Facebook wananitafuta visa na kutishia maisha account yangu

Ben-adam

JF-Expert Member
Jun 2, 2023
765
1,670
habari zenu ndugu zangu wa ukoo wa jf!

Facebook sasa naona visa haviishi, mimi siwaelewi

Juzi kati hapa walifunga account yangu wakidai kwamba waliona shughuli isiyokuwa ya kawaida kwenye account yangu (kwa mujibu wa maelezo yao)
Nikasema hivyo tu, nikarudisha akaunti yangu nikatembelea settings, nikachange namba ya siri, namba ya simu nk

Haya; jana usiku wakati nazurula zangu mitandaoni nikapita huko telegram nikaona picha fulani hivi za wadada wako kiuchi uchi (wanaojiuza), nikala kona nikarudi home street (jf) mpaka nilipopitiwa usingizi.

Sasa leo mida ya chai nawasha data, moja wapo ya notification s zilizoingia ni kutoka facebook ati "we removed some of your content" kufungua hivi, nakutana na zile picha za telegram 🤔🤔
aisee nimetokwa jasho wewe!!

Tangu jana usiku huo hakuna mtu aliegusa simu yangu na nina uhakika mkubwa hakuna anaedukua simu yangu,wala hakuna mwingine anatumia simu wala akaunti yangu ispokuwa ni hawa hawa facebook wenyewe 😡

wananitisha kwamba watafunga akaunti yangu, sasa mimi nawapiga chini na akaunti nafuta kabla hawajaifunga. Watakuja kunidhalilisha hawa!!
Screenshot_20230929-121141.jpg
 
Facebook hawawezi kukuonea wewe.... Kwenye harakati zako huko Telegram utakuwa uli-share jambo kwenye account yako ya Facebook.

Tayari ulishatwambia ulikuwa Telegram unaangalia video za uchi, utakuwa uli-share bila kujua kwenda Facebook
 
Mike Zuckerberg ni CIA agent.
Utaona Facebook wanasema "friends have been recommended for you"
Unajiuliza,"Recommended by who"?
Acha ushamba, hiyo ni algorithm tu, ni teknolojia tu ya mtandaoni inaangalia location uliyopo, na marafiki wanaojirudia rudia kwa marafiki zako wengine ndio inaokuletea kama "Suggestion" ili nao wawe marafiki zako... Inakurahisishia kazi ya kutafuta marafiki, huo mfumo unatumika sana kwenye hizi mitandao. Hata Google pia wanautumia pale unapoenda kutafuta location au habari, unaletewa habari iliyokaribu nawe au iliyosomwa zaidi na watu wa nchi yako au wa lugha yako
 
Acha ushamba, hiyo ni algorithm tu, ni teknolojia tu ya mtandaoni inaangalia location uliyopo, na marafiki wanaojirudia rudia kwa marafiki zako wengine ndio inaokuletea kama "Suggestion" ili nao wawe marafiki zako... Inakurahisishia kazi ya kutafuta marafiki, huo mfumo unatumika sana kwenye hizi mitandao. Hata Google pia wanautumia pale unapoenda kutafuta location au habari, unaletewa habari iliyokaribu nawe au iliyosomwa zaidi na watu wa nchi yako au wa lugha yako
Mkuu hii nchi bado ina wajinga wengi sana, na cha ajabu wana confidence sana.
 
Duhhhhh.....
Naona nimekosea njia, ngoja niende kule jukwaa la ujenzi
 
Mkuu hii nchi bado ina wajinga wengi sana, na cha ajabu wana confidence sana.
hata wewe ni mjinga kwa kiasi fulani. niamini mimi
Acha ushamba, hiyo ni algorithm tu, ni teknolojia tu ya mtandaoni inaangalia location uliyopo, na marafiki wanaojirudia rudia kwa marafiki zako wengine ndio inaokuletea kama "Suggestion" ili nao wawe marafiki zako... Inakurahisishia kazi ya kutafuta marafiki, huo mfumo unatumika sana kwenye hizi mitandao. Hata Google pia wanautumia pale unapoenda kutafuta location au habari, unaletewa habari iliyokaribu nawe au iliyosomwa zaidi na watu wa nchi yako au wa lugha yako
Algorithm ndo inachukua picha kwenye simu na kuzipost?? Jana ilikuwa tarehe 28 leo ni 29 na wao wanasema tukio hilo limefanyika tarehe ya leo !
 
Algorithm ndo inachukua picha kwenye simu na kuzipost?? Jana ilikuwa tarehe 28 leo ni 29 na wao wanasema tukio hilo limefanyika tarehe ya leo !
Mimi nimemjibu mwingine kuhusu Algorithm, acha kuvaa shela kwenye harusi isiyo yako.

Mkiambiwa muache kutumia Tecno unabisha... Facebook hawawezi kukufanyia hujuma wewe, ni either account yako ime-hackiwa maana siku hizi kuna madogo wa Indonesia wana-hack sana facebook account za watu na kuposti link za wanawake waliouchi, au utakuwa simu yako imepita yenyewe, au kuna mtu ana access na account yako

Muda mwingine mnaambiwa msibonyeze link msizozijua hili kuepusha mambo kama hayo
 
Acha ushamba, hiyo ni algorithm tu, ni teknolojia tu ya mtandaoni inaangalia location uliyopo, na marafiki wanaojirudia rudia kwa marafiki zako wengine ndio inaokuletea kama "Suggestion" ili nao wawe marafiki zako... Inakurahisishia kazi ya kutafuta marafiki, huo mfumo unatumika sana kwenye hizi mitandao. Hata Google pia wanautumia pale unapoenda kutafuta location au habari, unaletewa habari iliyokaribu nawe au iliyosomwa zaidi na watu wa nchi yako au wa lugha yako
"Algorithm"-- exactly. Facebook Wana tamper na hizo algorithm,halafu message yako uliyotuma,badala ya kuwafikia watu elfu,inawafikoa watu mia.
 
Back
Top Bottom