Dengue Mchana usiku Malaria

Last edited by a moderator:


......eti Juice ya majani ya mpapai halafu zile mbegu unakula kama karanga! Mnh!....


#MosKwito !
 
 
Reactions: Mbu
Mbu siku yako ipo tuna mpango wa kuwakusanya wote popote mlipo tuwarudishe maabara maana huku mtaani mmezidi sasa mara dengue mara malaria mara busha mara matende ahhh Nicas Mtei salama mkuu na Eiyer pole kwa kuugua mkuu naamini unaendelea vyema
 
Last edited by a moderator:
nimeng'ata na mbu wa ivo leo,sijui ndo nshakwaa dengue...mh naogopa
 
Reactions: Mbu
Mbu siku yako ipo tuna mpango wa kuwakusanya wote popote mlipo tuwarudishe maabara maana huku mtaani mmezidi sasa mara dengue mara malaria mara busha mara matende ahhh Nicas Mtei salama mkuu na Eiyer pole kwa kuugua mkuu naamini unaendelea vyema

.....hahhhahh! ....mkuu ukizitafakari faida za #Mbu katika maisha ya kila siku utakubali tu acha tuzaliane kwa wingi.
By the way, si umeona ushuhuda wa Nicas Mtei hapo juu ya huo utafiti "fyongo?".....eti mbu wa dengue waje wawaangamize mbu wa Malaria....kha? hii ni GENOCIDE bana, dhambi hii ya "Ethnic Cleansing" itaendelea kuwatafuna.
 
Last edited by a moderator:

Huo sio utafiti wangu. Ni swala ambalo limefanywa na serikali na lilitangazwa.....
 
Last edited by a moderator:
Reactions: Mbu
Mbu siku yako ipo tuna mpango wa kuwakusanya wote popote mlipo tuwarudishe maabara maana huku mtaani mmezidi sasa mara dengue mara malaria mara busha mara matende ahhh Nicas Mtei salama mkuu na Eiyer pole kwa kuugua mkuu naamini unaendelea vyema

KWema sana kaka....
 
Last edited by a moderator:
hehehe, utatukoma. mosquito repellents nimeweka kila mahali, jikoni, sebleni, chumbani, chooni! vimini kwa kwenda mberrrreeee, malaria haikututisha seuze dengue. na panadol tunatembea nazo
 
Reactions: Mbu
hehehe, utatukoma. mosquito repellents nimeweka kila mahali, jikoni, sebleni, chumbani, chooni! vimini kwa kwenda mberrrreeee, malaria haikututisha seuze dengue. na panadol tunatembea nazo

...hahah, dahhh.....kumbe mnaogopa ee?!
hamtaki kwenda Paradiso?

Kaning'ata mkono ndo nikawa namshangaa kushtuka nikamfukuza,..

....pheeww, umefanya jambo la maana sana kutokumuua,
hata yeye ana familia, huenda alikuwa anajitafutia rizq yake tu ya siku.
Ubarikiwe sana.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…