Deo Mwanyika ajiuzulu ACACIA Mining

Deo Mwanyika ajiuzulu ACACIA Mining

Mkuu naona unaendeleza usiseme hivyoo kuna mtu aliamini yeye akiipata nafasi ile ndo atakua anakula mpunga mrefu bongo nzima si umeona alivyojua jamaa wa nyumba anavuta pesa si mchezo akaanza zengwe mara standardization ya mishahara makelele mengi kumbe wivu unamsumbua
Ina maana kufunguka kwangu ntakuwa nawasanua jamaa basi ngoja niishie hapa
Teh teh

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu naona unaendeleza usiseme hivyoo kuna mtu aliamini yeye akiipata nafasi ile ndo atakua anakula mpunga mrefu bongo nzima si umeona alivyojua jamaa wa nyumba anavuta pesa si mchezo akaanza zengwe mara standardization ya mishahara makelele mengi kumbe wivu unamsumbua

Kuna watu wamekalia roho mbaya na ushamba tu,duniani watu wanalipwa kwa competency na efficiency ,waende tu hapo kenya waone watu wanavyolipwa. Skills zinalindwa kwa pay na sio maneno ya uzalendo feki.
 
Huyu jamaa alikuwa anachukua mpunga mrefu balaa,alikuwa ni bonge la CEO,kama alivyo Nehemiah Mchechu wa National housing,natumaini Papaa Mkulu atawaona awape cha kufanya,ni zambi kubwa,kuachia "Best brain" kama hizi zipotee,
Huyu jamaa ni bora achukue U CEO wa Voda,ili yule mama wa Kenya asitie maguu hapa Bongo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu wamekalia roho mbaya na ushamba tu,duniani watu wanalipwa kwa competency na efficiency ,waende tu hapo kenya waone watu wanavyolipwa. Skills zinalindwa kwa pay na sio maneno ya uzalendo feki.
Uzalendo feki ni pale unapokua unahamaisha watu walipe kodi halafu wewe haulipi kodi yani huo ni unafiki wa kiwango cha PhD feki ya korosho hahahaha watasema katiba katiba vifungu kibao vya katiba vimevunjwa akilipa kodi hapo kweli watu wataamini ni mzalendo sio uzalendo blah blah..ila kodi isikie tu kwa mwenzio
 
Back
Top Bottom