Mkuu vipi, umetoswa au shemeji yetu ametangulia??Sili nikashiba, nikikukumbuka, Hula haba, na kushikashika, Ni chozi za huba, kweli nasumbuka.
Meniondokeya, wangu mahabuba, Nilikuzoweya, kwa yako mahaba, Nnajikondeya, sili nikashiba.”
Zingine ni makato ya kodi.Skuzi mpende mtu kwa 30% zingine tia mfukoni!!
anhaa...jikaze tu mkuu na pole sanaMtosooo huu mkuu
Kwanini na kivipi mkuu??Skuzi mpende mtu kwa 30% zingine tia mfukoni!!
mazowea tu hayo ndugu,yatapita..ila natamani sana kutokwa chozi la talaka..tatizo nimekua suguSili nikashiba, nikikukumbuka, Hula haba, na kushikashika, Ni chozi za huba, kweli nasumbuka.
Meniondokeya, wangu mahabuba, Nilikuzoweya, kwa yako mahaba, Nnajikondeya, sili nikashiba.”