MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
Dear Asprin
Natumai waraka huu utakukuta ukiwa physically fit and chemically balanced. Najua utashangaa sana kwa nini MJ1 ameamua kufikia hatua hii ya kukuanika hapa jamvini, but jua tu kuwa ni kwa kuwa yeye na wanajamvi wengi tu wanakupenda sana.
Kwa mantiki hii basi, ninapenda kuchukua nafasi hii kukueleza kuwa leo hii, tarehe ya leo MJ1 pamoja na JF-MMU nzima inakutakia HAPPY BIRTHDAY............ Sala zetu tunazielekeza kwa Mwenyezi MUNGU ili akupe wewe, Bibi, Matesha na wote wanaokuhusu, afya njema na maisha marefu.
HAPPY BIRTHDAY BABU..........:A S crown-1::msela:eace::humble::grouphug::horn::cheer2::violin:
Its me Mjukuu Original kwa niaba ya wanaMMU na JF kwa ujumla.
Natumai waraka huu utakukuta ukiwa physically fit and chemically balanced. Najua utashangaa sana kwa nini MJ1 ameamua kufikia hatua hii ya kukuanika hapa jamvini, but jua tu kuwa ni kwa kuwa yeye na wanajamvi wengi tu wanakupenda sana.
Kwa mantiki hii basi, ninapenda kuchukua nafasi hii kukueleza kuwa leo hii, tarehe ya leo MJ1 pamoja na JF-MMU nzima inakutakia HAPPY BIRTHDAY............ Sala zetu tunazielekeza kwa Mwenyezi MUNGU ili akupe wewe, Bibi, Matesha na wote wanaokuhusu, afya njema na maisha marefu.
HAPPY BIRTHDAY BABU..........:A S crown-1::msela:eace::humble::grouphug::horn::cheer2::violin:
Its me Mjukuu Original kwa niaba ya wanaMMU na JF kwa ujumla.