Denda asubuhi na boyfriend wangu

Denda asubuhi na boyfriend wangu

kwangu mie sifa ya kwanza kwa mwanaume ni usafi sasa iweje ashindwe kutokea kupiga mswaki asubuhi? una moyo pole sans mm ningekuwa nilishamwacha
 
Asbh jamani, mnapoteza nguvu za uzalishaji, ndio maana wengine unawakuta ofcn kama vile wameamka na mning'inio... Usiku wote mmechezea papuchi weeeeee, bado mnaitaka na asbh, mnabishia kuitafuna big g, mtakausha mate hiyo haiishi... Haya.!!
 
watu tunazama chumvini wakati wa bleed sembuse domo kunuka....kwanza ukilamba huo uchafu unaongeza kismart kwenye madili au biashara yko so girl ww lamba tu hilo domo usiwazw
 
Kwaiyo kazi unayoifanya kwa uyo mwanaume ni zaidi ya Boyfriend, hivi kwann tunajirahisi sana!? Sasa hapo jamaa atakuja kuoa nn ikiwa jamaa anapata huduma kila asubuhi na usiku, ndo maana ndoa zenu zinachuja mlianza kupeana vya uke na mume kwa undani zaidi hata akija kukuoa haoni jipya ikiwa utandikaji kitanda wako anaujua A to Z yaani hata sijui niongeeje ila hongera kwa madenda ya asubuhi mdogo wangu
 
Na kweli...hata majina tumeiga.

Eti mtu, Mtanzania anaitwa Elizabeth Michael....ushawahi kuona M-Denmark anaitwa Nyangwende Kyendesya?
Huo uchokozi sasaaaa[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Acha kabisa, kushare midomo asubuhi wakati wa kuamka hata kama umepiga mwsaki kabla ya kulala kwangu ni ngumu kumeza.... Dah hapana kabisa.. eti mapenzi ni uchafu? Basi mimi nauchukia sana uchafu!

Thanx g sam, jamani hakuna kitu kinachonikosesha hamu ya mapenzi kama uchafu na harufu
 
  • Thanks
Reactions: irk
Kwani nyie kabla ya kulala hampigi mswaki ? Weka maji ama juice pembeni ukishtuka asubuhi mpe apige puff mambo yaendelee
 
Usumbufu wa nini bana,we omba talaka kama anaforce
 
Back
Top Bottom