Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 7,152
- 10,862
Kwa kutumia demokrasia watu wenye sifa mbaya kiutawala na ambao wamewahi kuzitiia nchi zao kwenye mizozo wamekuwa wakirudi madarakani kwa kasi.Mmojawapo ni Benjamin Netanyahu wa Israel.
Muda wote wa uongozi wake mbali na kuwaadhibu wapalestina alikuwa daima yuko mahakamani kwa shutuma mchanganyiko. Juzi imeelezwa ameshinda tena uchaguzi.
Mtu mwengine ambaye hana sifa za uongozi na kama mwenye kichaa ni Donald Trump.Tayari anafanya kampleni za kumrudisha madarakani na kwa kutumia demokrasia ana wafuasi wanaomuunga mkono.
Kwa mfumo huu wa utawala nchi za magharibi zitazidi kudidimia na sehemu yake kwa kuanzia kuchukuliwa na nchi kama vile China na Russia.
Muda wote wa uongozi wake mbali na kuwaadhibu wapalestina alikuwa daima yuko mahakamani kwa shutuma mchanganyiko. Juzi imeelezwa ameshinda tena uchaguzi.
Mtu mwengine ambaye hana sifa za uongozi na kama mwenye kichaa ni Donald Trump.Tayari anafanya kampleni za kumrudisha madarakani na kwa kutumia demokrasia ana wafuasi wanaomuunga mkono.
Kwa mfumo huu wa utawala nchi za magharibi zitazidi kudidimia na sehemu yake kwa kuanzia kuchukuliwa na nchi kama vile China na Russia.