Demu wangu ananisaliti kimtindo

Demu wangu ananisaliti kimtindo

Hushan

Member
Joined
Dec 5, 2011
Posts
73
Reaction score
41
Jamani mademu hawa mhhh, nina kimchepuko changu mitaa ya majengo, kwa kweli nampenda kiasi yeye ameachika kwa mumewe na anaishi na katoto kake kamoja na mimi nina mke wangu na watoto wawili nyumbani.

Sasa huyu mwanamke nampenda kiasi sio saaana kama navyompenda mke wangu sasa nimegundua ananisaliti, ana bwana mwingine tena, nimeona hii kama mara mbili nyumbani kwake.

Nilimshusha kwa gari yangu nikaondoka nikaenda sehemu nikapaki nikiwa naangalia nyumba yake ikaja gari nyingine ikamchukua nikamwambia ikawa ugomvi sana, sasa jana tena nimemshusha saa 2 usiku nikahisi kuna mtu atakuja kumchukua nikajibanza sehemu nikamuangalia jamaa akaja akamchukua akaondoka, nikasogea hadi chumbani kwake nikapiga simu akapokea anasema anaoga wakati mimi nipo nje ya chumba chake na chumba kina choo cha ndani na kote gizaaaa wala hakuna purukushani za kuoga. Nikamwambia haya ukimaliza nipigie, hakunipigia na mimi sikuondoka hadi saa 5 usiku nikakaa sehemu namsubiria nikiwa na kinywaji changu taratibuuuu.

Kweli alirudi nikamuangalia sikumuuliza. Sasa tatizo ni kwamba kulikuwa na giza kama aliniona vile akaingia zake ndani, kesho akanambia nimekuona ulijificha kwa nini?? Nikamwambia siyo mimi na kama uliniona ulikuwa unatoka wapi na mimi nilikurudisha nyumbani? Story zikaishia hapo hatujaongea ila ameomba tuonane tuongee kesho jioni.

Sasa swali niendelee na msimamo wangu sijafika kwake usiku saa 5 au nimwambie black and white nimemuona tangu amechukuliwa hadi karudishwa na wakati anasema anakoga mimi ndo nilikuwa nje dirisha la bafu lake? Embu nisaidieni
 
Tulia na mkeo !!!
Jikitize zaidi kutafuta hela kwa maendeleo ya familia yako !

Umesema upo blessed na two kids, definitely ndoa yako itakua changa, kwa unini usihangaike na kutengeneza future ya wanao kuliko kupoteza nguvu, hela na akili kwa ng'ombe ambayo Haina muda na wewe ? Nasema ng'ombe kwa sabb imeachika, pia ina mtu mwingine alafu ina wewe pia ,,,,

Yupo kwako kwa visenti kadhaa unavyompa ili aishi mjini
 
Jamani mademu hawa mhhh, nina kimchepuko changu mitaa ya majengo, kwa kweli nampenda kiasi yeye ameachika kwa mumewe na anaishi na katoto kake kamoja na mimi nina mke wangu na watoto wawili nyumbani.

Sasa huyu mwanamke nampenda kiasi sio saaana kama navyompenda mke wangu sasa nimegundua ananisaliti, ana bwana mwingine tena, nimeona hii kama mara mbili nyumbani kwake.

Nilimshusha kwa gari yangu nikaondoka nikaenda sehemu nikapaki nikiwa naangalia nyumba yake ikaja gari nyingine ikamchukua nikamwambia ikawa ugomvi sana, sasa jana tena nimemshusha saa 2 usiku nikahisi kuna mtu atakuja kumchukua nikajibanza sehemu nikamuangalia jamaa akaja akamchukua akaondoka, nikasogea hadi chumbani kwake nikapiga simu akapokea anasema anaoga wakati mimi nipo nje ya chumba chake na chumba kina choo cha ndani na kote gizaaaa wala hakuna purukushani za kuoga. Nikamwambia haya ukimaliza nipigie, hakunipigia na mimi sikuondoka hadi saa 5 usiku nikakaa sehemu namsubiria nikiwa na kinywaji changu taratibuuuu.

Kweli alirudi nikamuangalia sikumuuliza. Sasa tatizo ni kwamba kulikuwa na giza kama aliniona vile akaingia zake ndani, kesho akanambia nimekuona ulijificha kwa nini?? Nikamwambia siyo mimi na kama uliniona ulikuwa unatoka wapi na mimi nilikurudisha nyumbani? Story zikaishia hapo hatujaongea ila ameomba tuonane tuongee kesho jioni.

Sasa swali niendelee na msimamo wangu sijafika kwake usiku saa 5 au nimwambie black and white nimemuona tangu amechukuliwa hadi karudishwa na wakati anasema anakoga mimi ndo nilikuwa nje dirisha la bafu lake? Embu nisaidieni
mchambuzi gani unanicheka badala ya kunichambulia mambo hapo
Chief tulia na mke wako utapeleka virusi kwenye familia yako hivi punde.
yes mchambuzi upo sahihi, maana huwezi jua na yule men anayekuja pale ana dem huko anapotoka "MZUNGUKO HUO" bora kumchana nimejua na aendelee naye tu kama ananiona suger dady basi imeishia hapo.
 
Huyo mchukulie ni malaya.....na ndio ukweli pole!
jamaa anayemchukua anamchukulia ni malaya ndo maana ukimrudisha anakuja kumchukua plus dem yupo free mda wote kuongea na simu

huyo ni kimada...we mkaushie endelea kumla na usimchunguze...utaumia ww jua mpo wengi...unafkiri maisha yake na mtoto wake yataendeshwaje?

halafu kama umeoa na hauna experience ya wanawake utaumia sana...wife ataliwa,kimada ataliwa utabaki kichaa....

treat mke kama mke...na kimada abaki kimada...tena mchukulie kama malaya

halafu ulishawahi kujua kwann huyo mwanamke kaachwa kwenye ndoa yake? tofauti ya anavyokuambia?

acha kuchunguza we mle..siku ukichoka mle rafki ake
 
Jamani mademu hawa mhhh, nina kimchepuko changu mitaa ya majengo, kwa kweli nampenda kiasi yeye ameachika kwa mumewe na anaishi na katoto kake kamoja na mimi nina mke wangu na watoto wawili nyumbani.

Sasa huyu mwanamke nampenda kiasi sio saaana kama navyompenda mke wangu sasa nimegundua ananisaliti, ana bwana mwingine tena, nimeona hii kama mara mbili nyumbani kwake.

Nilimshusha kwa gari yangu nikaondoka nikaenda sehemu nikapaki nikiwa naangalia nyumba yake ikaja gari nyingine ikamchukua nikamwambia ikawa ugomvi sana, sasa jana tena nimemshusha saa 2 usiku nikahisi kuna mtu atakuja kumchukua nikajibanza sehemu nikamuangalia jamaa akaja akamchukua akaondoka, nikasogea hadi chumbani kwake nikapiga simu akapokea anasema anaoga wakati mimi nipo nje ya chumba chake na chumba kina choo cha ndani na kote gizaaaa wala hakuna purukushani za kuoga. Nikamwambia haya ukimaliza nipigie, hakunipigia na mimi sikuondoka hadi saa 5 usiku nikakaa sehemu namsubiria nikiwa na kinywaji changu taratibuuuu.

Kweli alirudi nikamuangalia sikumuuliza. Sasa tatizo ni kwamba kulikuwa na giza kama aliniona vile akaingia zake ndani, kesho akanambia nimekuona ulijificha kwa nini?? Nikamwambia siyo mimi na kama uliniona ulikuwa unatoka wapi na mimi nilikurudisha nyumbani? Story zikaishia hapo hatujaongea ila ameomba tuonane tuongee kesho jioni.

Sasa swali niendelee na msimamo wangu sijafika kwake usiku saa 5 au nimwambie black and white nimemuona tangu amechukuliwa hadi karudishwa na wakati anasema anakoga mimi ndo nilikuwa nje dirisha la bafu lake? Embu nisaidieni
Unasema unampenda kidogo sio sana lakini maongezi yako yanaonesha umekufa umeoza kwa mchepuko wako, lol
Yaan baba wa familia unaacha kuwahi nyumbani kwako ukakumbatie familia yako umejibanza sehemu kumsubiri mwanamke ambaye humpendi sana, [emoji23]

Bro, wewe enjoy a good sex(am sure ndio kilichokupagawisha) na wengine waache waenjoy a good sex sababu wewe umeoa na sio kama utamuoa pia.
 
Jamani mademu hawa mhhh, nina kimchepuko changu mitaa ya majengo, kwa kweli nampenda kiasi yeye ameachika kwa mumewe na anaishi na katoto kake kamoja na mimi nina mke wangu na watoto wawili nyumbani.

Sasa huyu mwanamke nampenda kiasi sio saaana kama navyompenda mke wangu sasa nimegundua ananisaliti, ana bwana mwingine tena, nimeona hii kama mara mbili nyumbani kwake.

Nilimshusha kwa gari yangu nikaondoka nikaenda sehemu nikapaki nikiwa naangalia nyumba yake ikaja gari nyingine ikamchukua nikamwambia ikawa ugomvi sana, sasa jana tena nimemshusha saa 2 usiku nikahisi kuna mtu atakuja kumchukua nikajibanza sehemu nikamuangalia jamaa akaja akamchukua akaondoka, nikasogea hadi chumbani kwake nikapiga simu akapokea anasema anaoga wakati mimi nipo nje ya chumba chake na chumba kina choo cha ndani na kote gizaaaa wala hakuna purukushani za kuoga. Nikamwambia haya ukimaliza nipigie, hakunipigia na mimi sikuondoka hadi saa 5 usiku nikakaa sehemu namsubiria nikiwa na kinywaji changu taratibuuuu.

Kweli alirudi nikamuangalia sikumuuliza. Sasa tatizo ni kwamba kulikuwa na giza kama aliniona vile akaingia zake ndani, kesho akanambia nimekuona ulijificha kwa nini?? Nikamwambia siyo mimi na kama uliniona ulikuwa unatoka wapi na mimi nilikurudisha nyumbani? Story zikaishia hapo hatujaongea ila ameomba tuonane tuongee kesho jioni.

Sasa swali niendelee na msimamo wangu sijafika kwake usiku saa 5 au nimwambie black and white nimemuona tangu amechukuliwa hadi karudishwa na wakati anasema anakoga mimi ndo nilikuwa nje dirisha la bafu lake? Embu nisaidieni
Hahahaaaaa mkuu unakuwa na wivu na mchepuko????? Hauko serious
 
Una mke na watoto wawili ila mchepuko ambaye ni mzigo wa watu wengine tena single motheee anakuweka nje usiku ukimvizia kama sungusungu uone karudi kwake saa ngapi?

Are you normal!?
 
Huyo mchukulie ni malaya.....na ndio ukweli pole!
jamaa anayemchukua anamchukulia ni malaya ndo maana ukimrudisha anakuja kumchukua plus dem yupo free mda wote kuongea na simu

huyo ni kimada...we mkaushie endelea kumla na usimchunguze...utaumia ww jua mpo wengi...unafkiri maisha yake na mtoto wake yataendeshwaje?

halafu kama umeoa na hauna experience ya wanawake utaumia sana...wife ataliwa,kimada ataliwa utabaki kichaa....

treat mke kama mke...na kimada abaki kimada...tena mchukulie kama malaya

halafu ulishawahi kujua kwann huyo mwanamke kaachwa kwenye ndoa yake? tofauti ya anavyokuambia?

acha kuchunguza we mle..siku ukichoka mle rafki ake
DUH, we mtu nimekuelewa sanaaaaaaaaa
 
Una mke na watoto wawili ila mchepuko ambaye ni mzigo wa watu wengine tena single motheee anakuweka nje usiku ukimvizia kama sungusungu uone karudi kwake saa ngapi?

Are you normal!?
yeah am normal sometimes ukitaka ukweli ili ujikwamue lazma uumie kidogo, nafurahia kitendo changu sababu nimejua ukweli na sasa nipo huru sana.
 
Back
Top Bottom