kabila01
JF-Expert Member
- Apr 21, 2009
- 4,235
- 4,949
Katika vile vikao vyetu vya jion baada ya kazi, tulikua tumekutana na jamaa kibao kutoka sehem mbalimbali za kazi. Katika mazungumzo kuna mtu mmoja alifanya mambo ya kitoto sana ndo jamaa mmoja akamwambia " inakuaje unafanya vitu vya kitoto kama hivi au na wewe una degree ya Bamaga?" hapo jamaa alikua anamaanisha kua degree inayotolewa na Chuo cha ustawi wa jamii Dar