Demokrasia ya Tanzania ni nzuri kuliko ya Marekani, hapa Rais hawezi kuratibu maandamano ya ghasia

Kilichokuwa kinafanywa na Trump ni kuvamia bunge, kitu ambacho ameshindwa vibaya kulidhibiti na kufanya liamua atakavyo yeye.
Kwa upende mwingine hapa TZ Magufuli amefanikiwa kuvamia na kuharibu bunge pamoja na mahakama zetu! Tuna bunge kibogoyo na la hovyo kuwahi kutokea kwa sababu ya Jiwe. Mahakama vivyo hivyo.
Sifa zako kwa TZ kama uvyojaribu kueleza ukilinganisha na yaliyotoakea Marekani inaonyesha umbilikimo wa ufahamu wako katika kutafsiri mambo!
Umemaliza. Huyu jamaa kwa mada hii nimemuona hawezi kabisa kutafsiri mambo. Uelewa wake ni mdogo sana.
 
Kiukweli Marekani siyo baba wa Demokrasia bali ni wababe kwenye Demokrasia. Na ukiangalia kwa makini Tanzania tuko vizuri katika kusimamia misingi ya Demokrasia kuliko Marekani.

Wewe uliona wapi Rais anawashawishi wafuasi wake wakavamie bunge ambalo ni muhimili unaojitegemea?

Itoshe tu kusema Tanzania tuko vizuri kidemokrasia.

Maendeleo hayana vyama!
Trump ame take advantage ya demokrasia iliyopo nchini kwake kufanya aliyoyafanya. Kusingekuwa na demokrasia angeweza kutumia mapolisi lakini badala yake katumia machalii wake wa kitaa.

Hawa kina Trump wa huku kwetu wanatumia mapolisi na wajeda wanaolipwa kodi zetu - huo sasa ni udikteta!
 
Thus Jamii makini ukiwa mjamaa katu sahau hata kupata umonita darasani,kwa hofu utawaletea umasikini. Wajamaa wote hawana confidence ya kuongoza matajiri na wasomi ni lzm wawashushe waishi kishetani, wao wanaamini Kila aliyefanikiwa ni mwizi hizi ni ideology za kifukara.

Hakuna mambo ya sijui mzizi umejichimbia ardhini. Mara sijui "muhimili wangu" umejikita matopeni
Ila We Jamaa una furahishaga Sana....
 
Yaani wewe elimu yako ndogo demokrasia siyo matakwa ya kiongozi wa nchi na chama chake bali ni matakwa ya wananchi wote kwa ujumla wao hivyo andiko lako halina mantiki.
Huyu jamaa yuko too low. Kama angalau ana ufahamu kidogo, ajitafakari ataona hata wa aina yake hawamuungi mkono. Katafsiri issue ya USA tofauti sana.
 
Kiukweli Marekani siyo baba wa Demokrasia bali ni wababe kwenye Demokrasia. Na ukiangalia kwa makini Tanzania tuko vizuri katika kusimamia misingi ya Demokrasia kuliko Marekani.

Wewe uliona wapi Rais anawashawishi wafuasi wake wakavamie bunge ambalo ni muhimili unaojitegemea?

Itoshe tu kusema Tanzania tuko vizuri kidemokrasia.

Maendeleo hayana vyama!

What is the xxxxxxxx difference between despicable, heathen antics of operatives such as the native Maasai DC at Bomangombe and ... ad up there ... to profoundly ANTI ESTABLISHMENT acts perpetrated against US democracy ? U tell me! Common denominator is the same as found in Hitlers motives. From shortfalls in height extending to manhood, gumption et al. Bonafide son of a *****!
 
Huyu jamaa yuko too low. Kama angalau ana ufahamu kidogo, ajitafakari ataona hata wa aina yake hawamuungi mkono. Katafsiri issue ya USA tofauti sana.
Mataga ya mbogamboga tangy lini yakawa na akili,siasa za marekani hazijui anaandika andika tu,baada ya kuandika
 
Kiukweli Marekani siyo baba wa Demokrasia bali ni wababe kwenye Demokrasia. Na ukiangalia kwa makini Tanzania tuko vizuri katika kusimamia misingi ya Demokrasia kuliko Marekani.

Wewe uliona wapi Rais anawashawishi wafuasi wake wakavamie bunge ambalo ni muhimili unaojitegemea?

Itoshe tu kusema Tanzania tuko vizuri kidemokrasia.

Maendeleo hayana vyama!

Mkuu acha mzaha. Rais wa JMT ahitaji kutuma “wafuasi” wake kuvamia Bunge la Ndugai? Waliomo bungeni ni kina nani hao? Isije ikawa unataka kumzoea vibaya JPM.
 
Trump ameshindwa huo uhuni wake!

Kinachofanyika huko USA ni sawa na hapa Tanzania? Yaani unafananisha ustaarabu wa hapa bongo na nchi ya kishenzi? Ambayo watu wapuuzi wanaovunja na kuvamia bunge?

Hebu tulia tafadhali, muhuni huko US ni Trump kisha akapata urais, salama ya huko ni kwakuwa wana taasisi huru na katiba bora. Angekuwa kwenye katiba mbovu kama hii hapa kwetu, angefanya kama kilichofanyika kwenye uchaguzi wa hapa kwetu juzi.
 
Kiukweli Marekani siyo baba wa Demokrasia bali ni wababe kwenye Demokrasia. Na ukiangalia kwa makini Tanzania tuko vizuri katika kusimamia misingi ya Demokrasia kuliko Marekani.

Wewe uliona wapi Rais anawashawishi wafuasi wake wakavamie bunge ambalo ni muhimili unaojitegemea?

Itoshe tu kusema Tanzania tuko vizuri kidemokrasia.

Maendeleo hayana vyama!
Kwa demokrasia ipi iliyopo bongo,Mtu ameiba kura,ameua,amefunga,we umebanwa maci,nenda kakate gogo,jiwe amefanya mala mia ya hayo ya USA
Uzuri wa wenzetu waliostaarabika,wacha Trump,ajifarague,taasisi za nchi zinamcheki tu,NSA,FBI,CIA,Homeland security,state department,ikifika January 20!atakuwa ni mvamizi,hata secret service wanaomlinda,watampiga pingu,
Kwa usa,Trump hawezi kumfokea,au kumwamlisha Spika wa bunge,Nansi Pelose,huku kwetu,Ndugai alipewa amri,'wafukuze huko,waje waongee huku"Tundu Lisu akafukuzwa,akakutana na wasiojurikana wakampa risasi 18!lakini mwanaume,akapona.
 
Alichokifanya Trump ndio kinachofanyika hapa Tanzania, ila Trump ameshindwa huo uhuni wake maana huko rais sio mungu kama hapa Tanzania, na huko taasisi zina nguvu kuliko madaraka ya rais.
Najua mtoa post hajakuelewa hapo. Asante kwa kumwelekeza.
 
Alichokifanya Trump ndio kinachofanyika hapa Tanzania, ila Trump ameshindwa huo uhuni wake maana huko rais sio mungu kama hapa Tanzania, na huko taasisi zina nguvu kuliko madaraka ya rais.
Duh...aisee...upinzani wa TZ ni shida kabisa....
 
Joke
Tanzania democracy vs America democracy
Au hujaelewa maana ya democracy au akili tumboni
 
Wewe unaumwa. Nilitaka kukujibu ila wameisha jibu nililotaka kukupa. Ila kwa ufupi, kinachofanyika marekani kwa raisi aliepo madarakani, kamwe hakiwezi kufanyika Tanzania. Labda unataka unyongwe mchana kweupe, hata wewe unajua
 
Mifumo ya elimu yetu Tz ni janga kwa taifa aina hii ya waleta mada ndo wa kufanya nchi iwe na uchumi wa kati kweli? Ee Mungu angalia bara letu la Afrika
 
Back
Top Bottom