Decentralization in CHADEMA(Muundo wa Majimbo): A Positive Move

Decentralization in CHADEMA(Muundo wa Majimbo): A Positive Move

Eric,

Katika Demokrasia ,vyama vya upinzani na hata chama Tawala vina wajibu na dhamana ya kuwaelimisha wananchi kuhusu misingi ya Demokrasia.Kwa bahati mbaya suala hili limekua tofauti nchini mwetu

Ni Chama cha demokrasia na Maendeleo pekee kilichoamua kuvunja utamaduni huu na kuamua kuanzisha mkakati wa kutoa elimu ya Uraia kwa wananchi wake kuanzia OPERESHENI SANGARA hadi sasa tuna vuguvugu la mabadiliko M4C(Movement for Change) nakuanzisha utamaduni mpya(usher in a new culture) unaojenga uwezo na kuongeza ari kwa wananchi katika kushiriki,kushinikiza na kuiwajibisha serikali yao

CHADEMA kinaamini kwamba wananchi wanapoielewa vyema misingi ya demokrasia inakua Rahisi kwao katika kushiriki katika Nyanja zote za utawala.


Katika Dira,Falsafa na Mtazamo wa CHADEMA unalenga kuweka nguvu ya umma au wananchi mbele katika shughuli zote zinazohusu utawala na maamuzi kupitia falsafa yake ya nguvu ya umma ambayo ndiyo msingi wa maamuzi na kichocheo cha mfumo au muundo wa utawala wa majimbo badala ya kulundika mamlaka yote kwa watawala kama ilivyo sasa na hasa sehemu moja bila kuwa na mawasiliano ya karibu ya wananchi.Ni kukasimisha madaraka kutoka makao makuu na kuyapeleka kwenye utawala wa kikanda kupitia mgawanyo huu(decentralization through zoning).Kulundika mamlaka sehemu moja kama ilivyo sasa ni kujiweka mbali na hisia za wananchi na hili limekua tatizo kubwa katika uendeshaji wa nchi na hata katika Mashirika makubwa.


Muundo huu wa majimbo unaoendana na uwezo wetu kiuchumi unatoa Taswira Chanya ya serikali ya Baadae ya itakayoundwa na CHADEMA na sasa CHADEMA kimeamua kwa muda huu ulioaki kiunde mfumo wa aina hii katika kipindi hiki cha mpito kabla ya kuchukua Dola mwaka 2015 ili wananchi wapate kuona ubora wa mfumo huu utakaoleta matumaini mapya,Uhuru na fursa katika kufanya maamauzi bna kushiriki moja kwa moja katika kuendesha Taifa lao kwa ufanisi zaidi

Ben

Unachokizungumzia hapa sio sera ya majimbo (if by that we mean federalism) all you do is describing problems with the current politics and its democratic deficit. Hence you seem to think decentralization only occurs under majimbo then you go and explain the need for local governance and its importance on people participation whilst trying to solve local problems using local resources and thinking.

That is not federalism it is just decentralization of powers into local authorities (local governments) and it is embraced both in unitary and federal states. And I do agree on this argument.

But federalism is a completely different ball game from what you're describing.
 
Japo mie ninaunga mkono hoja hii lakini bado nina mitazamo hasi ambayo inabidi niitafutie ufumbuzi wa ziada katika vitabu na mijadala...nafikiri ni hoja nzuri na inabidi kuzungumziwa kwa upana sana ili kila mtanzania aielewe kwa undani..nilifarijika juzi nilipomsikiliza MBOWE kwani hotuba yake ilijibu baadhi ya maswali yangu lakini nafikiri inabidi nifuatilie kwa undani sana....
 
Raslimali tulizo nazo ni akili,ubunifu na uzalendo wa kutosha wa viongozi na wanachama wetu.Kuchangishana ni njia inayotumika kuleta mageuzi ya Kizalendo.Hata TANU waliitumia kumuondoa mkoloni mweupe.

Hao waliofukuzwa wangekua kwenye muundo huu wasingeshughulikiwa huku juu kwani huko ngazi za chini tayari wangekua easly detected!

Kuhusu suala la CCM kuja huku,ni bora waje ili waturahisishie kazi.

Ben..hapo kwenye blue na ni baadhi ya viongozi ya juu na pia ngazi ya chini usi generalize pls..refer mmetoka kumvua cheo kiongozi wa juu.

Twende kwenye nyekundu niwangapi ngazi ya juu hadi chini wenye dhamira ya dhati kabisa katika ukombozi unaousema hapo CDM???Kwa hilo usilinganishe na TANU kipindi cha tanu majority ya watu walikua na objuctive function moja...usilinganishe na sasa wakati hata dalili za mwanzo tu zimeonesha ni jinsi gani vijana kwenye siasa zetu bongo wasivyojitambua hata wewe ulikiri hapa JF kujirudi. Sasa mnapeleka maamuzi chini watashindwa kuharibu kbs? CDM wazalendo wa kweli wachache sana na wengi hawana vyeo nikiwataja mie nitakua biased lkn nauhakika we unajua tena kwa undani pendine kuliko mie..sasa jibu lipo hapo ndipo mfumo huo utashindikana.

Nionavyomie ni mngefanikiwa kama wachache waliopo juu wangesimamia ukombozi then..badae after victory mfumo huo ungefaaa. kuutumia shv nikutoa mwanya wa kufurugana zaidi mfano ni maamuzi mlivyofurugana tuu BAVICHA..sasa maamuzi ndio yanaenea mikoa yote najua ni baadhi ya maamuzi lkn consensus zitawasumbua sana na ukizingatia hamna resources za kutosha bado manajichangisha..Anyway ll see after one ya mkilitekeleza hilo.
 
Jamani mimi siamini kama mfumo wa sasa umefail ila watu wamelose focus sasan hata hii sera ya majimbo itafail kama wale wenye vision nayo wakitoka madarakani.
 
Ben Si lazima uwe na sera ya majimbo kuwa kalibu na wananchi,kwanza linapokuja jambo kuhusu majimbo Hatua ya kwanza ni ya kuyapa majimbo uhuru wa kuweA kujiamulia mambo yake kwa kufuata katiba ya nchi,pili hii inaamanisha kwamba jimbo litakuwa na serikali yake yenye mahakamani,polisi,jeshi n.k vile vile nchi Kama nchi itakuwa na vyombo hivyo tajwa na vitakuwa vinamamlaka yake pia.Kwa kifupi muunganiko huu hauletwi na wanasiasa unaletwa na wananchi(kwa uelewa wangu kwa sasa ni msukumo wa wanasiasa ndo unaipa umaarufu).
Nirudi kwenye hoja chama cha Chadema si kwamba wanatekeleza hii sera sasa walichokifanya Chadema ni kujiweka karibu na wananchi kwa muda huu(2015) na si zaidi ya hapo..kununua Pikipiki,magari n.k si decentralization it is increase in efficiency hapo na hili ndo tatizo la chama kwa kuwa watu wote muhimu wapo makao makuu.Na pili unapotekeleza hii sera unahitaji restructuring kubwa sana sasa bwana saa nane zaidi ya vifaa na kugawa maeneo ni kipi kilichofanyika Kati ya madaraka ya hao watu wa zone hizo na makao makuu?, vizuri ukaa chini na uangalia mfumo wa majimbo unakuaje hapa kinachofanyika ni kupunguza ni kuboresha utendaji kazi tu .
 
Ben muundo huu ndo muundo sahiahi kwa nchi kubwa kama Tanzania. Uamuzi wowote unaofanywa kwa sasa toka sehemu moja yaani makao makuu Dar Es Salaam unawaathiri wananchi wa eneo husika. Mtindo huu ndo uliotufikisha hapa kuwa na vijana kuteuliwa u-DC ambao hata hawana sifa kabisa. Rais anawateua kuwa ma-DC watu ambao hawajui ila ni fadhila tu kwa jamaa zake ama kwa familia yake. Rejea wakuu wa wilaya walioteuliwa mwaka jana. Tatizo la kutokusoma kwa vijana ni kubwa sana hasa kwa vijana wa CCM. Wanafikiri wataendelea kuishi kwa mtindo huu wa mazoea kwa maisha yao yote. Maisha yanabadilika sana na sisi kama sehemu ya dunia hatuwezi kukwepa hili. Asante sana kamanda Ben.
 
Tumesikia sana kuhusu hoja ya majimbo sera ambayo Chadema wamekuwa wakiipigia debe. Wengi tuna mtazamo hasi juu ya hilo lakini ukitafakari kwa makini ukiwa umetulia utakuja kugundua kuwa sera ya majimbo ni nzuri sana katika kuleta maendeleo ya nchi. Sijapitia threads za wengine hivyo kama itakuwa ni marudio basi hoja hiyo itakuwa ni sahihi zaidi.
Ikiwa tutakuwa na majimbo Tanzania ina maanisha kiongozi ambaye atakuwa ndiye mkuu wa jimbo ambaye bila shaka ni Gavana wa Jimbo atakuwa na nguvu kiuongozi na atakuwa na fasiliti za muhimu kutekeleza majukumu yake.
Majimbo maana yake ni
amalgamation ya mikoa tuliyonayo. Hii inamaana kuwa majimbo yanaweza kuwa na majimbo kumi tu = Magava kumi tu. Kuwa na uongozi kama huu budget yake ya kuongoza nchi itakuwa ni ndogo. Mikoa 30 inahitaji budget kubwa sana ambao ni mzigo kwa wananchi.
Tusitafsiri kuwa wenye sera hii wana nia mbaya, la hasha.
 
Ben

Unachokizungumzia hapa sio sera ya majimbo (if by that we mean federalism) all you do is describing problems with the current politics and its democratic deficit. Hence you seem to think decentralization only occurs under majimbo then you go and explain the need for local governance and its importance on people participation whilst trying to solve local problems using local resources and thinking.

That is not federalism it is just decentralization of powers into local authorities (local governments) and it is embraced both in unitary and federal states. And I do agree on this argument.

But federalism is a completely different ball game from what you're describing.

Si lazima DECENTRALIZATION iletwe na sera ya majimbo lakini kumbuka SERA YA MAJIMBO yenyewe ni DECENTRALIZATION.Katika kila FEDERALISM kuna DECENTRALIZATION lakini si kila DECENTRALIZATION inaletwa na FEDERALISM.

CHADEMA kuanza kufanya implementation kwenye decentralization ni hatua kubwa kuelekea katika reflection ya sera ya majimbo kwa kuwa na muundo wa sera ya majimbo katika utawala wake na harakati zake katika vuguvugu la kuelekea kuchukua dola

I agree with you that there is a difference between Federalism and Decentralization,but what they have in common is that decentralization is sharing of power between different levels of government and there are many forms of decentralization.

And what makes it different is that you have the level of government written in the constitution and each one of these governments as directly elected. So, they have a direct relation with the people.

What makes federalism special, the Constitution. The Central Government cannot take the power of the regional governments because it is constitutionalized. And these building blocks for a real federal system. The Constitution defines what power each level of government will have, the financial arrangements, the tax power each will have. Also, Constitutional Court to settle differences between the different levels of government. And a system of inter-governmental relations which is designed to help intra-governmental cooperation and share of responsibilities, environmental.


Actually in future i'll go in detail on FEDERALISM,CONFIDERALISM(Loose FEDERALISM) e.tc


[TD="class: bold l pu"]
[/TD]

[TD="class: l pd w"]
[/TD]
 
mfumo wa majimbo ni suluhisho la matatizo mengi saana, hasa kwa nchi yetu, wapo wanaoupinga, si vibaya ila watoe hoja za msingi na si kejeli

Pia waache kutoa uzushi, na kusema kwamba ni sera za kuchochea ukanda. Kama kahama wana madini basi itengenezwe formula ambayo pale kahama pesa ya madini inabaki kuleta maendeleo pale na nyingine itumike katika mambo ya kitaifa. Ni swala la formula tu. Hii mambo ya kupeleka pesa yote hazina halafu,pale kahama watoto wanakwenda shule hawapati hata uji,ukiachilia mbali sare iliyochanikachanika haikubaliki asilani.

Tatizo nilionalo hapa ni viongozi wenye uvivu wa kufikiri, kutafuta mambo,kujifunza na kuangalia alama za nyakati na kubadilika nazo. Wengi wanakula ubwabwa na nyama choma nyingi na k-jam..b...jam...bA hovyo tu. Na katika hali hiyo kwao ni rahisi kupayuka propaganda hovyo.

Nakubaliana nawe
 
nina swali moja;
bw saanane umesema kuwa uliwasilisha hii hoja pale travertine mwaka 2011 lakini chama hakikuelewa. ina maana chadema kilihubiri sera ya majimbo katika uchaguzi wa mwaka 2010 bila kufanya uchunguzi wa kina!!! mbona hapa sipaelewi!!!

naomba ufafanuzi wadau
 
With a little stability and extra focus on core issues, I feel CHADEMA can fulfil its calling on this shores.
 
With a little stability and extra focus on core issues, I feel CHADEMA can fulfil its calling on these shores.
 
Si lazima DECENTRALIZATION iletwe na sera ya majimbo lakini kumbuka SERA YA MAJIMBO yenyewe ni DECENTRALIZATION.Katika kila FEDERALISM kuna DECENTRALIZATION lakini si kila DECENTRALIZATION inaletwa na FEDERALISM.
True na kuna sababu hapo, kwa sababu federal states nying zimetokana na miuongano ya mataifa ambayo iliona ulazima wa kubakiza sehemu za mamlaka yao na baadhi ya vitu vifanyike katika muono wao mfano sheria zao (kumbuka sheria utungwa na moral values of the time katika jamii husika) na mengine ambayo hawakutaka yaamuliwe kwengine.

In short mengi yalioachwa ni makubaliano katika kulazimisha kuungana kwakuwa hicho ndicho kilichokuwa muhimu. A modern example at it's ealiest stage ni muungano wa EU ambao ulianza like a trade-block, as days go by more and more powers are transferred to Brussels that affect all member states kiasi cha waingereza kuanza kujiuliza kulikoni.

Lakini hata huko kwenye federalism na states ambazo wamebakiza certain powers inorder to achieve good governance they still need to decentralize power even further just as a unitary state does(matter of fact almost in similar ways).

Kwa maana hiyo there is no differences in the approach of good governance style, isipokuwa where federal is concerned ni nchi ziliungana au kingdoms na ziliamua kubakiza baadhi ya mamlaka na trust me there different views on most of these states and huge efforts on propaganda are needed to build a sense of national identity, sehemu kama marekani the media, CIA, FBI and hollywood play important roles on implementing a sense of national patriotism and we are talking of the superpower of our time.

Ukitaka kuona matatizo nenda kaangalie huko India (kumbuka Pakistani not long ago was part of hers) and the current problems it still has in keeping some states au huko Russia na China.


These are not easy states to bring about a sense solidarity and building a sense of national patriotism, there is the danger of people pledging their loyalties into their states and cause problems kama Nigeria. Na hizo ni nchi ambzo atuzipati hata chembe kwa scholars who can advice on how to win support,huko most of us here are nobodies in their scholarly word (kutokana na amount of publications ambazo zimekuwa implemented world wide) na wanashindwa.

Sasa kweli sisi tunalilia federalism kisa decentralization wakati wenzetu walifanya hivyo hili kuungana, halafu watu waanze kuweka fikra za kimila pengine katika muono wao katika katiba zao bila ya kuingiliwa. Considering the ignorance level who is to say ukabila autashamiri na kuleta matatizo makubwa huko mbele au wanasiasa hawatumia hisia kadhaa hata za ndani ya states kuendelea kubagua (the debate here is long and needs evidence which is vastly available).

In another words tunalazimisha mfumo ambao miuondo yake si ya taifa moja yaani ni sawa na sehemu kama "Michigan States" in USA wajigawe tena kwa namna ya sera ya CDM.

By the way decentralization through democracy also entails election kama unavyoona mayoral election where it concerns or local counselors election where it is concerned, kwa maana hiyo what we have in Tanzania needs to be modernized na vyeo vingine viondoke lakini si majimbo.


 
Ben Saanane

Hiii sera ndio umeiweka kuwamaliza kabisa. Tutafutane after mwaka mmoja mkianza kuitekeleza mungu akijalia uniambie.

Naomba nieleweke sipingani na sera yenyewe kama yenyewe bali uwezo wa ku-implement CDM hamna.

Jiulize mahitaji ya sera hii ni yepi hilo moja kwa kuwasaidia...,nijuavyomie ili sera yenu iwe effective kitu cha kwanza nilazima muwe na watu firm ambao wanaweza kuisimamia kwa implicitly hasa ngazi ya chini huko mnaposhusha nguvu za maamuzi. Wapo wapi watu hao?je wapo firm na unauhakika??BAVICHA tu imewashinda watu wamebadilishwa muelekeo itakua nchi nzima????na tena wanakua na mahamuzi ebu fikiria mfano ndio mmoja wa mliowatimua yupo mkoa wenye nguvu kama dar na madaraka ya maamuzi anayo patachimbika..nawambieniCCM wanawafata huko huko kuwamaliza..hamna resources na capabilities za kutosha kuendesha mfumo huu..hauwezi kuweka mfumu huu kwa chhama ambacho hata uwezo wa kifedha bado kinachangisha hata kama mfumo ni mzuri ukafanya kazi.

Thax

I think this is a very good point kwa kweli

CDM is very strong kwenye central office, ila huko periphery bado inaongozwa around people, na sio around principles!!

this is something that ahs to be worked out now; nakumbuka vurugu wakati wa viti maalum, namna ambavyo baadhi ya wagombea walipatikana, vituko vya mama, mama na mtoto Mwampamba kuwa na wilaya nzima peke yao nk. all these are threats to a good course

Kuna hata ya kuwa na massive public education kwa watu wa periphery, kutengeneza very simple and practical principles za kazi na viongozi wa juu kutumia zaidi ya 50% ya muda wao kustrengthen majimbo kabla ya december 2014

Hilo la mparaganyiko lipo, ni magamba yanatoka kutokana na ukuaji (unakumbuka ecdysis??) huu ndio mwaka chadema inatakiwa kupukutisha magamba yake yote bila kuyachoma moto kwani badae hugeuka mbolea
 
Siko tofauti na wewe lakini.sera hii imepotoshwa na CCM.matokeo yake inaonekana kutaka kugawa nchi hivyo, Hatuna budi kuendelea kuuelemisha umma tukitilia Maanani matokeo ya suala la gas lilivyoshughulikiwa na wananchi wa huko. Vipi Geita,ShinyAnga na kwingineko kama Mtwara?
 
True na kuna sababu hapo, kwa sababu federal states nying zimetokana na miuongano ya mataifa ambayo iliona ulazima wa kubakiza sehemu za mamlaka yao na baadhi ya vitu vifanyike katika muono wao mfano sheria zao (kumbuka sheria utungwa na moral values of the time katika jamii husika) na mengine ambayo hawakutaka yaamuliwe kwengine.

In short mengi yalioachwa ni makubaliano katika kulazimisha kuungana kwakuwa hicho ndicho kilichokuwa muhimu. A modern example at it's ealiest stage ni muungano wa EU ambao ulianza like a trade-block, as days go by more and more powers are transferred to Brussels that affect all member states kiasi cha waingereza kuanza kujiuliza kulikoni.

Lakini hata huko kwenye federalism na states ambazo wamebakiza certain powers inorder to achieve good governance they still need to decentralize power even further just as a unitary state does(matter of fact almost in similar ways).

Kwa maana hiyo there is no differences in the approach of good governance style, isipokuwa where federal is concerned ni nchi ziliungana au kingdoms na ziliamua kubakiza baadhi ya mamlaka na trust me there different views on most of these states and huge efforts on propaganda are needed to build a sense of national identity, sehemu kama marekani the media, CIA, FBI and hollywood play important roles on implementing a sense of national patriotism and we are talking of the superpower of our time.

Ukitaka kuona matatizo nenda kaangalie huko India (kumbuka Pakistani not long ago was part of hers) and the current problems it still has in keeping some states au huko Russia na China.


These are not easy states to bring about a sense solidarity and building a sense of national patriotism, there is the danger of people pledging their loyalties into their states and cause problems kama Nigeria. Na hizo ni nchi ambzo atuzipati hata chembe kwa scholars who can advice on how to win support,huko most of us here are nobodies in their scholarly word (kutokana na amount of publications ambazo zimekuwa implemented world wide) na wanashindwa.

Sasa kweli sisi tunalilia federalism kisa decentralization wakati wenzetu walifanya hivyo hili kuungana, halafu watu waanze kuweka fikra za kimila pengine katika muono wao katika katiba zao bila ya kuingiliwa. Considering the ignorance level who is to say ukabila autashamiri na kuleta matatizo makubwa huko mbele au wanasiasa hawatumia hisia kadhaa hata za ndani ya states kuendelea kubagua (the debate here is long and needs evidence which is vastly available).

In another words tunalazimisha mfumo ambao miuondo yake si ya taifa moja yaani ni sawa na sehemu kama "Michigan States" in USA wajigawe tena kwa namna ya sera ya CDM.

By the way decentralization through democracy also entails election kama unavyoona mayoral election where it concerns or local counselors election where it is concerned, kwa maana hiyo what we have in Tanzania needs to be modernized na vyeo vingine viondoke lakini si majimbo.



Thank you Eric,

Ninakubaliana na wewe kwenye mabo kadhaa

Federalism huko Nigeria haikuchukuliwa serious.Federalism ya Nigeria si kama ya USA au ya Switzerland.States in US zina power na zina hadhi zaidi ya kuitwa states kuliko Nigeria.

India ina matatizo yake na Pakistani ilikua sehemu ya India but matatizo yao hayakuletwa na system ya Federalism kwani wakati wanapata uhuru immediately vita iliibuka na Pakistani ikajitenga.Sentiments za movement hii ndizo zilizopelekea mauaji ya Mahatma Gandhi.Soma vitabu kadhaa vitatoa muongozo mzuri kuhusu hili .I'll recommend you to read 'who was responsible for partition,Jinnah or Mahatma Gadhi? by: Jaswant Singh

Talking about Pakistan being part of India,ni lazima tujadili kwamba hata Bangladesh ilikua sehemu ya Pakistan baada ya kujitenga.Yaliyopelekea secession ndiyo tunajadili faida za majimbo na decentralization.East Pakistan ilihisi kutengwa na kunyonywa sana na west pakistan.Matatizo haya yalianza hata kabla Zulfikar Bhutto hajaingia madarakani.Cold war pia ilichangia haya kutokana na Msimamo wa General Khan.Leo mtwara wanaongelea kuhusu gesi yao,Zanzibar wanasema wameminywa haki za kisiasa na kiuchumi kama ilivyokua kwa est pakistan.Matatizo haya yanatokana na mfumo huu tulio nao.hakuna equitable distribution of resources.Kusini wanasema hawana maendele ukilinganisha na north.Zanzibar wanadai hawana mamlaka na pia kwenye nafasi za urais bado wanatoswa kutokana na mfumo.the same case ilikua kwa mataifa yaliyokua USSR ingawa case hii ni special hasa ilipochochewa na cold War n.k.

Case US kwenye federalism na matatizo yake imeweza kuwa solved vizuri kikatiba.Walipata funzo baada ya weakness iliyoibuka kwenye presidential transition wakati abraham lincoln anaingia madarakani mwaka 1861 kabla hajaapishwa states zikaanza chokochoko na kukawa na udhaifu wa kimfumo uliochochewa na Rais aliyemaliza muda wake na Rais mteule(hii ni ajenda nyingine kwenye katiba yetu) hadi wakaingia kwenye civil war.

Federalism inarahisisha dhana ya democracy halikadhalika Decentralization.Soma maandiko ya Prof David A.Crocker.Alikua ni lecturer mzuri kwenye mapambano ya subnationalism na ameandika vitabu na articles nyingi kwenye international journals.Pia soma uhusiano wa demokrasia na decentralization 'The conceptual link between decentralization and democratic institutions by:Jennie Litvack,Junaid Ahmand and richard Bird

Sasa tuje kwenye trend ya federalism.to me this is the best system compared to unitary system.

Umeongelea suala la EU.actually EU ipo flexible.Hiyo grand federalism inaleta usumbufu lakini kuna flexibility hadi kwenye ilani za uchaguzi za vyama vya siasa.leo hii umeona David cameroon amekomaa na anataka kwenye ilani ya uchaguzi ya chama cha conservative liwepo suala la kuruhusu serikali itakayoundwa kujadili na kupeleka kwenye referundum kupata maoni ya mabadiliko ya nafasi ya uingereza EU na hasa mamlaka ya kamisheni yapunguzwe.Hebu sasa tujikite federalism kwenye state level tuache kwanza regional intergration
 
In many cases its part of what we sometimes call the third wave of democracy. Also, the dissolution of the Soviet Union created many independent states and Russia became a federation (Russian Federation).

Former Yugoslavia and with great difficulties tried to create a federal system. Also, in Brazil after the military rule, democracy brought back federalism and gave the states real power also the same in Mexico and Spain after 1875 became a kind of federal state. So, there is an association between democracy and federalism. But a democratic system doesn't necessarily need to be federal but in some countries, it really helps. The second thing that led to interest in federalism and decentralization is that many countries when they were free from colonial rule, the national governments that followed held the power close to the centre and gave very little power to local communities to plan their own development. Again in the 1980s, the World Bank and other international institutions said that decisions can be made more effective and do a better job in meeting the needs of the people if your local communities are given the chance to take charge of their own affairs.


The third, which is very important for the growth of Federalism, is that countries that have gone through civil wars had to find a way to live together despite their differences. So, in many countries, federalism which allows areas like Tanzania, some freedom to make their own decisions. It sets up a central government which includes representative from all the regions. This can be a formula which can resolve some of these problems. Better than a military state or unitary which is not good at responding to differences because one group dominate it and better than having small independent states which don't have resources.


So it is a kind of a middle way in many cases. Many people believe that even after the victory of the central government in Sri Lanka that only effective long term solution is to have some form of federalism where the Tamil people will have their own sub-government. Again here with the big difference between Muslim Isles and the Christian Mainland and other differences have in Tanzania, it couldn't work without some kind of federalism.



 
Eric,



Federalism in many cases its part of what we sometimes call the third wave of democracy. Also, the dissolution of the Soviet Union created many independent states and Russia became a federation (Russian Federation).

Former Yugoslavia and with great difficulties tried to create a federal system. Also, in Brazil after the military rule, democracy brought back federalism and gave the states real power also the same in Mexico and Spain after 1875 became a kind of federal state. So, there is an association between democracy and federalism. But a democratic system doesn't necessarily need to be federal but in some countries, it really helps. The second thing that led to interest in federalism and decentralization is that many countries when they were free from colonial rule, the national governments that followed held the power close to the centre and gave very little power to local communities to plan their own development. Again in the 1980s, the World Bank and other international institutions said that decisions can be made more effective and do a better job in meeting the needs of the people if your local communities are given the chance to take charge of their own affairs.


The third, which is very important for the growth of Federalism, is that countries that have gone through civil wars had to find a way to live together despite their differences. So, in many countries, federalism which allows areas like Tanzania, some freedom to make their own decisions. It sets up a central government which includes representative from all the regions. This can be a formula which can resolve some of these problems. Better than a military state or unitary which is not good at responding to differences because one group dominate it and better than having small independent states which don't have resources.


So it is a kind of a middle way in many cases. Many people believe that even after the victory of the central government in Sri Lanka that only effective long term solution is to have some form of federalism where the Tamil people will have their own sub-government. Again here with the big difference between Muslim Isles and the Christian Mainland and other differences have in Tanzania, it couldn't work without some kind of federalism.


 
Back
Top Bottom