Demokrasia ni utawala wa walio wengi .Sensa ya watu Tanzania inaonyesha Tanzania wengi vijana inakuwaje viongozi wa vyama vya siasa na serikalini na bunge vikongwe?
Vyama vyote kuanzia CCM, Chadema, UDP, CUF nk vimejaa vizee vikongwe vya kiume na kike ripoti za sensa vinasoma au la? Kujua walio wengi ni nani kwenye ripoti za sensa wawapishe wawape vyeo
Vizee vibibi na vibabu vipishe vijana washike .Demokrasia ni utawala wa walio wengi kuanzia vyeo watawala wanatakiwa watoke kundi la walio wengi sio wachache Vyama vyote vya siasa wengi vijana iwe CCM, Chadema, CUF, UDP nk lakini vizee vikongwe vya kike na kiume vimeng'ang'ania kuongoza majority ambao ni vijana kama riport za sensa zinavyoonyesha
Vyama vyote kuanzia CCM, Chadema, UDP, CUF nk vimejaa vizee vikongwe vya kiume na kike ripoti za sensa vinasoma au la? Kujua walio wengi ni nani kwenye ripoti za sensa wawapishe wawape vyeo
Vizee vibibi na vibabu vipishe vijana washike .Demokrasia ni utawala wa walio wengi kuanzia vyeo watawala wanatakiwa watoke kundi la walio wengi sio wachache Vyama vyote vya siasa wengi vijana iwe CCM, Chadema, CUF, UDP nk lakini vizee vikongwe vya kike na kiume vimeng'ang'ania kuongoza majority ambao ni vijana kama riport za sensa zinavyoonyesha