Kesho usiku saa tatu discovery channel wataonesha jinsi makomandoo wa kimarekani walivyoingia nyumbani kwa Osama na kumuua.
Wadau nadhani ni vizuri kuicheki hii kitu.
Mbona osama ajafa. au unamahani nini ?
Nilishawahi kuiona hiyo video!Ni usanii mtupu uliojaa proraganda za wamarekani!Hamna la maana yeyote kwenye movie hiyo ni wizi mtupu!!
Lini wataonyesha ya Balali??? SITAKOSAKesho usiku saa tatu discovery channel wataonesha jinsi makomandoo wa kimarekani walivyoingia nyumbani kwa Osama na kumuua.
Wadau nadhani ni vizuri kuicheki hii kitu.
Marekani ameidanganya dunia kwa mambo mengi. Kwanza alitudanganya amefika kwenye mwezi wakati hakuna ukweli, na wafanyakazi wa NASA walikataa kuwa hawajafika na hatimaye wakauawa. Osama naye anatumiwa kutudanganya. Osama 2006 alikuwa anaumwa figo, na alikuwa anatembea na mashine ya kuchuja damu, baadaye ikajulikana kuwa amefariki dunia. Ila America anajitahidi kuipumbaza dunia kwa mengi tu.
hongera wewe na mzungu wako. Utaamini wewe ni weak mpaka kufa kwako.wakudanganye ww ili wapate manufaa gani mkuu. Wale jamaa wako mbali hilo inabidi ukubali. Mzungu hanywi mbege mzee.
Marekani ameidanganya dunia kwa mambo mengi. Kwanza alitudanganya amefika kwenye mwezi wakati hakuna ukweli, na wafanyakazi wa NASA walikataa kuwa hawajafika na hatimaye wakauawa. Osama naye anatumiwa kutudanganya. Osama 2006 alikuwa anaumwa figo, na alikuwa anatembea na mashine ya kuchuja damu, baadaye ikajulikana kuwa amefariki dunia. Ila America anajitahidi kuipumbaza dunia kwa mengi tu.
secrets of Seal Team Vi
Inaumiza sana, watu tunakwepa vijiwe vya kahawa na kashata na kuja hapa jf na kukutana na watu aina yako tuliowakimbia huko!