Denda asubuhi na boyfriend wangu

Denda asubuhi na boyfriend wangu

Mwambie nini unapenda na nini upendi,kwanini ujikera siku nzima na mtu uko nae na wala si mume ni B/F ,mweleze kwa upole na am sure atakuelewa...
 
Naombeni ushauri nina boyfriend wangu tunagombana kila siku asubuhi tunapokuwa tunafanya mapenzi nimekuwa nashindwa kabisa kumpiga denda nakuwa sijisikii kulambana wakati hatujapiga mswaki sasa amekuwa akiniambia simpendi na anahisi mapenzi yangu yamepungua, je nifanyeje anielewe?
Hilo si swala la kumwambia tu, tukaswaki kwanza ndio turudi kuendelea na mengine...mapenzi ni kuzungumza sio ubabe wala kulalamika...
 
Itakua ananuka mdomo eee,ukimpenda tu humuonei kinyaa na ukiona kitu tofauti muelekeze basi
 
Back
Top Bottom