Dentist wa Giggy Money

Dentist wa Giggy Money

Bongotunacheza

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2018
Posts
1,387
Reaction score
3,158
Ndugu zangu nataka kumjua Dentist wa Giggy Money.

Nataka kuyafanya meno yangu kuwa meupe nimejaribu kila njia imeshindikana.

Kuna dentist niliwapigia wakasema wao hawana mashine ya kusafisha meno kuwa meupe Ila wana dawa unatumia. Nilisha tumia nyingi in vain nikaona sio kweli.

Kama kuna mtu yoyote ana connection na dentist wa Giggy Money au dentist yoyote Yule anae safisha meno na kuwa meupe ya kun'gaa.

Location Dar Es Salaam.

🙏🙏🙏🙏
 
ukifanikiwa ulete mrejesho kwanza yalikuwaje na baada ya kufanikiwa yamekiwaje na gharama zake
 
Huyu Gigi money wa sasa hivi nikimuangalia na Gigi wa "Akadumba" naonaga kama ni watu wawili tofauti.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom