Bongotunacheza
JF-Expert Member
- Dec 7, 2018
- 1,387
- 3,158
Ndugu zangu nataka kumjua Dentist wa Giggy Money.
Nataka kuyafanya meno yangu kuwa meupe nimejaribu kila njia imeshindikana.
Kuna dentist niliwapigia wakasema wao hawana mashine ya kusafisha meno kuwa meupe Ila wana dawa unatumia. Nilisha tumia nyingi in vain nikaona sio kweli.
Kama kuna mtu yoyote ana connection na dentist wa Giggy Money au dentist yoyote Yule anae safisha meno na kuwa meupe ya kun'gaa.
Location Dar Es Salaam.
🙏🙏🙏🙏
Nataka kuyafanya meno yangu kuwa meupe nimejaribu kila njia imeshindikana.
Kuna dentist niliwapigia wakasema wao hawana mashine ya kusafisha meno kuwa meupe Ila wana dawa unatumia. Nilisha tumia nyingi in vain nikaona sio kweli.
Kama kuna mtu yoyote ana connection na dentist wa Giggy Money au dentist yoyote Yule anae safisha meno na kuwa meupe ya kun'gaa.
Location Dar Es Salaam.
🙏🙏🙏🙏