masalamabeyo
Member
- Jul 28, 2015
- 7
- 2
Hayo ndyo mapenzi vumilia tu
Yani unatapikaje kwa mtu unayempenda? Tena mchana ndio mda mbaya, wengi baada ya breakfast au lunch hatu brush wala ku floss, huoni unakimbia kivuli tu..Haina tatizo mtani madamu moyo wako umeridhia, mimi msemo wa "mapenzi ni uchafu" sitaki hata kuuskia, kisa cha kuanza kutapika ni nini? to make somebody happy? Apige kwanza mswaki aoge then nitamsababishia hiyo "happy" anayoitaka.
Huyo mwanaume atakuwa anataka cha kushtua kabla hawajaamka........Wahi kuamka wakati amelala upige mswako na akiamka tu akute mswaki wake unamsubiri
Atanisamehe kwa kweli..Yani unatapikaje kwa mtu unayempenda? Tena mchana ndio mda mbaya, wengi baada ya breakfast au lunch hatu brush wala ku floss , huoni unakimbia kivuli tu..
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Atanisamehe kwa kweli..
Mbona yeye anakutafuna maeneo hatarishi kabla hujaogaNaombeni ushauri nina boyfriend wangu tunagombana kila siku asubuhi tunapokuwa tunafanya mapenzi nimekuwa nashindwa kabisa kumpiga denda nakuwa sijisikii kulambana wakati hatujapiga mswaki sasa amekuwa akiniambia simpendi na anahisi mapenzi yangu yamepungua, je nifanyeje anielewe?
Naombeni ushauri nina boyfriend wangu tunagombana kila siku asubuhi tunapokuwa tunafanya mapenzi nimekuwa nashindwa kabisa kumpiga denda nakuwa sijisikii kulambana wakati hatujapiga mswaki sasa amekuwa akiniambia simpendi na anahisi mapenzi yangu yamepungua, je nifanyeje anielewe?
French kiss.Denda ndio nin mkuu?
Sasa wewe si ufanye siri tu,ya nini kuleta mambo ya maulimi asubuhi hapa?Naombeni ushauri nina boyfriend wangu tunagombana kila siku asubuhi tunapokuwa tunafanya mapenzi nimekuwa nashindwa kabisa kumpiga denda nakuwa sijisikii kulambana wakati hatujapiga mswaki sasa amekuwa akiniambia simpendi na anahisi mapenzi yangu yamepungua, je nifanyeje anielewe?
Ati ,huo ndio ukweliMwambie nini unapenda na nini upendi,kwanini ujikera siku nzima na mtu uko nae na wala si mume ni B/F ,mweleze kwa upole na am sure atakuelewa...
Na pia ungemshauri aache uvivu,si anaamka tu anaenda ku brush na kumletea man wake mug of coffee na baada ya hapo wanaanza game kama kawa huku wananukia coffee.Mwambie nini unapenda na nini upendi,kwanini ujikera siku nzima na mtu uko nae na wala si mume ni B/F ,mweleze kwa upole na am sure atakuelewa...
Daaah vitu vya kawaida SanaNaombeni ushauri nina boyfriend wangu tunagombana kila siku asubuhi tunapokuwa tunafanya mapenzi nimekuwa nashindwa kabisa kumpiga denda nakuwa sijisikii kulambana wakati hatujapiga mswaki sasa amekuwa akiniambia simpendi na anahisi mapenzi yangu yamepungua, je nifanyeje anielewe?
weueweee take Ten sikupi five ndogo,wanawake wa sikuizi wachache sana wanaweza kuamka asubuhi na kumuacha mumewe au mpenzi wake ka lala yeye akatengeneze Coffee ,wanashindwa kuelewa kua viji mambo vidogo dogo ndio vina point kubwa..Ati ,huo ndio ukweli
Na pia ungemshauri aache uvivu,si anaamka tu anaenda ku brush na kumletea man wake mug of coffee na baada ya hapo wanaanza game kama kawa huku wananukia coffee.