Baba Collin
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 456
- 58
Acha hzo man!utapotea!mademu wengi wa facebook si waaminifu.hvyo nakushauri mmwage kwan kuna kila dalili za kuumia mbele muendako kama utamuendekeza.pia acha tabia ya kutongoza ovyo kwenye facebook kwan unajichoresha.