Demu wangu ananisaliti kimtindo

Demu wangu ananisaliti kimtindo

Daa nimekumbuka zaman kweli ...mtu unajua kabisa hayupo lkn naenda kwake msubiri hadi nione anaemrudisha ...unazunguka nje kama tahira .... Mungu anisaidie ule ujinga usirudi tena

Nilichojifunza usiku pametulia sana na kuna mambo mengi mno ...afu usiku hapatishi me nilikuwa nazunguka eneo moja hadi sa nane usiku🤔 sometime nakesha maana ukiondoka tu ndo anaeza rudi ukapoteza ushahidi
hahhahahahaahahahahahahahahahahahah kweli maisha mapito
 
HABARI ZA ASUBUHI WADAU!!!
soon ntaleta updates yaliyojiri baada ya ushauri wa wadau wooote wa JF
 
Una mke na watoto wawili ila mchepuko ambaye ni mzigo wa watu wengine tena single motheee anakuweka nje usiku ukimvizia kama sungusungu uone karudi kwake saa ngapi?

Are you normal!?
Halafu anakuambia hampendi sana
 
Kwa hiyo wewe una cheat kwa mkeo, lakini mtu asie mkeo aki cheat kwako unanuna mmmmhhh. Una vituko. Mwache dada wa watu aishi maisha yake. Wewe concentrate na yako.
 
Mkuu naomba nikuambie maneno haya WEWE NI ZUMBUKUKU.
 
Kama unampenda mke wako kuliko huyo mchepuko nakushauri huo mchepuko ubwage haraka. Mpaka mwanaume kufikia kutoka nje ya mke wake wengi ni ksbb ya upendo kupungua kwa kiasi kikubwa ndani. Pili unakutana na wanawake wengine ananuna hata mwezi wakitibuana ndani,ndio hapo mwanaume anaona awe na mbadala. Lakini wewe huna sababu ya kuwa na mchepuko,umesema mkeo unampenda kuliko hata mchepuki. Maana yake mnapendana. Hakuna shida yoyote ndani kwako. Usiifanye fashion
 
Jamani mademu hawa mhhh, nina kimchepuko changu mitaa ya majengo, kwa kweli nampenda kiasi yeye ameachika kwa mumewe na anaishi na katoto kake kamoja na mimi nina mke wangu na watoto wawili nyumbani.

Sasa huyu mwanamke nampenda kiasi sio saaana kama navyompenda mke wangu sasa nimegundua ananisaliti, ana bwana mwingine tena, nimeona hii kama mara mbili nyumbani kwake.

Nilimshusha kwa gari yangu nikaondoka nikaenda sehemu nikapaki nikiwa naangalia nyumba yake ikaja gari nyingine ikamchukua nikamwambia ikawa ugomvi sana, sasa jana tena nimemshusha saa 2 usiku nikahisi kuna mtu atakuja kumchukua nikajibanza sehemu nikamuangalia jamaa akaja akamchukua akaondoka, nikasogea hadi chumbani kwake nikapiga simu akapokea anasema anaoga wakati mimi nipo nje ya chumba chake na chumba kina choo cha ndani na kote gizaaaa wala hakuna purukushani za kuoga. Nikamwambia haya ukimaliza nipigie, hakunipigia na mimi sikuondoka hadi saa 5 usiku nikakaa sehemu namsubiria nikiwa na kinywaji changu taratibuuuu.

Kweli alirudi nikamuangalia sikumuuliza. Sasa tatizo ni kwamba kulikuwa na giza kama aliniona vile akaingia zake ndani, kesho akanambia nimekuona ulijificha kwa nini?? Nikamwambia siyo mimi na kama uliniona ulikuwa unatoka wapi na mimi nilikurudisha nyumbani? Story zikaishia hapo hatujaongea ila ameomba tuonane tuongee kesho jioni.

Sasa swali niendelee na msimamo wangu sijafika kwake usiku saa 5 au nimwambie black and white nimemuona tangu amechukuliwa hadi karudishwa na wakati anasema anakoga mimi ndo nilikuwa nje dirisha la bafu lake? Embu nisaidieni
Mchepuko anakusaliti alafu unamaindi, una akili wewe?
 
ngumu sana kumfatilia wife hivyo sababu usiku mzima unakuwa naye tatizo huko unapoondoka unarudi kwako unamuacha na nani? najiuliza sana waislam waliooa wanawake wawili
Moja ya vigezo vya kuoa wanawake Zaid ya mmoja ktk dini ya kiislamu ni...
1) uwezo....(mental,physical and financial capacity)

Wewe kuna vtu viwili umepungukiwa apo Kwenye uwezo.... guess what?😃
 
Moja ya vigezo vya kuoa wanawake Zaid ya mmoja ktk dini ya kiislamu ni...
1) uwezo....(mental,physical and financial capacity)

Wewe kuna vtu viwili umepungukiwa apo Kwenye uwezo.... guess what?😃
HII NDO ELIMU TUNATAKIWA TUPEANE ENHEE NAMBIE MKUU
 
Back
Top Bottom