Umemaliza. Huyu jamaa kwa mada hii nimemuona hawezi kabisa kutafsiri mambo. Uelewa wake ni mdogo sana.Kilichokuwa kinafanywa na Trump ni kuvamia bunge, kitu ambacho ameshindwa vibaya kulidhibiti na kufanya liamua atakavyo yeye.
Kwa upende mwingine hapa TZ Magufuli amefanikiwa kuvamia na kuharibu bunge pamoja na mahakama zetu! Tuna bunge kibogoyo na la hovyo kuwahi kutokea kwa sababu ya Jiwe. Mahakama vivyo hivyo.
Sifa zako kwa TZ kama uvyojaribu kueleza ukilinganisha na yaliyotoakea Marekani inaonyesha umbilikimo wa ufahamu wako katika kutafsiri mambo!
Trump ame take advantage ya demokrasia iliyopo nchini kwake kufanya aliyoyafanya. Kusingekuwa na demokrasia angeweza kutumia mapolisi lakini badala yake katumia machalii wake wa kitaa.Kiukweli Marekani siyo baba wa Demokrasia bali ni wababe kwenye Demokrasia. Na ukiangalia kwa makini Tanzania tuko vizuri katika kusimamia misingi ya Demokrasia kuliko Marekani.
Wewe uliona wapi Rais anawashawishi wafuasi wake wakavamie bunge ambalo ni muhimili unaojitegemea?
Itoshe tu kusema Tanzania tuko vizuri kidemokrasia.
Maendeleo hayana vyama!
Thus Jamii makini ukiwa mjamaa katu sahau hata kupata umonita darasani,kwa hofu utawaletea umasikini. Wajamaa wote hawana confidence ya kuongoza matajiri na wasomi ni lzm wawashushe waishi kishetani, wao wanaamini Kila aliyefanikiwa ni mwizi hizi ni ideology za kifukara.
Ila We Jamaa una furahishaga Sana....Hakuna mambo ya sijui mzizi umejichimbia ardhini. Mara sijui "muhimili wangu" umejikita matopeni
Huyu jamaa yuko too low. Kama angalau ana ufahamu kidogo, ajitafakari ataona hata wa aina yake hawamuungi mkono. Katafsiri issue ya USA tofauti sana.Yaani wewe elimu yako ndogo demokrasia siyo matakwa ya kiongozi wa nchi na chama chake bali ni matakwa ya wananchi wote kwa ujumla wao hivyo andiko lako halina mantiki.
Kiukweli Marekani siyo baba wa Demokrasia bali ni wababe kwenye Demokrasia. Na ukiangalia kwa makini Tanzania tuko vizuri katika kusimamia misingi ya Demokrasia kuliko Marekani.
Wewe uliona wapi Rais anawashawishi wafuasi wake wakavamie bunge ambalo ni muhimili unaojitegemea?
Itoshe tu kusema Tanzania tuko vizuri kidemokrasia.
Maendeleo hayana vyama!
Unataka kuaminisha umma kuwa rais wa Tanzania anapatikana kwa matamko? Acha uzushi.Kubali kataa Trump angekuwa anaongoza nchi kama Tz, angeshatangazwa kuongoza mingine tena. Ni kutamka na inakuwa kama afanyavyo Magufuli.
Mataga ya mbogamboga tangy lini yakawa na akili,siasa za marekani hazijui anaandika andika tu,baada ya kuandikaHuyu jamaa yuko too low. Kama angalau ana ufahamu kidogo, ajitafakari ataona hata wa aina yake hawamuungi mkono. Katafsiri issue ya USA tofauti sana.
Kiukweli Marekani siyo baba wa Demokrasia bali ni wababe kwenye Demokrasia. Na ukiangalia kwa makini Tanzania tuko vizuri katika kusimamia misingi ya Demokrasia kuliko Marekani.
Wewe uliona wapi Rais anawashawishi wafuasi wake wakavamie bunge ambalo ni muhimili unaojitegemea?
Itoshe tu kusema Tanzania tuko vizuri kidemokrasia.
Maendeleo hayana vyama!
Trump ameshindwa huo uhuni wake!
Kinachofanyika huko USA ni sawa na hapa Tanzania? Yaani unafananisha ustaarabu wa hapa bongo na nchi ya kishenzi? Ambayo watu wapuuzi wanaovunja na kuvamia bunge?
Kwa demokrasia ipi iliyopo bongo,Mtu ameiba kura,ameua,amefunga,we umebanwa maci,nenda kakate gogo,jiwe amefanya mala mia ya hayo ya USAKiukweli Marekani siyo baba wa Demokrasia bali ni wababe kwenye Demokrasia. Na ukiangalia kwa makini Tanzania tuko vizuri katika kusimamia misingi ya Demokrasia kuliko Marekani.
Wewe uliona wapi Rais anawashawishi wafuasi wake wakavamie bunge ambalo ni muhimili unaojitegemea?
Itoshe tu kusema Tanzania tuko vizuri kidemokrasia.
Maendeleo hayana vyama!
Nimemshangaa kweli huyo jamaaMkuu huwa unaisoma vizuri historia? Kwamba Trump ndo anakuwa rais Wa kwanza kukalia term moja ya urais
Najua mtoa post hajakuelewa hapo. Asante kwa kumwelekeza.Alichokifanya Trump ndio kinachofanyika hapa Tanzania, ila Trump ameshindwa huo uhuni wake maana huko rais sio mungu kama hapa Tanzania, na huko taasisi zina nguvu kuliko madaraka ya rais.
Hahahaaaa........!Najua mtoa post hajakuelewa hapo. Asante kwa kumwelekeza.
HUNA AKILI KWA HERUFI KUBWA
Duh...aisee...upinzani wa TZ ni shida kabisa....Alichokifanya Trump ndio kinachofanyika hapa Tanzania, ila Trump ameshindwa huo uhuni wake maana huko rais sio mungu kama hapa Tanzania, na huko taasisi zina nguvu kuliko madaraka ya rais.
Hakuna cha shida wala nini, ukweli huwa ni mchungu..Duh...aisee...upinzani wa TZ ni shida kabisa....