Ndio yeye chief.....
Nakumbuka mwaka 2004, niliwahi kumponda na empty foil ya chakula cha Sodexho, baada ya kuja kutuliza mgomo tulio ufanya pale Bullyanhulu. Sasa GM alipo omba kuongea na wafanyakazi, Deo akaombwa atafasiri kwa lugha ya kiswahili ili GM ainde sawa na wafanyakazi ambao walikua kidogo lugha ya bepari inawasumbua.... Jamaa hajatuingiza choo cha watoto...[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Hapo ndipo nilipo patwa na jazba, na kisha nikapaza sauti kwa nguvu nikasema.... MUONGO MKUBWA WEWE, EBU TEREMKA HAPO JUU NA USITUFANYE SISI WAJINGA na kisha nikamponda na ile foil
Sent using
Jamii Forums mobile app