Decentralization in CHADEMA(Muundo wa Majimbo): A Positive Move

Decentralization in CHADEMA(Muundo wa Majimbo): A Positive Move

Ben

Unachokizungumzia hapa sio sera ya majimbo (if by that we mean federalism) all you do is describing problems with the current politics and its democratic deficit. Hence you seem to think decentralization only occurs under majimbo then you go and explain the need for local governance and its importance on people participation whilst trying to solve local problems using local resources and thinking.

That is not federalism it is just decentralization of powers into local authorities (local governments) and it is embraced both in unitary and federal states. And I do agree on this argument.

But federalism is a completely different ball game from what you're describing.

And also the same agenda of decentralization is already enshrined in our constitution. Kwa hiyo, kama kweli anachomaanisha ni decentralization, basi watakuwa wameiba sera ya CCM.
 
Mkuu Binafsi hata mimi ni muumini sana wa mfumo huu ingawa utakubaliana na mimi uchaguzi wa mfumo huu unahitaji umakini mkubwa sana katika uendeshaji wake hasa kwa nchi zetu hizi changa hivyo CDM lazima kiwe na majibu sahihi ya maswali na changamoto ambazo hazina budi lazima zitajitokeza tena nasikitika kusema nyingi zitakuwa za kipropaganda.

Ushauri wangu kwa uongozi wa CDM ni kuhakikisha wanatoa somo kwa kila kiongozi na wanachama wake iliwaweze kutetea sera hii ambayo CCM kwa vyovyote vile wataanda amashambulizi ya kutosha kuishambulia sera hii.
 
I think this is a very good point kwa kweli

CDM is very strong kwenye central office, ila huko periphery bado inaongozwa around people, na sio around principles!!

this is something that ahs to be worked out now; nakumbuka vurugu wakati wa viti maalum, namna ambavyo baadhi ya wagombea walipatikana, vituko vya mama, mama na mtoto Mwampamba kuwa na wilaya nzima peke yao nk. all these are threats to a good course

Kuna hata ya kuwa na massive public education kwa watu wa periphery, kutengeneza very simple and practical principles za kazi na viongozi wa juu kutumia zaidi ya 50% ya muda wao kustrengthen majimbo kabla ya december 2014

Hilo la mparaganyiko lipo, ni magamba yanatoka kutokana na ukuaji (unakumbuka ecdysis??) huu ndio mwaka chadema inatakiwa kupukutisha magamba yake yote bila kuyachoma moto kwani badae hugeuka mbolea

N a umenena sera hii itawapunguzia wabunge subiri...migogorlo ya ubunge wenyewe kwa wemnyewe majomboni. Kila kiongozi wa jimbo atapendelea mtu wake si ana maamuzi hapo ndio watakorogana sn.
 
Bila ushabiki na nini, ki ukweli, kuna hazina kubwa sana, maarifa, uwezo wa kufikiri na wa kujenga hoja, wenye skills na talent hasa, katika kichwa kinaitwa, Ben Saanane, hakika chadema ina hazina kubwa sna. Hongera sana mkuu, unajenga hoja zenye mashiko na zenye mwelekeo chanya wa CDM huko mbeleni. Unatakiwa kuwa kiongozi wa CDM hakika, Hongera.
Cc: Ben Saanane
 
How Federalism and Decentralization Enhance Democracy

I have already begun to suggest, then, how federalism and other forms of decentralization can strengthen democracy and enhance its stability. They may help to hold the country together by giving each group some control of its own affairs. They may help to sustain the political system by distributing power among a wider array of political parties, each of which finds that it has some tangible stake in the system. And it speaks to the aspirations of people and communities who simply want government to be closer and more responsive to their needs.

When government is closer to the people, it is more likely to be held accountable by them for its successes and failures in the provision of basic services, the maintenance of order, and the fair resolution of local issues and disputes. Government tends to be more responsive when it is closer to the people. That is why democracies are more and more embracing the principle of subsidiarity: that each government function should be performed by the lowest level of government that is capable of performing that function effectively.

When there are multiple layers of elected government, as in a federal or politically decentralized system, there are other benefits for democracy. Lower levels of elective office can constitute an arena for training and recruiting new political leaders, including women and young people who have not previously had a role in political life. And these lower levels of democracy provide a more accessible means for citizens to become active in public affairs: to question their local officials, monitor what they do, present their interests and concerns, and learn the skills and values of democratic citizenship. Typically, it is difficult for most citizens and organized groups to get access to the national parliament or the central ministries. They need decentralized opportunities for access to decision-making power. And those points of local access are more likely to be responsive if they are accountable to the people through elections.

Finally, decentralization of power provides an additional check against the abuse of power. Of course, checks and balances are needed within the central government itself. This is why there must be an independent parliament and judiciary, and effective auditing and counter-corruption mechanisms. But federalism can provide an additional bulwark against the concentration and abuse of power.

What is Necessary for Federalism to Work in a Democracy

I do not mean to suggest that federalism, or even more limited decentralization of power, is without risks and dangers for democracy. In many democracies, old and new, local and provincial governments become not outposts of grassroots democracy but local fiefdoms, dominated by political bosses who do not play by democratic rules or respect citizens' rights. As local autocratic leaders enhance their power, they can rig elections and intimidate the opposition, creating a one-party state at the provincial level, even if the national system remains vigorously competitive. I have seen this happen in countries like Nigeria. But this is far from inevitable.

There is a way to prevent or correct this problem. A federal democracy must establish that the national constitution, and the national judicial system, is supreme over local and provincial authorities. Prosecutors, investigators and commissions at the national level must have the authority to investigate abuses of power, violations of rights, and charges of corruption in local and provincial governments. Violators must be held accountable in the national courts, if they cannot be tried and punished at lower levels. And levels of government below the center should not be allowed to maintain their own armies or militias. That should be a national function.

There is also the problem of capacity for self-governance at the local and provincial level. This can be a particular problem in terms of the ability to raise, budget, and expend resources. In a country like Iraq, where the central government receives large streams of revenue from petroleum exports, a system can be developed to allocate some portion of this revenue automatically to the lower units of government, by a formula, perhaps largely based on shares of population, that is mutually negotiated and generally accepted as fair. But still, lower governments must develop the capacity to administer the revenue and provide the necessary services. Often, this requires a period of training and a phase-in of responsibilities devolved down from the center. One of the most important lessons from other country experiences is that local governments should not be burdened with obligations to perform functions and provide services for which they do not have adequate revenue or training.

Is Federalism a Slippery Slope downward to Disintegration?

A very legitimate fear of many who are wary of federalism is that, in a context of deep ethnic and regional divisions, it can lead to the break-up of the country, as in the former Soviet Union or the former Yugoslavia. These fears are real, but they are based on a mistaken reading of other experiences. Divided countries have disintegrated at crucial moments precisely because they did not develop over time democratic means for the devolution of power that knitted groups together in a more authentic, voluntary, and legitimate political union. When groups are held together in one nation mainly by force and fear, anxious minorities may seek to secede at the first sign of a weakening of central government power. By contrast, when the national government, under the fresh political circumstances that attend the formation of a new democratic system, makes an early and sincere grant of autonomy, the consequence is almost always greater stability and unity, rather than secession. This has been the case in India, Spain, Mexico, and Nigeria, for example. By contrast, countries like Sudan and Sri Lanka have paid a heavy price in civil war and massive violence for the failure to accommodate aspirations for devolution.

Many Iraqis fear that federalism is just a stalking horse or vehicle for the eventual break-up of the country. As a political scientist who has studied group conflict and institutions to manage conflict in democracies, I sincerely do not believe that will be the case. Federalism-as negotiated and structured by Iraqis in their process of constitution making during the coming year-will provide the means to hold Iraq together permanently, democratically, and peacefully.

As an independent academic who sympathizes with your concerns and aspirations, permit me a final reflection. We in the United States do not wish for a divided or shattered Iraq. There is a strong consensus within the U.S. that Iraq should be a unified and democratic state, and that federalism or devolution of power in some important ways will provide an important means toward those other two goals. Remember that a century and a half ago we in the United States fought a civil war to hold our own country together, around basic principles of democracy, equality, and fairness. We do not wish for other countries and peoples anything less than what we have, at great cost, achieved for ourselves.

In a democracy, opposition political parties and the party in power have the duty and obligation to educate and inform its citizens the basic
principles of democracy. Unfortunately, this has not been the case with political parties in our country.

CHADEMA wanatakiwa sasa tena kwa nguvu zote waretrogressive culture and usher in a culture that will build citizens knowledge, skills and ability to participate, to advocate and to hold government officials accountable.
Once citizens understand the basic principles of democracy, citizens are able to play their part actively and effectively at all levels of government.

Ni vema wakabeba kauli mbiu hii "We Put People First" in a decentralized national government system that will be compatible with an economy that will guarantee Tanzanians a life of hope, freedom, and opportunity.
It is important, therefore, that our citizens know the Benefits of Decentralization to appreciate the need to decentralize the governance system in our country now.


CHADEMA - "Putting People First"
 
Roll the ball first and you will see how hard to keep it in grip.
Watanzania tumezoea kuiga vitu kutoka kwa wengine bila kuangalia mazingira yetu halisi.
Hili suala la majimbo litarudisha nyuma maendeleo ya taifa letu badala ya kuliendeleza. Nchi zote zinazotolewa mifano ya implementation ya Federalism ni nchi ambazo zilishaendelea wakati zina introduce mifumo hiyo. Zilishaondoa tofauti za kiujima kwenye jamii zao tofauti na sisi watanzania ambao ni taifa masikini kwa ujumla wetu.
Kwa sasa taifa letu linahitaji kipaumbele kimoja tu cha msingi nacho ni elimu. Ku decentralise eneo hili ni hatari sana kwani taifa halina resources za kutosha kutoka kwenye majimbo kuliwezesha kila jimbo ku emplement sera yake ya elimu. Isitoshe, tunahitaji kuwa na mkakati wa kitaifa kwenye hili suala ili kuwe na unity of efficiency katika kusambaza elimu nchi nzima badala ya kuliwacha hili suala kwenye ngazi ya jimbo.
 
Pia waache kutoa uzushi, na kusema kwamba ni sera za kuchochea ukanda. Kama kahama wana madini basi itengenezwe formula ambayo pale kahama pesa ya madini inabaki kuleta maendeleo pale na nyingine itumike katika mambo ya kitaifa. Ni swala la formula tu. Hii mambo ya kupeleka pesa yote hazina halafu,pale kahama watoto wanakwenda shule hawapati hata uji,ukiachilia mbali sare iliyochanikachanika haikubaliki asilani.

Tatizo nilionalo hapa ni viongozi wenye uvivu wa kufikiri, kutafuta mambo,kujifunza na kuangalia alama za nyakati na kubadilika nazo. Wengi wanakula ubwabwa na nyama choma nyingi na k-jam..b...jam...bA hovyo tu. Na katika hali hiyo kwao ni rahisi kupayuka propaganda hovyo.

Nakubaliana nawe

Hivi lile jimbo la zanzibar ambalo ni koloni letu mbona ccm wanawapa mgao??? Alafu hivi huwa wanachangia nini kwenye fuko letu ikiwa mafuta waliyoona ktk ndoto tu ilikuwa kelele??
Ccm bwana?!
 
Roll the ball first and you will see how hard to keep it in grip.
Watanzania tumezoea kuiga vitu kutoka kwa wengine bila kuangalia mazingira yetu halisi.
Hili suala la majimbo litarudisha nyuma maendeleo ya taifa letu badala ya kuliendeleza. Nchi zote zinazotolewa mifano ya implementation ya Federalism ni nchi ambazo zilishaendelea wakati zina introduce mifumo hiyo. Zilishaondoa tofauti za kiujima kwenye jamii zao tofauti na sisi watanzania ambao ni taifa masikini kwa ujumla wetu.
Kwa sasa taifa letu linahitaji kipaumbele kimoja tu cha msingi nacho ni elimu. Ku decentralise eneo hili ni hatari sana kwani taifa halina resources za kutosha kutoka kwenye majimbo kuliwezesha kila jimbo ku emplement sera yake ya elimu. Isitoshe, tunahitaji kuwa na mkakati wa kitaifa kwenye hili suala ili kuwe na unity of efficiency katika kusambaza elimu nchi nzima badala ya kuliwacha hili suala kwenye ngazi ya jimbo.

Lakini mbona tuna mfumo wa mikoa ambayo haina tofauti sana na majimbo?
Hata uko elimu imekuwa ni issue. Tatizo la elimu ni sera tu.
 
Ccm wamekuwa wakiponda mtindo wa majimbo na kubaki wakimega nchi yetu vipande vipande ili wapeane vyeo.
 
quote_icon.png
By Eric Cartman
Kwani ni uwepo wa majimbo tu ndio decentralization inaweza ikawa effective?


Mkuu neno "jimbo" ni jina tu, nadhani admistrative ili iwe effective, inabidi kuwafikia watu wote... Ndio kinachomaanishwa hapa, centrisation kwa bongo imeprove failure, kila kitu kwa sasa mpaka rais o PM, wakuu wa mikoa wamepaki majina tu,

Kwa muundo huu wa majimbo hata rusha na ufisadi utakuwa ni ndoto...

Nadhani Eric Cartman hajaielewa vema hii decentralization. Wenyewe CCM wanaiita URAGIBISHAJI ama madaraka mikoani. Tatizo la serikali ya CCM wanatumia hili neno uragibishaji kimaneno zaidi ya vitendo. Sasa kwa "paper" ya Ben Saanane inaashiria CHADEMA wamekusudia kuja na "practical version" ya uragibishaji/decentralization inayoimbwa na CCM. Kimsingi uragibishaji unajengwa kwenye msingi wa nguvu ya umma ambapo wananchi sio tu wanashirikishwa kufikia maamuzi yao, bali pia wanawezeshwa kutengeneza sheria ndogondogo ndani ya jimbo(huku wakizingatia sheria mama-katiba) zinazowezesha wafikie maisha ya furaha (tofautisha raha) kwa kutumia rasilimali zinazowazunguka, huku wakitumia sheria ndogondogo hizo hizo kutanua wigo wa fursa za kufanya shughuli za maendeleo kwa kushirikiana na wadau wa ndani na nje ya jimbo.

Niungane na Ben Saanane kuwausia vijana kujifunza kwa haraka namna mfumo huu unavyoweza kuikwamua nchi hapa ilipokwamishwa na CCM inayoimba uragibishaji ilhali mamlaka yooooooooooooooote yamelemea kwenye serikali kuu.
 
Lakini mbona tuna mfumo wa mikoa ambayo haina tofauti sana na majimbo?
Hata uko elimu imekuwa ni issue. Tatizo la elimu ni sera tu.

Mikoa ni tofauti na majimbo kwa sababu kwenye mfumo wa mikoa bado mipango mikuu inabaki kwenye Serikali kuu. Kushindwa kwa elimu Tanzania kwenye mfumo huu wa mikoa sio kwa sababu ya mfumo bali ni usanii wa viongozi wetu kuanzia awamu ya kwanza mpaka sasa hivi. Ni rahisi zaidi kuharakisha maendeleo ya elimu katika nchi inayoihitaji sana kama Tanzania katika mfumo wa Centralisation of power kama tuliokuwa nao sasa hivi kuliko chini ya mfumo wa majimbo.
 
Ben
Ntarudi hila umekimbia sababu nyingi sana za msingi kama kwanini marekani kuna states ambazo wao wanavote upande mmoja siku zote bila ya kujali maslahi yao, kwanini kunatofauti kubwa ya kimawazo baina ya states na hii ni nchi inayoongoza kwa demokrasia na ufahamu wa mambo. Halafu kuna enough resources to deal with upheaval and leaders who understand their societies wewe unadhani kwanini John McCain aliposhindwa kitu cha kwanza kukisema 'America has spoken my friends we have lost the battle' na kuendelea na speech yake ambayo ilijaa kutuliza hasira zaidi kuliko normal conceding speeches.

Bado ujagusia majimbo yenye usumbufu huko India au huko Russia mpaka leo hii na wanasumbua serikali zao kwa kuwa bado democracy zao pia ni changa vilevile. Unakimbilia mfano wa uswisi na amerika ambapo huko ni strong liberal democratic societies na mambo yanafanyika tofauti sana. Mfano kuna watu wanaweza wa judge marekani kwa sasa kama wadini kutokana na interest zao za uchumi lakini uliza yule pastor aliechoma quran ndani ya america kama walimuacha au ukienda kwa waingereza uliza jamaa wanaojaribu kuleta ubaguzi wa dini kama maandano yanachukua hata nusu saa na aichukui muda wahusika wakuu kutungiwa kesi.

Point hapo ni kwamba usitoe mifano ya liberal democracies these people know how to control their societies scientifically to maintain peace, na nchi kama Tanzania kujiingiza kichwa kichwa katika vitu ambavyo vipo very complicated and can easily sway people allegiences towards division, leo unaona masheikh na mapadri wanavyo ichachafya serikali na hapa ndio mnasema uwanja wa wasomi na bado watu wanabishana kwa kuwatetea hata pasipo staili. Mtaweza kweli ku-control ukanda.

Bado narudi kwenye effective governance maana huko ndiko kwenye mjadala wenyewe ingawa ujaja na point zaidi ya mifano hewa tu ya kuelezea how governance would be like in your ideal federalism kwenye nchi kama yetu na si America or any other liberal democracy we are far from that sio tu kutokana na wananchi hata siasa zetu zenyewe bado hazija fahamiwa na wengi kuhusu namna gani maendeleo yao yanatakiwa kuja, sasa hivi wamechoka lakini the desperate methods are not encouraged by any developed society of any state formation.
 
[h=3]KANDA 10 ZA KIUTENDAJI ZA CHADEMA[/h]


1. Kanda ya Ziwa Magharibi
Mwanza
Geita
Kagera


2. Kanda ya Ziwa Mashariki
Mara
Simiyu
Shinyanga


3. Kanda ya Ziwa Tanganyika
Kigoma
Tabora
Katavi
Rukwa


4. Kanda ya Kati
Singida
Dodoma
Morogoro


5. Nyanda za Juu Kusini
Mbeya
Ruvuma
Iringa
Njombe


6. Kanda ya Kusini
Lindi
Mtwara


7. Kanda ya Mashariki
Pwani
Dar es Salaam


8. Kanda ya Kaskazini
Kilimanjaro
Manyara
Arusha
Tanga


9. Kanda ya Pemba (Mikoa yote ya Pemba)


10. Kanda ya Unguja (Mikoa yote ya Unguja)
 
Mikoa ni tofauti na majimbo kwa sababu kwenye mfumo wa mikoa bado mipango mikuu inabaki kwenye Serikali kuu. Kushindwa kwa elimu Tanzania kwenye mfumo huu wa mikoa sio kwa sababu ya mfumo bali ni usanii wa viongozi wetu kuanzia awamu ya kwanza mpaka sasa hivi. Ni rahisi zaidi kuharakisha maendeleo ya elimu katika nchi inayoihitaji sana kama Tanzania katika mfumo wa Centralisation of power kama tuliokuwa nao sasa hivi kuliko chini ya mfumo wa majimbo.

Tunaendelea kuhusu faida za decentralization


Sita ,Katika jamii yenye makabila na dini mbali mbali kama ilivyo hapa Tanzania,njia hii huondoa misuguano ya makundi mbali mbali yanayokinzana kimaslahi kama haya tuliyoshuhudia hivi karibuni na badala yake mfumo utaleta hamasa na kudumisha misingi ya undugu,maelewano na kuunda jamii yenye muafaka na hivyo kuchochea maendeleo kwa kasi na kudumisha amani kwani njia ya maridhiano na kutafuta ufumbuzi wa matatizo itafikiwa kwa haraka kabla migogoro haijavuka kiwango cha usuluhishi



Saba,CHADEMA kinatambua ubunifu na kutumia vipaji kama njia ya kujiletea maendeleo.Muundo huu unafungua milango mipana katika kutambua na kutumia vipaji tulivyo navyo na kutumia ubunifu huo katika kukabiliana na changamoto katika mazingira husika na hivyo kuchangia maendeleo ya Taifa letu kwa kushirikisha raslimali watu ambayo isingeweza kutumika au ambayo ilikua imeenguliwa katika mchakato wa kushirikishwa kwenye kutatua matatizo au changamoto zinazotukabili kama Taifa


Nane,njia hii huongeza mkusanyo wa raslimali katika ngazi za chini na kuongeza thamani na kiwango cha huduma zinazopatikiana.Pia katika muktadha huu wananchi wanapata fursa ya kutambua aina ya raslimali zilizopo ndani ya jimbo na kuamua kushirikiana katika matumizi kupitia uongozi ulioratibiwa vyema.Wananchi wanapata fursa ya kujitolea zaidi kwa kuwa wana uhusiano wa moja kwa moja na aina ya maendeleo yanyopatikana kupita michango na raslimali walizo nazo


Tisa,Taifa linakabiliwa na ombwe la uadilifu ambalo pamoja na mambo mengine tatizo la Uadilifu linasababishwa na mfumo wa utawala unaochochea matumizi mabaya ya madaraka,mali za umma na kuminya haki na uhuru wa kweli.Matatizo haya yataondoka pale tutakapofanya mageuzi katika mfumo uliopo na kufuata mfumo hu shirikishi utakaochochea mazingira ya ukweli,uwazi na uwajibikaji ambao utapunguza na kumaliza kabisa tatizo la ukosefu wa maadili katika uongozi ,Miiko ya uongozi itakua wazi na kila mwananchi atakua na uwezo wa kufuatilia kwa karibu kile wafanyacho watawala katika majukumu yao



Kumi,Kwa mfumo uliopo Asasi za kiraia zinafanya kazi katika mazingira magumu.Kupitia mfumo huu wa majimbo asasi hizi zitafanya kazi katika mazingira bora na kushiriki kikamilifu katika ngazi ya chini ambako kwa kawaida asasi nyingi zinapata tabu sana kufika huko.Wananchi katika mamlaka ya majimbo wataweza kuwatuma wanaharakati kuwa mlinzi wa maslahi yao na kufuatilia kikamilifu katika Nyanja zote bila kukumbana na vikwazo vya kimfumo
 
Asante sana Ben kwa andiko hili lililosimama!

Kimsingi mataifa mengi ya Magharibi na hata ya Afrika yanaishi katika mfumo huu, na umeonyesha kuimarisha nguvu za kiuchumi za kiraia na kidola!

Wengi wanaoupinga mfumo huu ni wale wahafidhina
 
Asante sana Ben kwa andiko hili lililosimama!

Kimsingi mataifa mengi ya Magharibi na hata ya Afrika yanaishi katika mfumo huu, na umeonyesha kuimarisha nguvu za kiuchumi za kiraia na kidola!

Wengi wanaoupinga mfumo huu ni wale wahafidhina
More like wanao u support ni wale wanaotumia hisia za poor governance za sasa to portray sympathy towards those regions that have been affected by the current administration policies on their mineral resource, lakini hawana uthibitisho wa faida zake kwa Tanzania in general nor its impact on the sense of solidarity.

Hizo sasa ndio cheap politics looking for popularity at any cost.
 

Tunaendelea kuhusu faida za decentralization


Sita ,Katika jamii yenye makabila na dini mbali mbali kama ilivyo hapa Tanzania,njia hii huondoa misuguano ya makundi mbali mbali yanayokinzana kimaslahi kama haya tuliyoshuhudia hivi karibuni na badala yake mfumo utaleta hamasa na kudumisha misingi ya undugu,maelewano na kuunda jamii yenye muafaka na hivyo kuchochea maendeleo kwa kasi na kudumisha amani kwani njia ya maridhiano na kutafuta ufumbuzi wa matatizo itafikiwa kwa haraka kabla migogoro haijavuka kiwango cha usuluhishi



Saba,CHADEMA kinatambua ubunifu na kutumia vipaji kama njia ya kujiletea maendeleo.Muundo huu unafungua milango mipana katika kutambua na kutumia vipaji tulivyo navyo na kutumia ubunifu huo katika kukabiliana na changamoto katika mazingira husika na hivyo kuchangia maendeleo ya Taifa letu kwa kushirikisha raslimali watu ambayo isingeweza kutumika au ambayo ilikua imeenguliwa katika mchakato wa kushirikishwa kwenye kutatua matatizo au changamoto zinazotukabili kama Taifa


Nane,njia hii huongeza mkusanyo wa raslimali katika ngazi za chini na kuongeza thamani na kiwango cha huduma zinazopatikiana.Pia katika muktadha huu wananchi wanapata fursa ya kutambua aina ya raslimali zilizopo ndani ya jimbo na kuamua kushirikiana katika matumizi kupitia uongozi ulioratibiwa vyema.Wananchi wanapata fursa ya kujitolea zaidi kwa kuwa wana uhusiano wa moja kwa moja na aina ya maendeleo yanyopatikana kupita michango na raslimali walizo nazo


Tisa,Taifa linakabiliwa na ombwe la uadilifu ambalo pamoja na mambo mengine tatizo la Uadilifu linasababishwa na mfumo wa utawala unaochochea matumizi mabaya ya madaraka,mali za umma na kuminya haki na uhuru wa kweli.Matatizo haya yataondoka pale tutakapofanya mageuzi katika mfumo uliopo na kufuata mfumo hu shirikishi utakaochochea mazingira ya ukweli,uwazi na uwajibikaji ambao utapunguza na kumaliza kabisa tatizo la ukosefu wa maadili katika uongozi ,Miiko ya uongozi itakua wazi na kila mwananchi atakua na uwezo wa kufuatilia kwa karibu kile wafanyacho watawala katika majukumu yao



Kumi,Kwa mfumo uliopo Asasi za kiraia zinafanya kazi katika mazingira magumu.Kupitia mfumo huu wa majimbo asasi hizi zitafanya kazi katika mazingira bora na kushiriki kikamilifu katika ngazi ya chini ambako kwa kawaida asasi nyingi zinapata tabu sana kufika huko.Wananchi katika mamlaka ya majimbo wataweza kuwatuma wanaharakati kuwa mlinzi wa maslahi yao na kufuatilia kikamilifu katika Nyanja zote bila kukumbana na vikwazo vya kimfumo
Dude, you are supposed to write with scientific facts those arguments not just blah blah, you are talking about shaping individual thoughts and a mechanism for good governance. How can you even dare mentioning the benefits without presenting your science facts and how you got into that conclusion.

Mmmmmh
 
By Kisindika Mikoa ni tofauti na majimbo kwa sababu kwenye mfumo wa mikoa bado mipango mikuu inabaki kwenye Serikali kuu. Kushindwa kwa elimu Tanzania kwenye mfumo huu wa mikoa sio kwa sababu ya mfumo bali ni usanii wa viongozi wetu kuanzia awamu ya kwanza mpaka sasa hivi. Ni rahisi zaidi kuharakisha maendeleo ya elimu katika nchi inayoihitaji sana kama Tanzania katika mfumo wa Centralisation of power kama tuliokuwa nao sasa hivi kuliko chini ya mfumo wa majimbo.



Tunaendelea kuhusu faida za decentralization


.

Kwanza kabisa Ben mimi nimegusia suala moja tu la elimu na nikaainisha kwa nini elimu yetu kama taifa haitafanikiwa tukifuata mfumo huu wa majimbo. Badala ya kuanza ku copy na ku paste sera zenu za majimbo kwa ujumla wake kama jibu la hoja yangu ulitakiwa uiadress hoja hiyo in line with sera yenu ya majimbo. Sasa kutuo majibu ya ujumla kwenye suala ambalo ni specific ni dalili ya kushindwa kuliaddress suala lililopo mezani kwako.

Sasa turudi kwenye hoja zako moja baada ya nyingine na majibu yangu yako kwenye Italic:

Sita ,Katika jamii yenye makabila na dini mbali mbali kama ilivyo hapa Tanzania,njia hii huondoa misuguano ya makundi mbali mbali yanayokinzana kimaslahi kama haya tuliyoshuhudia hivi karibuni na badala yake mfumo utaleta hamasa na kudumisha misingi ya undugu,maelewano na kuunda jamii yenye muafaka na hivyo kuchochea maendeleo kwa kasi na kudumisha amani kwani njia ya maridhiano na kutafuta ufumbuzi wa matatizo itafikiwa kwa haraka kabla migogoro haijavuka kiwango cha usuluhishi

Tuchukulie mfano wa jimbo la Kanda ya Kaskazini. Kuna Kilimanjaro, Manyara, Arusha na Tanga. Embu tueleze hapa kinagaubaga jinsi gani kuunda jimbo hilo la Kaskazini kutaondoa ukabila na udini sio tu Tanzania bali katika kanda yenyewe? Yaani jinsi gani jimbo la Kaskazini litasaidia kuondoa udini na ukabila katika mikoa ya Kilimanjaro, Manyara, Arusha na Tanga?

Kumbuka kwamba sasa hivi mnaweza kujiona watu wa Kaskazini ni wamoja kwa sababu ya common interest za kisiasa lakini mgawanyiko utatokea kabla hata jimbo halijaundwa wakati wa kugombea ukuu wa jimbo. Ndipo mtakapogundua hata ndani ya mikoa yenyewe nyinyi si wamoja achilia mbali kati ya mkoa na mkoa ndani ya Kanda hiyo ya mashariki.

Ni wazi kwamba mtaanzisha ukabila na udini ndani ya jimbo na kuigawa nchi vipande vipande badala ya kuunganisha nguvu za Watanzania katika kujiletea maendeleo


Saba,CHADEMA kinatambua ubunifu na kutumia vipaji kama njia ya kujiletea maendeleo.Muundo huu unafungua milango mipana katika kutambua na kutumia vipaji tulivyo navyo na kutumia ubunifu huo katika kukabiliana na changamoto katika mazingira husika na hivyo kuchangia maendeleo ya Taifa letu kwa kushirikisha raslimali watu ambayo isingeweza kutumika au ambayo ilikua imeenguliwa katika mchakato wa kushirikishwa kwenye kutatua matatizo au changamoto zinazotukabili kama Taifa

Kwanza mnatakiwa kuelewa kwamba rasilimali watu hapa Tanzania haipo. Watanzania wengi ni wajinga hivyo hawawezi kuwa rasilimali watu mpaka watayarishwe. Hawawezi kukabiliana na changamoto katika mazingira yao mpaka wapatiwe elimu ya kutosha. Kudhani kwamba CDM ikiingia madarakani basi itakuta rasilimali watu ipo tayari ni kushindwa kujua tatizo la msingi la taifa letu. Hapa ndo suala la kipaumbele gani tunakitaka watanzania kama nchi kinapokuwa issue.


Nane,njia hii huongeza mkusanyo wa raslimali katika ngazi za chini na kuongeza thamani na kiwango cha huduma zinazopatikiana.Pia katika muktadha huu wananchi wanapata fursa ya kutambua aina ya raslimali zilizopo ndani ya jimbo na kuamua kushirikiana katika matumizi kupitia uongozi ulioratibiwa vyema.Wananchi wanapata fursa ya kujitolea zaidi kwa kuwa wana uhusiano wa moja kwa moja na aina ya maendeleo yanyopatikana kupita michango na raslimali walizo nazo

Majimbo yanaongezaje rasilimali? Rasilimali ya msingi (Elimu) ambayo ndio chanzo cha kukuza rasilimali zingine zote haipo in the first place. Kuanzishia majimbo hakutaongeza mkusanyo wa rasilimali katika ngazi yeyote ile achilia mbali ya chini kama unavyoainisha hiyo sera yenu hapo juu.

Vilevile majimbo hayawezi kuwa chanzo cha wananchi kutambua rasilimali walizonazo. Nenda sehemu yeyote ile wananchi watakuambia tuna rasilimali gani hapa hivyo hawaitaji majimbo kujua rasilimali zao. Tatizo ni uongozi mbovu na wa kifisadi uliosimikwa na Serikali ya TANU baadaye CCM ambao ndio unaoitafuna hii nchi. Hakuna guarantee yoyote ile kwamba majimbo yakianzishwa basi utawala hautakuwa wa kimagumashi na kifisadi. Sanasana majimbo yataongeza watu wenye mamlaka ndani ya nchi na hivyo kuongeza uwezekano wa ufisadi kupanuka zaidi kwa kuongeza walaji wenye mamlaka katika majimbo yao.


Tisa,Taifa linakabiliwa na ombwe la uadilifu ambalo pamoja na mambo mengine tatizo la Uadilifu linasababishwa na mfumo wa utawala unaochochea matumizi mabaya ya madaraka,mali za umma na kuminya haki na uhuru wa kweli.Matatizo haya yataondoka pale tutakapofanya mageuzi katika mfumo uliopo na kufuata mfumo hu shirikishi utakaochochea mazingira ya ukweli,uwazi na uwajibikaji ambao utapunguza na kumaliza kabisa tatizo la ukosefu wa maadili katika uongozi ,Miiko ya uongozi itakua wazi na kila mwananchi atakua na uwezo wa kufuatilia kwa karibu kile wafanyacho watawala katika majukumu yao.

Suala la uadilifu nimeshalielezea hapo juu kwamba kuanzisha majimbo hakuna uhusiano na kusimika uadilifu. Sanasana majimbo yanaweza kuongeza mafisadi kwani kwani chanzo kikuu cha ufisadi ni kuwa na mamlaka hivyo viongozi wote wenye mamlaka kwenye majimbo yao wanaweza kuyatumia hayo kutafuta nafasi za kuibia wananchi.

Suala la miiko ni la kinadharia tu lakini utekelezaji wake ni mgumu. Mara nyingi matashi ya kisiasa yanafunika ufuatiliaji wa miiko tuliyojiwekea hasa kwenye nchi masikini kama Tanzania. Kwa mfano wakati wa Nyerere kulikuwa na miiko lakini ilikuwepo kwenye maandishi tu na ilitumika kuwabana mahasidi wake kisiasa. Mashirika mengi yalifilisika wakati wake kutokana na ukumbatiaje wake wa matakwa ya kisiasa zaidi kuliko kufuata miiko. Utendaji wa kiuchumi ulikabidhiwa kwa wanasiasa ambao ndio waliyoyafilisi mashirika yale na wanasiasa hawa watiifu wakawa wanahamishwa kutoka kwenye shirika alilolifilisi kuhamishiwa kwenye shirika lingine ili akafilisi zaidi ili mradi maslahi ya kisiasa ya Nyerere yanafuatwa bila kupingwa.

Tayari kuna kelele kwenye jamii kuhusu maadili ya viongozi wa juu wa CDM hasa kwenye suala la mahusiano ya kimapenzi. Je hii si dalili kwamba maadili hayatafuatwa?


Kumi,Kwa mfumo uliopo Asasi za kiraia zinafanya kazi katika mazingira magumu.Kupitia mfumo huu wa majimbo asasi hizi zitafanya kazi katika mazingira bora na kushiriki kikamilifu katika ngazi ya chini ambako kwa kawaida asasi nyingi zinapata tabu sana kufika huko.Wananchi katika mamlaka ya majimbo wataweza kuwatuma wanaharakati kuwa mlinzi wa maslahi yao na kufuatilia kikamilifu katika Nyanja zote bila kukumbana na vikwazo vya kimfumo

Mazingira ya asasi za kiraia yatakuwa magumu zaidi chini ya mfumo wa majimbo kwani kila jimbo litakuwa na mamlaka ya kuanzisha asasi zake. Asasi hizi zitakuwa na nguvu zaidi katika mfumo wa sasa wa centralisation kwani zina uwezo wa kuajiri watu waliobobea kwenye ngazi ya taifa na zinakuwa na mtandao mkubwa zaidi na hivyo kuwa attract wafadhili wa ndani na nje kuzisaidia katika kufikia majukumu yao. Hivyo majimbo hayawezi kuwa suluhisho la matatizo ya utendaji wa asasi zetu bali yataongeza deficiency kwenye utekelezaji wao.
 
Asante sana Ben kwa andiko hili lililosimama!

Kimsingi mataifa mengi ya Magharibi na hata ya Afrika yanaishi katika mfumo huu, na umeonyesha kuimarisha nguvu za kiuchumi za kiraia na kidola!

Wengi wanaoupinga mfumo huu ni wale wahafidhina

Kama kuna wahafidhina waliokubuhu hapa duniani kwa sasa basi ni Wachina kwa kutumia mfumo wao wa central planned economy. Angalia jinsi wanavyowagaragaza mataifa makubwa kama Europe, Japan, USA, n.k kwa maendeleo yao ya kasi ya kiuchumi.

Rudini mkajipange mda bado unaruhusu.
 
Kama kuna wahafidhina waliokubuhu hapa duniani kwa sasa basi ni Wachina kwa kutumia mfumo wao wa central planned economy. Angalia jinsi wanavyowagaragaza mataifa makubwa kama Europe, Japan, USA, n.k kwa maendeleo yao ya kasi ya kiuchumi.

Rudini mkajipange mda bado unaruhusu.

Ninafahamu mfumo wa utawala wa China na jinsi unavyolifaidisha taifa hilo,

Tofauti ya USA na China ni ndogo sana,

Mfano USA majimbo yamepewa mamlaka kamili ya kiuchumi na kisiasa, wakati China imetoa nusu mamlaka tu ya kisiasa, na uchumi ni 70% unashikwa na mamlaka mkuu ya Beijing na Hong Kong!

Sisi sera yetu ina apply Uchina na tutaihushia iendane na jiografia ya nchi yetu!
 
Back
Top Bottom