JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 8,279
- 11,565
Ukenya wako utakutesa.angekuwa ni Mkenya wangempa wizara ya madini aiongoze sababu ya uwezo na uzoefu alionao ila kwa kuwa ni mtz hapa ataonekana ni msaliti na sio mzalendo
Ukenya wako utakutesa.angekuwa ni Mkenya wangempa wizara ya madini aiongoze sababu ya uwezo na uzoefu alionao ila kwa kuwa ni mtz hapa ataonekana ni msaliti na sio mzalendo
Ili baadae mumtumbue na kumdhalilisha kama mlivyomfanya Prof Muhongo sioNapendekeza Deo Mwanyika ateuliwe kuwa Mbunge na apewe Uwaziri wa MADINI hiyo nafasi aaimudu vizuri sana....!!!
kumbe hela ya maandazi hata mimi naweza kumlipaHawa walikuwa kwenye 20-25m per month
Uchumba umevunjjka hakuna tena kishika uchumba wala mahari tafuteni mume mwingineHata kishika uchumba hatujapewa jamani!!
Deo Mjanja, kausoma Mchezo mzima. Amegundua kuwa Tanzania inaenda Julia muda si mrefu kwa Kuwaingiza hasara BARICK kisa ujinga wa viongozi wetu na soon Tz inapelekwa Mahakama za Kimataifa.
Baada ya Kusoma Upepo kuwa hasira za Jiwe zitaishia kwake, kaamua ajiondoe mapeema! Asomae na aelewe sasa!
So umekubali tuolewe na acacia ?Hata kishika uchumba hatujapewa jamani!!
Mkuu, huo ndiyo Ukweli! Lisu alitahadharisha, matokeo yake akapangiwa Kuuwawa! Tatizo Jiwe hataki Kuabiwa Ukweli!Inaoenekana kama kuna kweli fulani hivi......!!!
Hii bila shaka itakuwa kama HUKUMU YA TANESCO KUWALIPA BARCLAYS DOLARI MILIONI 400+( karibia BILIONI 700) Mwee.....mwee....mwee!! Tujiandae na MGAWO WA UMEME wa masaa 24/7...!!!
Aliyekwambia Deo Mwanyika ana Interest na Iringa nani? Mtu yupo Njombe na anaishi hapo, aende Iringa kugombea Ubunge ili iwaje na wakati yeye kwao Njombe na pia ni Mkaazi wa Njombe?Take home yake ilikuwa zaidi ya USD 30,000.00 kwa mwezi,hela aliyopata kwa miaka 17 ya kazi inamtosha kuwa kati ya Mabilionea Tanzania,Msigwa jiandae Iringa 2020....
Nyie ndo jiwe anawatfutakumbe hela ya maandazi hata mimi naweza kumlipa
Wewe sio mtanzania na hutawai kuwa mtanzania !angekuwa ni Mkenya wangempa wizara ya madini aiongoze sababu ya uwezo na uzoefu alionao ila kwa kuwa ni mtz hapa ataonekana ni msaliti na sio mzalendo