Dear Babu Asprin...

Sawa sawa kabisa kiongozi wangu.

Mshukuru sana Mnyazi MUNGU kwa kukujalia kukutana na kufahamiana na mafriends na flowers waliokuzunguka, hakikisha humpotezi hata mmoja, manake hao wamechangia kwa kiasi kikubwa hadi umeweza kufika hapo ulipo hivi leo.

Heshimu kila mtu kiongozi wangu hata kama mna itikadi tofauti za kidini, kisiasa, kijamii, kiutamaduni, kikabila, kiumri hata na kielimu.

Heshima mbele kama tai ya mbunge wa uingereza(hasa ile iliyopiga muziki wakati anatoa hoja bungeni juzi kati):smile-big: Na mimi sina shaka kabisa kwamba hujawahi kuwa na matatizo na wajukuu zako ukizingatia ni geloz jukuuz, ingawa wapwaz mara moja moja huwa wanakuzingua lakini unarekebisha.

What a nice advise from a classmate!!

Babu atauzingatia ushauri wako...

And thats a promise!
 
Si unaona mjukuu anasema eti mi mtanipa madhiwa wakati nyie mkilipa kodi TBL/SBL?
Kwa ijumaa hii hapana, labda jumatatu ntavumilia.

thatha mbona hujatwambia tunakutana wapi kuja kukupongeza? au unaenda na mjukuu origino pekee?
 
thatha mbona hujatwambia tunakutana wapi kuja kukupongeza? au unaenda na mjukuu origino pekee?

Afu wewe mbona we una wivu sana??? Wote tunajua Birthday ya Babu mbona hukuanza kumpongeza?? Kwenu hakuna heshima kwa mkubwa eh??




Sijui niibinafsishe??.........Babu.ukimaliza Africana mjukuu origino amekuandalia dinner........just the TWO of us.............mimi na wewe tu.
 
Happy Birthday Rafiki. Mungu akupe maisha marefu zaidi................ tunakupenda sana rafiki!
 
Afu wewe mbona we una wivu sana??? Wote tunajua Birthday ya Babu mbona hukuanza kumpongeza?? Kwenu hakuna heshima kwa mkubwa eh??




Sijui niibinafsishe??.........Babu.ukimaliza Africana mjukuu origino amekuandalia dinner........just the TWO of us.............mimi na wewe tu.

Hahahaaaaaaa mi nilijua tu ulikua unatafuta sababu usherehekee peke yako na babu. Ngoja nimpigie simu bibi amkatalie babu kutoka leo.

Mzima lakini mama.
 
Afu wewe mbona we una wivu sana??? Wote tunajua Birthday ya Babu mbona hukuanza kumpongeza?? Kwenu hakuna heshima kwa mkubwa eh??




Sijui niibinafsishe??.........Babu.ukimaliza Africana mjukuu origino amekuandalia dinner........just the TWO of us.............mimi na wewe tu.

Mi nilikua nasubiri ifike saa sita usiku ianze cku mpya ndio nimtumie, umeona muda uliotuma saa sita kasoro ulijua tu kuna competition hapa, mjanja sana wewe haya bana umeshinda lol
 
Hahahaaaaaaa mi nilijua tu ulikua unatafuta sababu usherehekee peke yako na babu. Ngoja nimpigie simu bibi amkatalie babu kutoka leo.

Mzima lakini mama.
MAmito mie ni mzima kabisa yaani niko gado............. hivi kuna sheria inayosema mjukuu ni lazima abakie kuwa mjukuu tu??


Nina wishes kibao mamito
Vipi Savoy......................sijui nizuke weekend hii??
 
Happy birthday Dear Babu. Busara tele najua zinazidi kuongezeka, tutafaidika wajukuu!!
 
Back
Top Bottom