africa,mtanzania mwenzetu,amenunuliwa na kampuni hii ya kitapeli duniani,ndiye hawa matapeli Barrick wanamtumia kuwatesa watanzania na kudhulumu haki zao.
Mshahara wa Mwanyika kwa mwezi ni TSh 33,000,000 na huo ni nje ya marupurupu, kazi kubwa ya Mwanyika ni propaganda dhidi ya Barrick na serikali,anatumiwa na baadhi ya wakubwa wa Barrick kama CEO kuficha ukweli,e.g mishahara ya wafanyakazi wa Barrick Toronto inajulikana kama Tsh mil 1.2 kima cha chini,kumbe uongo,ukweli ni sh 435,000 inayobaki anakula Mwanyika na CEO wake Gordon.
Hivi sasa Barrick imeuzwa kwa kampuni ya Australia iitwayo Byrnercut wafanyakazi wa Barick wanatapeliwa na serikali yao kwa kuambiwa eti wanapewa redundancy kumbe ukweli ni business change,ambapo walitakiwa wapewe miezi 12 mara basic pay, sasa mambo yatakuwa tofauti watapewa mwezi mmoja tu wa mshahara wao,hizo pesa zingine anakula Mwanyika na wenzake,mwezi juzi kaagiza kampuni toka Sweden imjengee nyumba,pesa za mwanyika ni za dhuluma na zina laana.
Najua ripoti ya Kamati ya Makinika haijamgusa Deo Mwanyika. Lakini kuna haja ya kujua kiwango cha uzalendo wake, majukumu yake na namna alivyofadhiliwa katika kuficha ukweli.ndio maana mimi naamini makaburu weusi ni wabaya zaidi kuliko wazungu
TRB ni kitu gani?Wewe lijamaa upo vizuri sana kwenye halmashauri yako ya kichwa na bila shaka wewe ni /ulikuwa ni senior staff pale buly maana umetembelea kwn facts ambazo miner wa kawaida hawezi kueleza kwa ufasaha BTW hiyo kampuni si ndio ilikuwa drilling contractor miaka ya 1999 ikijulikana pia km TRB?
Leo umekua vindicated. Deo hana uzalendo wowote.Najua ripoti ya Kamati ya Makinika haijamgusa Deo Mwanyika. Lakini kuna haja ya kujua kiwango cha uzalendo wake, majukumu yake na namna alivyofadhiliwa katika kuficha ukweli.
Post yako mkuu Truth guy imekaa kidaku lakini kwa kigezo cha tarehe uliyoiandika, zinaonekana elements nyingi za ukweli na kilichokusukuma kuileta inaonyesha ni uzalendo wako! Keep going.Ni rais wa Barrick Africa,mtanzania mwenzetu,amenunuliwa na kampuni hii ya kitapeli duniani,ndiye hawa matapeli Barrick wanamtumia kuwatesa watanzania na kudhulumu haki zao.
Mshahara wa Mwanyika kwa mwezi ni TSh 33,000,000 na huo ni nje ya marupurupu, kazi kubwa ya Mwanyika ni propaganda dhidi ya Barrick na serikali,anatumiwa na baadhi ya wakubwa wa Barrick kama CEO kuficha ukweli,e.g mishahara ya wafanyakazi wa Barrick Toronto inajulikana kama Tsh mil 1.2 kima cha chini,kumbe uongo,ukweli ni sh 435,000 inayobaki anakula Mwanyika na CEO wake Gordon.
Hivi sasa Barrick imeuzwa kwa kampuni ya Australia iitwayo Byrnercut wafanyakazi wa Barick wanatapeliwa na serikali yao kwa kuambiwa eti wanapewa redundancy kumbe ukweli ni business change,ambapo walitakiwa wapewe miezi 12 mara basic pay, sasa mambo yatakuwa tofauti watapewa mwezi mmoja tu wa mshahara wao,hizo pesa zingine anakula Mwanyika na wenzake,mwezi juzi kaagiza kampuni toka Sweden imjengee nyumba,pesa za mwanyika ni za dhuluma na zina laana.
Wamekutuma wafanyakazi wa Barrick haaa! maana si kwa povu hilo eti mwanaharakatiWe kibaraka mkubwa usiyejua chochote,unadhani kila anayezungumzia kitu kinamhusu? mimi ni mwanaharakati,I dont work with Barrick,so far wasting my time by argueing with a fool like you that does not match my scale at any extent is merely great daftness,I can't put up with you because you're mind is phlegmatically distorted by being raised into scrub enviroment wherein you were probably a thug,that's you uphold Mwanyika,whilst you know not of the other side,this seems that your IQ audacity suffers low,hence you better should have kept silent than trying to chop poor points into the thread which you understood not of what it meant,to me you're an imbecile that needs to be taken to mir
Kha! 33m zinamtoa povu. ungekuwa ww ndiyo unalipwa ungekuja na povu hilo.hahahaha...we utakua wa magomeni
Tuletee evidence mkuu. Vigumu kuamini kirahis rahis bila ushahid. Coz kwa utafiti wangu binafsi nimegundua humu jf kuna wengi sana huwa wanaongea vitu visivyo na ukweli, story za kubuni buni.Ni rais wa Barrick Africa,mtanzania mwenzetu,amenunuliwa na kampuni hii ya kitapeli duniani,ndiye hawa matapeli Barrick wanamtumia kuwatesa watanzania na kudhulumu haki zao.
Mshahara wa Mwanyika kwa mwezi ni TSh 33,000,000 na huo ni nje ya marupurupu, kazi kubwa ya Mwanyika ni propaganda dhidi ya Barrick na serikali,anatumiwa na baadhi ya wakubwa wa Barrick kama CEO kuficha ukweli,e.g mishahara ya wafanyakazi wa Barrick Toronto inajulikana kama Tsh mil 1.2 kima cha chini,kumbe uongo,ukweli ni sh 435,000 inayobaki anakula Mwanyika na CEO wake Gordon.
Hivi sasa Barrick imeuzwa kwa kampuni ya Australia iitwayo Byrnercut wafanyakazi wa Barick wanatapeliwa na serikali yao kwa kuambiwa eti wanapewa redundancy kumbe ukweli ni business change,ambapo walitakiwa wapewe miezi 12 mara basic pay, sasa mambo yatakuwa tofauti watapewa mwezi mmoja tu wa mshahara wao,hizo pesa zingine anakula Mwanyika na wenzake,mwezi juzi kaagiza kampuni toka Sweden imjengee nyumba,pesa za mwanyika ni za dhuluma na zina laana.
leo deo yupo mahabusu mwaka unaisha,hela zote zile si angekimbilia kujificha south africa au marekani
Kawekwa mahabusu kwa fitna tu za Jiwe. Nchi hii haifuati utawala wa sheria, mtuhumiwa anakamatwa, anapelekwa rumande ndiyo uchunguzi unaanza na kutafuta makosa.leo deo yupo mahabusu mwaka unaisha,hela zote zile si angekimbilia kujificha south africa au marekani