Denda asubuhi na boyfriend wangu

Denda asubuhi na boyfriend wangu

Hahaha..mtani you playing smart sio!!! Umenichekesha ujue sisi tunazama bila kulazimishwa, just to make you guys happy...
Haina tatizo mtani madamu moyo wako umeridhia, mimi msemo wa "mapenzi ni uchafu" sitaki hata kuuskia, kisa cha kuanza kutapika ni nini? to make somebody happy? Apige kwanza mswaki aoge then nitamsababishia hiyo "happy" anayoitaka.
 
Naombeni ushauri nina boyfriend wangu tunagombana kila siku asubuhi tunapokuwa tunafanya mapenzi nimekuwa nashindwa kabisa kumpiga denda nakuwa sijisikii kulambana wakati hatujapiga mswaki sasa amekuwa akiniambia simpendi na anahisi mapenzi yangu yamepungua, je nifanyeje anielewe?
Ila ww kunyonywa chululuu na kinyeo tena wakati umetoka mizungukoni majasho lakini jamaa anaweka ulimi unaona raha wala huhisi bacteria eeh...?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umeshakula ugali?
 
Naombeni ushauri nina boyfriend wangu tunagombana kila siku asubuhi tunapokuwa tunafanya mapenzi nimekuwa nashindwa kabisa kumpiga denda nakuwa sijisikii kulambana wakati hatujapiga mswaki sasa amekuwa akiniambia simpendi na anahisi mapenzi yangu yamepungua, je nifanyeje anielewe?
Kwa hiyo kila siku asubuh lazima upigiswe kwata sio.
 
Vikojoleo vipii navyo unavitumia vikiwa vimeoshwa au navyo kama kinywa? Mapenzi uchafuu na usiku muwe mnapfa mswakii wkt wa kulala... Ila huyo ni bf akiwa mume utakuwa umekomaa akili utoto umeshakutokaa
 
Naombeni ushauri nina boyfriend wangu tunagombana kila siku asubuhi tunapokuwa tunafanya mapenzi nimekuwa nashindwa kabisa kumpiga denda nakuwa sijisikii kulambana wakati hatujapiga mswaki sasa amekuwa akiniambia simpendi na anahisi mapenzi yangu yamepungua, je nifanyeje anielewe?
akili za uelewa nakuchukuliana ni ndogo
 
Bora huyo ametoka kulala kuna wenzako wanalazmishwwa mtu akitoka kutapika
 
Naombeni ushauri nina boyfriend wangu tunagombana kila siku asubuhi tunapokuwa tunafanya mapenzi nimekuwa nashindwa kabisa kumpiga denda nakuwa sijisikii kulambana wakati hatujapiga mswaki sasa amekuwa akiniambia simpendi na anahisi mapenzi yangu yamepungua, je nifanyeje anielewe?

Mjinga huyo wa kutupa! Shikilia msimamo
 
Umenifanya niukumbuke wimbo wa Fid Q wa Bint malkia kuna msitari umasema kama klweli unanupenda Je utanipa denda kabla sijapiga mswaki
 
Naombeni ushauri nina boyfriend wangu tunagombana kila siku asubuhi tunapokuwa tunafanya mapenzi nimekuwa nashindwa kabisa kumpiga denda nakuwa sijisikii kulambana wakati hatujapiga mswaki sasa amekuwa akiniambia simpendi na anahisi mapenzi yangu yamepungua, je nifanyeje anielewe?
mpe tu si ndo mapenzi mnayotaka
 
Back
Top Bottom