don-oba
JF-Expert Member
- Dec 8, 2011
- 1,387
- 680
By KisindikaAcha porojo za Nyerere. Tumeanika mezani madhara ya utawala wa majimbo kwa nia njema. Tuyajadili hayo. Mpaka Nyerere anamaliza mda wake ilikuwa ni ZIDUMU FIKRA ZA MWENYEKITI NA MTUKUFU RAIS. Maneno yake yalikuwa hayaendani na vitendo vyake. Ndo maana leo tupo hapa kama taifa linalotafuta njia ya kutokea baada ya viongozi wote tangu tupate uhuru hadi leo kushindwa ku deliver.
Jibu hoja kwa hoja. Huu usanii wa kushindwa kujibu hoja na kukimbilia kutukana ndio uliolifanya taifa letu kufika hapa lilipo. Taifa masikini wa kutupwa. Taifa ombaomba. Taifa la wajinga kama wewe.
akili yako inategea sana, ni dhaifu sawa na kiungo cha uzazi pale kinapoguswa. Ili kumkashfu Mwl Nyerere inahitaji kujiondoa welevu wako na kujivisha uwendawazimu. Ni nani asiyejua mchango wa Mwalimu ktk taifa hili na Afrika kwa ujumla?. Hoja unazotaka ni zipi, nikufundishe kuhusu 'decentralization process'.