Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,028
- 12,342
Naomba mnisaidie wadau ni nchi gani duniani imepiga hatua za maendeleo ya kiuchumi kwa sababu ya demokrasia?
Title ina alama hii "?" Na ukisoma ndani pia unakutana na alama hii "?"Title imetoa conclusion, content inatuuliza kutoa proof.
Nadhani ungefanya tu research mkuu kabla ya kuanzisha thread ili at lease uongeze nyama
U.S.A, Canada, Ulaya hawa maendeleo yao kwa kiasi kikubwa yamechagizwa na shughuli za ukoloni na utumwa na nafikiri wafahamu yale watumwa waliyokuwa wakitendewa ni kinyume kabisa na vitabuni demokrasia inavyo elekeza.Usa,Canada,ulaya,india
Denmark Canada Sweden Finland Norway alimfanyia nani utumwa akawa na maendeleo.U.S.A, Canada, Ulaya hawa maendeleo yao kwa kiasi kikubwa yamechagizwa na shughuli za ukoloni na utumwa na nafikiri wafahamu yale watumwa waliyokuwa wakitendewa ni kinyume kabisa na vitabuni demokrasia inavyo elekeza.
Hakuna nchi duniani inayoongozwa kwa demokrasia, Kwasababu hakuna aliyewahi kudhubutu isipokuwa Bwana Yesu na serikali ya Mungu.Naomba mnisaidie wadau ni nchi gani duniani imepiga hatua za maendeleo ya kiuchumi kwa sababu ya demokrasia ?
I'm not Pan-Africanist. Hakuna chuki yoyote ya kusema kuwa Canada kulikuwa na shughuli za kutumikisha watumwa labda kama historia yake hufahamu.Denmark Canada Sweden Finland Norway alimfanyia nani utumwa akawa na maendeleo.
Achana na chuki za panafricanist wameandika chuki nyingi kuliko ukweli halisi
Nchi karibia asilimia 90 ni zipi hizo ukiondoa hiyo China ambayo tayari umeitenga ?Mimi nilifikiri ungeuliza nchi gani ya kidikteta imeendelea?
Nchi zaidi ya asilimia 90 zilizoendelea ni za kidemokrasia. Dictatorship labda China tu.
Afrika yote sehemu kubwa madikteta tu na huku ombaomba
Tusubiri tuone majibu ya wadau yatatoa mwangaza gani. Ni hatua zipi zitatufaa katika safari yetu ya maendeleoPia lazima tufahamu kati ya democracy na dictatorship kipi kianze. Nchi za magharibi zilianza na udikteta baada ya kupiga hatua katika nyanja za maendeleo na ustaharabu Wakashift kwenda Kwenye democracy.
Africa ni vice versa tumeanza na democracy 🤣🤣
Hakuna democracy kwenye jamii masikini na isiyostaharabika.
Misingi ya German ya Leo ilijengwa na Adolph Hitler.
SawaHakuna nchi duniani inayoongozwa kwa demokrasia, Kwasababu hakuna aliyewahi kudhubutu isipokuwa Bwana Yesu na serikali ya Mungu.
Huyo mtu mwenye kuleta demokrasia
Tumtazamie miaka ijayo sio sasa.
Africa yatupasa kuja na mifumo yetu ya kiungozi na kiutawala ambayo inaendana na jamii zetu.Tusubiri tuone majibu ya wadau yatatoa mwangaza gani. Ni hatua zipi zitatufaa katika safari yetu ya maendeleo
Ulaya yote nchi za EU zimeendelea. Zipo karibu 30. Kule USA zote zilizoendelea ni za kidemokrasia.Nchi karibia asilimia 90 ni zipi hizo ukiondoa hiyo China ambayo tayari umeitenga ?
Itakuwa vizuri piaAfrica yatupasa kuja na mifumo yetu ya kiungozi na kiutawala ambayo inaendana na jamii zetu.
Ulaya,U.S.A hauwezi zitenganisha na ukoloni na utumwa sifikiri kama hivi ndivyo demokrasia ya vitabuni yasemaUlaya yote nchi za EU zimeendelea. Zipo karibu 30. Kule USA zote zilizoendelea ni za kidemokrasia.
Angalia Russia na utajiri wote ule waliko. Wanazidiwa maendeleo na nchi ndogo walizozitawala kama Poland.
Nenda kule Asia ya Japan, Taiwan, Hongkong , Malaysia nk.
Angalia tu nchi zote za kikomunist zilikuwa zonatawaliwa na Soviet Union mpaka 1990. Wakati sisi tukipata uhuru 1961 wao wamepata uhuru 1990. Kaangalie Sasa maendeleo yao baada ya kuikumbatia demokrasia ta kweli. Nenda Poland, Czech, Hungary , Ujerumani mashariki nk.Pia lazima tufahamu kati ya democracy na dictatorship kipi kianze. Nchi za magharibi zilianza na udikteta baada ya kupiga hatua katika nyanja za maendeleo na ustaharabu Wakashift kwenda Kwenye democracy.
Africa ni vice versa tumeanza na democracy 🤣🤣
Hakuna democracy kwenye jamii masikini na isiyostaharabika.
Misingi ya German ya Leo ilijengwa na Adolph Hitler.
Hizo nchi za Asia zimepita katika historia ya kutisha ya madikteta katika historia ya nchi zaoUlaya yote nchi za EU zimeendelea. Zipo karibu 30. Kule USA zote zilizoendelea ni za kidemokrasia.
Angalia Russia na utajiri wote ule waliko. Wanazidiwa maendeleo na nchi ndogo walizozitawala kama Poland.
Nenda kule Asia ya Japan, Taiwan, Hongkong , Malaysia nk.
Kuna tafsiri pana za maneno haya: 1.Demokrasia. 2. Udikteta.3. Maendeleo.Naomba mnisaidie wadau ni nchi gani duniani imepiga hatua za maendeleo ya kiuchumi kwa sababu ya demokrasia ?