Zero Star
JF-Expert Member
- Mar 22, 2018
- 4,151
- 8,351
Si unamke na watoto mkuu....?NIKIPATA ELIMU YA KUTOSHA BORA NIWE NA MKE KULIKO HII MICHEPUKO HADI UNASHINDWA KUSWALI
Kama unataka kuongeza utaratibu upo madamu ukidhi vigezo na masharti.
Si unamke na watoto mkuu....?NIKIPATA ELIMU YA KUTOSHA BORA NIWE NA MKE KULIKO HII MICHEPUKO HADI UNASHINDWA KUSWALI
ngumu sana kumfatilia wife hivyo sababu usiku mzima unakuwa naye tatizo huko unapoondoka unarudi kwako unamuacha na nani? najiuliza sana waislam waliooa wanawake wawili
Unampenda sana acha kujipa moyo, ungekuwa humpendi usingepigwa baridi na ukang'atwa na mbu usiku kucha eti unamsubiri. KWani lazima uwe naye achana naye kuwa serious na mkeo.Sasa huyu mwanamke nampenda kiasi sio saaana kama navyompenda mke wangu sasa nimegundua ananisaliti, ana bwana mwingine tena, nimeona hii kama mara mbili nyumbani kwake.
Kalishwa limbwata huyo fala....Unampenda sana acha kujipa moyo, ungekuwa humpendi usingepigwa baridi na ukang'atwa na mbu usiku kucha eti unamsubiri. KWani lazima uwe naye achana naye kuwa serious na mkeo.
[emoji38][emoji38][emoji38]duuu hapo umekufa umeoza .mpaka sa5 unamsubiri je hasingerudi? ce ungelala hapo nje wakati umehacha machalii hom na mama yao
wanaume ce niwavumivu sana, ukiona mpaka mwanaume mwwnzio kamuhacha mke tena ana mtoto.jua uyo ni shindikana.
hizi ndo mbinu za kibabe..ila sasa kashampendaJifanye mjinga uendelee kufaidi!
huyo anazingua, msambaratishe marinda then temana nae. Tulia na mkeoJamani mademu hawa mhhh, nina kimchepuko changu mitaa ya majengo, kwa kweli nampenda kiasi yeye ameachika kwa mumewe na anaishi na katoto kake kamoja na mimi nina mke wangu na watoto wawili nyumbani.
Sasa huyu mwanamke nampenda kiasi sio saaana kama navyompenda mke wangu sasa nimegundua ananisaliti, ana bwana mwingine tena, nimeona hii kama mara mbili nyumbani kwake.
Nilimshusha kwa gari yangu nikaondoka nikaenda sehemu nikapaki nikiwa naangalia nyumba yake ikaja gari nyingine ikamchukua nikamwambia ikawa ugomvi sana, sasa jana tena nimemshusha saa 2 usiku nikahisi kuna mtu atakuja kumchukua nikajibanza sehemu nikamuangalia jamaa akaja akamchukua akaondoka, nikasogea hadi chumbani kwake nikapiga simu akapokea anasema anaoga wakati mimi nipo nje ya chumba chake na chumba kina choo cha ndani na kote gizaaaa wala hakuna purukushani za kuoga. Nikamwambia haya ukimaliza nipigie, hakunipigia na mimi sikuondoka hadi saa 5 usiku nikakaa sehemu namsubiria nikiwa na kinywaji changu taratibuuuu.
Kweli alirudi nikamuangalia sikumuuliza. Sasa tatizo ni kwamba kulikuwa na giza kama aliniona vile akaingia zake ndani, kesho akanambia nimekuona ulijificha kwa nini?? Nikamwambia siyo mimi na kama uliniona ulikuwa unatoka wapi na mimi nilikurudisha nyumbani? Story zikaishia hapo hatujaongea ila ameomba tuonane tuongee kesho jioni.
Sasa swali niendelee na msimamo wangu sijafika kwake usiku saa 5 au nimwambie black and white nimemuona tangu amechukuliwa hadi karudishwa na wakati anasema anakoga mimi ndo nilikuwa nje dirisha la bafu lake? Embu nisaidieni
Uku ukimwi mkimnyemelea na kuichia dunia watoto wamlele..Jifanye mjinga uendelee kufaidi!
Unampemda kuliko mkeo. Mwache mke ili uwe na huyo masaa yote.Jamani mademu hawa mhhh, nina kimchepuko changu mitaa ya majengo, kwa kweli nampenda kiasi yeye ameachika kwa mumewe na anaishi na katoto kake kamoja na mimi nina mke wangu na watoto wawili nyumbani.
Sasa huyu mwanamke nampenda kiasi sio saaana kama navyompenda mke wangu sasa nimegundua ananisaliti, ana bwana mwingine tena, nimeona hii kama mara mbili nyumbani kwake.
Nilimshusha kwa gari yangu nikaondoka nikaenda sehemu nikapaki nikiwa naangalia nyumba yake ikaja gari nyingine ikamchukua nikamwambia ikawa ugomvi sana, sasa jana tena nimemshusha saa 2 usiku nikahisi kuna mtu atakuja kumchukua nikajibanza sehemu nikamuangalia jamaa akaja akamchukua akaondoka, nikasogea hadi chumbani kwake nikapiga simu akapokea anasema anaoga wakati mimi nipo nje ya chumba chake na chumba kina choo cha ndani na kote gizaaaa wala hakuna purukushani za kuoga. Nikamwambia haya ukimaliza nipigie, hakunipigia na mimi sikuondoka hadi saa 5 usiku nikakaa sehemu namsubiria nikiwa na kinywaji changu taratibuuuu.
Kweli alirudi nikamuangalia sikumuuliza. Sasa tatizo ni kwamba kulikuwa na giza kama aliniona vile akaingia zake ndani, kesho akanambia nimekuona ulijificha kwa nini?? Nikamwambia siyo mimi na kama uliniona ulikuwa unatoka wapi na mimi nilikurudisha nyumbani? Story zikaishia hapo hatujaongea ila ameomba tuonane tuongee kesho jioni.
Sasa swali niendelee na msimamo wangu sijafika kwake usiku saa 5 au nimwambie black and white nimemuona tangu amechukuliwa hadi karudishwa na wakati anasema anakoga mimi ndo nilikuwa nje dirisha la bafu lake? Embu nisaidieni
Hamna ndoa hapo, mtu anajibanza kwa masaa kadhaa kufuatilia mchepuko!Na wife nae unamfuatilia hivyo hivyo?.
Anapomwita malaya na yeye ajiite nani? Hamna tofauti ya anachofanya mchepuko na anachofanya yeye!Huyo mchukulie ni malaya.....na ndio ukweli pole!
jamaa anayemchukua anamchukulia ni malaya ndo maana ukimrudisha anakuja kumchukua plus dem yupo free mda wote kuongea na simu
huyo ni kimada...we mkaushie endelea kumla na usimchunguze...utaumia ww jua mpo wengi...unafkiri maisha yake na mtoto wake yataendeshwaje?
halafu kama umeoa na hauna experience ya wanawake utaumia sana...wife ataliwa,kimada ataliwa utabaki kichaa....
treat mke kama mke...na kimada abaki kimada...tena mchukulie kama malaya
halafu ulishawahi kujua kwann huyo mwanamke kaachwa kwenye ndoa yake? tofauti ya anavyokuambia?
acha kuchunguza we mle..siku ukichoka mle rafki ake