Deo Mwanyika ajiuzulu ACACIA Mining

Deo Mwanyika ajiuzulu ACACIA Mining

The guy is loaded ndindindi looong ago. Ubunge 2020 Hivi mbunge wa Njombe ni nani vileee????ajiandae
 
Kitwanga%2BDeo%2Bshakes%2Bhands.jpg
 
Kala vya kutosha,na hii awamu ngumu bora tu ajiondokee.Hakuna kutorosha madini,no msamaha wa kodi.
 
Hawa walikuwa kwenye 20-25m per month

Kama unamaanisha mshahara sio kweli, labda ujaribu kufikiria 50mil+, GM pekee wa mgodi let say Buzwagi yuko over 35mil/month hiyo 20-25m ni mshahara wa labda mining manager,production manager, maintenance manager, na project managers wa contractors au hata baadhi ya expart wazungu wanakunja hiyo..
 
angekuwa ni Mkenya wangempa wizara ya madini aiongoze sababu ya uwezo na uzoefu alionao ila kwa kuwa ni mtz hapa ataonekana ni msaliti na sio mzalendo
Mkuu, wewe haumjui huyu nyoka alie dhiriki kuwauza waTanzania kwa bepari, na Deo Mwanyika alichangia kwa kiasi kikubwa nchi kupoteza mapato stahiki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, wewe haumjui huyu nyoka alie dhiriki kuwauza waTanzania kwa bepari, na Deo Mwanyika alichangia kwa kiasi kikubwa nchi kupoteza mapato stahiki

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio alikuwa anatunga miswada ya sheria zinazowapa hawa wawekezaji loopholes za kutuibia pale Bungeni?kama angetuuza kwenye mapato stahiki na kama kuna ushahidi si wangemkamata na wamfilisi kabisa? au ndio maneno ya kuaminishana tu jamaa mwizi mwizi! alikuwa anafanya kazi chini ya sheria zilizotungwa na sisi wenyewe kupitia wabunge wetu pale dodoma yeye alikuwa mtekelezaji tu au ulitegemea awe anaenda wizarani anatoa taarifa za siri za hili kampuni kuhusu ukwepaji kodi ? kitu kama hicho alikuwa anakifanya Tundu Lissu ila kwa bahati mbaya yupo kwa akina lukaku anatibiwa,
Tumeibiwa kwa ufisadi na ujinga wetu wenyewe tumlaumu mkapa,kikwete na JIWE
 
Huyo si ndy mbongo aliyekuwa anakula mshahara mkubwa kuliko mtz yoyote mshahara wake tu mawazir na--- hawamfiki

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio yeye chief.....
Nakumbuka mwaka 2004, niliwahi kumponda na empty foil ya chakula cha Sodexho, baada ya kuja kutuliza mgomo tulio ufanya pale Bullyanhulu. Sasa GM alipo omba kuongea na wafanyakazi, Deo akaombwa atafasiri kwa lugha ya kiswahili ili GM ainde sawa na wafanyakazi ambao walikua kidogo lugha ya bepari inawasumbua.... Jamaa hajatuingiza choo cha watoto...[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Hapo ndipo nilipo patwa na jazba, na kisha nikapaza sauti kwa nguvu nikasema.... MUONGO MKUBWA WEWE, EBU TEREMKA HAPO JUU NA USITUFANYE SISI WAJINGA na kisha nikamponda na ile foil

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom