Dear FaizaFoxy: Ukijibu hili nahamia CCM


Kwanza kabisa unasema "maswali yangu" halafu naliona swali ni moja tu. hebu jipange upya, ni maswali au swali?
 
Kwanza kabisa unasema "maswali yangu" halafu naliona swali ni moja tu. hebu jipange upya, ni maswali au swali?
Usilete ulegelege katika kujibu hoja, jibu kama ulivyoulizwa siyo kujibu swali juu ya swali
 
Mfanyabiashara yeyote hatakiwi kuwa kiongozi wa CCM au serikali yake.

Ili uwe kiongozi mzuri ndani ya wavua magamba lazima gamba lako liwe gumu san tena king'ang'anizi kutoka.
 
kwanini usinge m pm au ulitaka utuongezee mada zisizo na kichwa wala miguu hapa
 
Mpaka uwe na kichwa cha kuchambua mambo vinginevyo kitendo cha kuvaa gamba tu ni ukilaza
 
Usilete ulegelege katika kujibu hoja, jibu kama ulivyoulizwa siyo kujibu swali juu ya swali

Nijibu swali au maswali? naomba myapange hayo maswali au swali lenu, hamueleweki na nna kila haki ya kuelewa nnachoulizwa kabla ya kukijibu. Sikurupuki.
 
Kikongwe na majibu rojorojo kama mwenyekiti wa chama chake!

Jipangeni upya, hapa mmefika, mje na swali au maswali lakini msije na "maswali" halafu mnauliza swali, Unanchekesha! Kwanza kabisa unatakiwa unaeuliza ujuwe unachokiuliza, kama unaeuliza hukijui unachouliza kama ni swali au maswali unategemea nini? jibu au majibu?
 
Nashukuru mjukuu wangu kunisahihisha..kwa nini Pro-CDM JF mnataka Padre awe rais? Jibu basi

-

Mbona mgumu kutoa Marahaba wewe babu?

Dr Slaa anafaa na ana uwezo Wa kuwa Rais bora kuliko mtu yeyote katika CCM
 

wewe ndo unajibu usichokijua
 

Kwanza jipange kwa kujuwa unachokiuliza, lakini tutaanza kwa kukufunda taratibu usiwe na shaka, ili siku nyingine ukiuliza swali au maswali uelewe tofauti yake, haya anza kwa kuuliza huku ukiwa umejipanga vizuri ili ueleweke.
 

Wewe huwa unajipa upofu kwenye hoja zenye ukweli ndani ya chama chako.
Nakubali kuwa wewe ni Ajuza(hilo siwezi kataa) ila usitake wanajamvi waamini kuwa hujaelewa alichoandika bwana ALBEDO.
Usitake kuleta kisingizio cha kuzeeka kuwa ni ngao ya kutokujibu hoja za wanajamvi.
Wewe ndo ujipange upya na ujibu hoja ya mtoa mada.
 
Nijibu swali au maswali? naomba myapange hayo maswali au swali lenu, hamueleweki na nna kila haki ya kuelewa nnachoulizwa kabla ya kukijibu. Sikurupuki.

Kwakwo kikongwe faiza.
{Swali} ni neno la kiswahili lenye kuonyesha umoja.
{Maswali} ni neno la kiswahili linaloonyesha wingi.
Sasa kama waona kuna swali moja we jibu.
Kama unaona kuna maswali mengi jibu pia.

Acha kuwa na majibu rojorojo kama mwenyekiti wenu.
 
Mbona mgumu kutoa Marahaba wewe babu?

Dr Slaa anafaa na ana uwezo Wa kuwa Rais bora kuliko mtu yeyote katika CCM

Je kwa CDM hakuna mtu yoyote mwenye uwezo anafaa kuwa rais tofauti na a loser Dr Slaa?
 
Kwanza jipange kwa kujuwa unachokiuliza, lakini tutaanza kwa kukufunda taratibu usiwe na shaka, ili siku nyingine ukiuliza swali au maswali uelewe tofauti yake, haya anza kwa kuuliza huku ukiwa umejipanga vizuri ili ueleweke.
Mhhh!!! Hizi ni dalili za kukosa majibu!!! Kumbe haya maswali ni magumu kiasi hiki hadi mtu anajiumauma kujibu!!?? Duh.....!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…