ila facebk bana dah yan kila dem ukimtokea mtoto anajaa cjui hata wana matatizo gani jaman, then wasagaji nao wana group yao mule wanajitangaza, nacked pics n.k yani balaa tupu.
ujinga unaoniudhi kwenye facebook ni pale mtu anapoandika kila anachofanya! utaona mtu kaandika, its breackfast time basi atapiga picha hako ka chai kake ka asubuhi ana post huko. mchana akienda kula tu chipsi anaweka picha, wikiendi akitoka anaweka picha yaani utadhani upo kwenye blog ya u turn! mashauzi tuuuuu argh jf raha saaaaaaaaaaana huku.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.