Deo Mwanyika ajiuzulu ACACIA Mining

Deo Mwanyika ajiuzulu ACACIA Mining

Ni bora apumzike tuu maana si Kwa mashinikizo Na vitisho vile kutoka Kwa mzee baba. But next time aache kuingilua kamati. Last but not least, ukija uraiani kuwa makini Na life yako Mkuu
 
Huyo si ndy mbongo aliyekuwa anakula mshahara mkubwa kuliko mtz yoyote mshahara wake tu mawazir na--- hawamfiki

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu naona unaendeleza usiseme hivyoo kuna mtu aliamini yeye akiipata nafasi ile ndo atakua anakula mpunga mrefu bongo nzima si umeona alivyojua jamaa wa nyumba anavuta pesa si mchezo akaanza zengwe mara standardization ya mishahara makelele mengi kumbe wivu unamsumbua
 
Huyu jamaa fala sana! Kawauza watanzania wengi mno waliokuwa wanafanya kaz acacia! Afu yeye ndiyo chanzo cha yote hayo! Japo umetoka lkn umevuna ila tutakutana kwa MUNGU mpima Haki kwa Wote! F..c[emoji13]

Sent using Jamii Forums mobile app
Leta ushahidi acha kufyatuka kama teja kaona simu inachungulia kwenye mkoba wa sista duu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uki
Deo Mwanyika ndio alikuwaga anampatia Tundu Lisu zile Print out ambazo walisema Tz itanyolewa bila ganzi na Barrick kwenye yale makinikia
tupatia na ushahidi utakuwa ni ji-great thinker otherwise ni maneno ya kwenye kanga
 
Back
Top Bottom