Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,960
- 11,221
Eric,
Katika Demokrasia ,vyama vya upinzani na hata chama Tawala vina wajibu na dhamana ya kuwaelimisha wananchi kuhusu misingi ya Demokrasia.Kwa bahati mbaya suala hili limekua tofauti nchini mwetu
Ni Chama cha demokrasia na Maendeleo pekee kilichoamua kuvunja utamaduni huu na kuamua kuanzisha mkakati wa kutoa elimu ya Uraia kwa wananchi wake kuanzia OPERESHENI SANGARA hadi sasa tuna vuguvugu la mabadiliko M4C(Movement for Change) nakuanzisha utamaduni mpya(usher in a new culture) unaojenga uwezo na kuongeza ari kwa wananchi katika kushiriki,kushinikiza na kuiwajibisha serikali yao
CHADEMA kinaamini kwamba wananchi wanapoielewa vyema misingi ya demokrasia inakua Rahisi kwao katika kushiriki katika Nyanja zote za utawala.
Katika Dira,Falsafa na Mtazamo wa CHADEMA unalenga kuweka nguvu ya umma au wananchi mbele katika shughuli zote zinazohusu utawala na maamuzi kupitia falsafa yake ya nguvu ya umma ambayo ndiyo msingi wa maamuzi na kichocheo cha mfumo au muundo wa utawala wa majimbo badala ya kulundika mamlaka yote kwa watawala kama ilivyo sasa na hasa sehemu moja bila kuwa na mawasiliano ya karibu ya wananchi.Ni kukasimisha madaraka kutoka makao makuu na kuyapeleka kwenye utawala wa kikanda kupitia mgawanyo huu(decentralization through zoning).Kulundika mamlaka sehemu moja kama ilivyo sasa ni kujiweka mbali na hisia za wananchi na hili limekua tatizo kubwa katika uendeshaji wa nchi na hata katika Mashirika makubwa.
Muundo huu wa majimbo unaoendana na uwezo wetu kiuchumi unatoa Taswira Chanya ya serikali ya Baadae ya itakayoundwa na CHADEMA na sasa CHADEMA kimeamua kwa muda huu ulioaki kiunde mfumo wa aina hii katika kipindi hiki cha mpito kabla ya kuchukua Dola mwaka 2015 ili wananchi wapate kuona ubora wa mfumo huu utakaoleta matumaini mapya,Uhuru na fursa katika kufanya maamauzi bna kushiriki moja kwa moja katika kuendesha Taifa lao kwa ufanisi zaidi
Ben
Unachokizungumzia hapa sio sera ya majimbo (if by that we mean federalism) all you do is describing problems with the current politics and its democratic deficit. Hence you seem to think decentralization only occurs under majimbo then you go and explain the need for local governance and its importance on people participation whilst trying to solve local problems using local resources and thinking.
That is not federalism it is just decentralization of powers into local authorities (local governments) and it is embraced both in unitary and federal states. And I do agree on this argument.
But federalism is a completely different ball game from what you're describing.