Degree za bamaga

Kuna msemo unasema "you can take a professor out of Manzese but you can't take out Umanzese out of him/ her". This means that professor in his/ her area is very compentent but socilally very poor/ not civilised. Possibly the guy was drunk; or the joke was not familiar to those guys; or the joke was out of context!!!!!!!!
 
Sio dharau ndo maana wamezuiliwa wasitoe tena degree

jambo usilolijua ni kama usiku wa kiza.
Kusimamishiwa udahili kwa mwak huu ni kutokana na kupngukiwa sifa za "management team" Acting Principal, DOS and DFA, ambao hawana effect yoyote kwa ubora wa elimu(digrii) Taasisi iliruhusiwa kutoa digrii tangu 2005 baada ya serikali kufuta Advanced diploma katika mtaala wa elimu ya Tanzania na by that time management ilikuwa na sifa zote na ndio maana Taasisi iliruhusiwa kutoa digrii, na Product ya kwanza ipo kwenye labour market na performance yao ni nzuri sana. Baada ya kustaafu Prof Rwegoshora na baadhi ya Phd holders wengine na kuhama kwa aliyekuwa DOS Dr.Kitojo. ndo kumeletekeza Taasisi kupungukiwa sif za kuendele kudahili wanafunzi wa digrii mpaka hapo watakapokamilisha hiyo management team.
Natumaini utakuwa umepata mwanga kiasi fulani.
 
Ni kweli tatizo liliopo isw ni la kiutawala na wala haliusiani na degree zinazotolewa hapo. Kwa ufahamisho tu chuo cha ustawi ni miongoni mwa vyuo vinavyotoa taaluma za kipekee hapa nchini. Mfn masomo ya hrm yalianza kutolewa hapo km profession inayojitegemea bila kumajor km baadhi ya vyuo vingine vilivyokuwa vinafanya hapo awali na wapo wanafunzi wengi 2 waliosoma hiyo kozi na wanafanya vzr kwenye soko la ajira. Pia kozi ya Industrial Relation ambayo inatolewa na chuo hicho pekee hapa nchini ambayo inahusiana na mambo ya uhusiano kazini wanafunzi waliomaliza wapo wengi tu kwenye soko la ajira kwa taarifa tu malabour offficers wengi waliopo wamesoma isw. Vilevile kozi ya ustawi wa jamii 'social work' ambayo imeanza kutolewa hapo tangu mwk 1974 pekee hapa TZ hadi sasa imezalisha wataalamu wengi wa fani hiyo ambapo wanafanya kazi kwenye int organazation mbalimbali duniani, na kwenye ngo's nyingi hapa nchini, na pia maafisa ustawi wote waliopo hapa tz wamesoma hapo chuo cha ustawi. Kwa mtazamo maslahi binafsi ya mngt team inapekea matatizo makubwa ktk chuo hicho kwa sasa.
 
Back
Top Bottom