saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 4,250
- 6,218
Wiki iliyopita baadhi ya walimu walilipwa pesa zao za likizo baada ya nafikiri kulalamika humu jukwaani.
Pesa hizo wamelipwa baadhi ya walimu, tunauliza kwanini ubaguzi huu? Kwanini baadhi walipwe na wengine wasilipwe. Je ni kwasababu ya rushwa au kujuana? Mheshimiwa waziri Mchengerwa tunakuomba sana imulike hii halmashauri, maafisa utumishi ni wajeuri, wabaguzi, wamejaa kiburi na dharau.
Mbaya zaidi mkurugenzi ni kama hayupo. Mwaka juzi baadhi ya walimu walilipwa likizo zao mwaka jana(2023) mwezi wa tatu tena wakiwa wamekatwa zaidi ya nusu ya pesa walizoomba.
Hapa Tunduru Halmashauri kuna ubaguzi na uonevu mkubwa sana jambo ambalo ni nadra ktk halmashauri zingine nchini. Tunaomba msaada wako waziri wetu wa TAMISEMI Mhe. Mohamed Mchengerwa.
Pesa hizo wamelipwa baadhi ya walimu, tunauliza kwanini ubaguzi huu? Kwanini baadhi walipwe na wengine wasilipwe. Je ni kwasababu ya rushwa au kujuana? Mheshimiwa waziri Mchengerwa tunakuomba sana imulike hii halmashauri, maafisa utumishi ni wajeuri, wabaguzi, wamejaa kiburi na dharau.
Mbaya zaidi mkurugenzi ni kama hayupo. Mwaka juzi baadhi ya walimu walilipwa likizo zao mwaka jana(2023) mwezi wa tatu tena wakiwa wamekatwa zaidi ya nusu ya pesa walizoomba.
Hapa Tunduru Halmashauri kuna ubaguzi na uonevu mkubwa sana jambo ambalo ni nadra ktk halmashauri zingine nchini. Tunaomba msaada wako waziri wetu wa TAMISEMI Mhe. Mohamed Mchengerwa.