DDP: Tukio la tindikali Zanzibar sio ugaidi

DDP: Tukio la tindikali Zanzibar sio ugaidi

MADORO

Senior Member
Joined
Nov 12, 2011
Posts
198
Reaction score
117
Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Serikali Eliezer Feleshi amesema tukio la kumwagiwa tindikali kwa raia wawili wa Uingereza sio la kigaidi. "matukio haya yasichukuliwe jumla jumla, sisemi moja kwa moja kuwa tukio hilo ni la kigaidi ila naomba tuhamasishe jamii ya watanzania utii wa sheria bila shuruti, na tusaidie vita dhidi ya matumizi mabaya ya tindikali" - Alikuwa anajibu swali kama tukio la Tindikali nalo ni la kigaidi kama yale aliyopitisha ofisini kwake yafunguliwe mashtaka ya Ugaidi yaliyokataliwa na Mahakama

IGP- Amekwepa swali la kuwa endapo yupo tayari kujiuzulu kwani matukio mabaya yamekuwa yakiendelea tu.
"Kwanini usijiuzulu kwa kuwa matukio kama haya yamekuwa yakijirudia, na wewe umekalia kiti hicho?"

Hayo yamejiri kwenye ofisi za Wizara ya Mambo ya Ndani muda mchache kulikuwa na Press conference, Wazungumzaji walikuwa ni IGP, DPP na Mkemia Mkuu wamechanganyikiwa na tukio la Waingereza kumwagiwa Tindikali. Pamoja na hayo, hoja yangu je Serikali inaamka wageni wakiguswa? tangu lini matukio ya watu kumwagiwa tindikali yameanza kutokea na serikali haichukui hatua, wala kukamata watuhumiwa. Mabomu yamelipuka hatujawahi kusikia serikali ikitoa maelezo na namna ya kujilinda. Leo la tindikali la Waingereza IGP, DPP na Mkemia Mkuu wanafika kueleza namna ya kudhibiti tindikali, na namna ya kupata taaarifa za tindikali.
 
DPP anafanya kazi kwa double standard. Mbona tukio la Tesha wa Igunga alifungua mashtaka ya Ugaidi. DPP atupe tafsiri ya ugaidi. Maana kesho asije akasema mlipuko wa Soweto si wa kigaidi. Im confused..!
 
...nani anapaswa kuclassify matukio,aliyetenda au mtendewa,aliyetenda ni gaidi, who is dpp to name it otherwise ?...
 
Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Serikali Eliezer Feleshi amesema tukio la kumwagiwa tindikali kwa raia wawili wa Uingereza sio la kigaidi. "matukio haya yasichukuliwe jumla jumla, sisemi moja kwa moja kuwa tukio hilo ni la kigaidi ila naomba tuhamasishe jamii ya watanzania utii wa sheria bila shuruti, na tusaidie vita dhidi ya matumizi mabaya ya tindikali" - Alikuwa anajibu swali kama tukio la Tindikali nalo ni la kigaidi kama yale aliyopitisha ofisini kwake yafunguliwe mashtaka ya Ugaidi yaliyokataliwa na Mahakama

IGP- Amekwepa swali la kuwa endapo yupo tayari kujiuzulu kwani matukio mabaya yamekuwa yakiendelea tu.
"Kwanini usijiuzulu kwa kuwa matukio kama haya yamekuwa yakijirudia, na wewe umekalia kiti hicho?"

Hayo yamejiri kwenye ofisi za Wizara ya Mambo ya Ndani muda mchache kulikuwa na Press conference, Wazungumzaji walikuwa ni IGP, DPP na Mkemia Mkuu wamechanganyikiwa na tukio la Waingereza kumwagiwa Tindikali. Pamoja na hayo, hoja yangu je Serikali inaamka wageni wakiguswa? tangu lini matukio ya watu kumwagiwa tindikali yameanza kutokea na serikali haichukui hatua, wala kukamata watuhumiwa. Mabomu yamelipuka hatujawahi kusikia serikali ikitoa maelezo na namna ya kujilinda. Leo la tindikali la Waingereza IGP, DPP na Mkemia Mkuu wanafika kueleza namna ya kudhibiti tindikali, na namna ya kupata taaarifa za tindikali.

Tukisema vyombo vya dola vinatumiwa na wanasiasa hasa ccm hawataki sasa kwanini na hili wasiseme ni ugaidi? Angekuwa ni Mtanzania kamwagiwa hio tindikali hakuna ambae angejali? ombaomba ccm wanaogopa wafadhili wao kuwanyima misaada
 
Arusha walikufa wangapi kule au kwa kuwa Polisi na CCM ni watuhumiwa ? Press conference mbona hatukuiona ? Feleshia anaogopa sasa kutamka neon ugaidi ili Dunia isije sema Tanzania wamekiri ugaidi ? Ila kwa Chadema ni ugaidi siyo ?
 
Haijalishi kama ni tukio la kigaidi au siyo tunachotaka sisi kama watanzania ni kukomesha matukio haya kuhakikisha kuwa tindikali haiuzwi wala kumilikiwa na watu ovyo ovyo.
 
kama sio UGAIDI ilikuwaje huyu huyu DDP akawafungulia mashitaka ya ugaidi wafuasi wa CDM wanaotuhumiwa kumumwagia tindikali kada wa CCM Mussa Tesha?!

Huyu DPP hafai kabisa anatumika KISIASA, shame on your face Feleshi
 
Huyu dpp ni takataka kabisa, sijui jk alimtoa wapi huyu kenge maji.
 
Huyu jamaa ameiabisha sana taaluma yake na bado ataendelea kuiabisha kadri siku zinavyozidi kwenda!yeye kama mwanasheria inaonekana hajui kabisa maana ya ugaidi!
 
Haijalishi kama ni tukio la kigaidi au siyo tunachotaka sisi kama watanzania ni kukomesha matukio haya kuhakikisha kuwa tindikali haiuzwi wala kumilikiwa na watu ovyo ovyo.

Wakuu ninaomba kuelewa: Tindikali inapatikana wapi? Ni nani anaeruhusiwa kuwa nayo kihalali? Je matumizi yake halali ni yapi?
 
Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Serikali Eliezer Feleshi amesema tukio la kumwagiwa tindikali kwa raia wawili wa Uingereza sio la kigaidi. "matukio haya yasichukuliwe jumla jumla, sisemi moja kwa moja kuwa tukio hilo ni la kigaidi ila naomba tuhamasishe jamii ya watanzania utii wa sheria bila shuruti, na tusaidie vita dhidi ya matumizi mabaya ya tindikali" - Alikuwa anajibu swali kama tukio la Tindikali nalo ni la kigaidi kama yale aliyopitisha ofisini kwake yafunguliwe mashtaka ya Ugaidi yaliyokataliwa na Mahakama

IGP- Amekwepa swali la kuwa endapo yupo tayari kujiuzulu kwani matukio mabaya yamekuwa yakiendelea tu.
"Kwanini usijiuzulu kwa kuwa matukio kama haya yamekuwa yakijirudia, na wewe umekalia kiti hicho?"

Hayo yamejiri kwenye ofisi za Wizara ya Mambo ya Ndani muda mchache kulikuwa na Press conference, Wazungumzaji walikuwa ni IGP, DPP na Mkemia Mkuu wamechanganyikiwa na tukio la Waingereza kumwagiwa Tindikali. Pamoja na hayo, hoja yangu je Serikali inaamka wageni wakiguswa? tangu lini matukio ya watu kumwagiwa tindikali yameanza kutokea na serikali haichukui hatua, wala kukamata watuhumiwa. Mabomu yamelipuka hatujawahi kusikia serikali ikitoa maelezo na namna ya kujilinda. Leo la tindikali la Waingereza IGP, DPP na Mkemia Mkuu wanafika kueleza namna ya kudhibiti tindikali, na namna ya kupata taaarifa za tindikali.

Nadhani DPP yuko sahihi, siyo vizuri kuhusisha tukio hilo na ugaidi kwa vile hata wruhumiwa hawajakamatwa.
 
Wakuu ninaomba kuelewa: Tindikali inapatikana wapi? Ni nani anaeruhusiwa kuwa nayo kihalali? Je matumizi yake halali ni yapi?
Inawezekana umezoea jina la shuleni(kizungi). Tindikali kwa kimombo ni ACID, bado hujajua kazi yake?
 
[h=1]Boy faces court over acid attack[/h] [h=3]A teenager is due to appear in court charged with throwing acid at a woman on her doorstep.[/h] Published: Mon, May 13, 2013








399225_1.jpg
Acid attack victim Tara suffered injuries to her face and upper body (Metropolitan Police/PA)
The 28-year-old victim - who is called Tara but has asked for her surname not to be used - received horrific injuries to her face and upper body after acid was sprayed at her in Romford, Essex, on April 30. Her pet dog - a long-haired chihuahua - also required treatment.
Scotland Yard said the 15-year-old boy was in custody and would appear at Barkingside Magistrates Court accused of throwing corrosive fluid on a person with intent to do grievous bodily harm.

The teenager was arrested on Friday night.
 
Nadhani umefika wakati sisi kama watanzania tujitazame kwa jicho la tatu namaana tuangalie mambo yanayosumbua nchi yetu ili kuboresha amani Tanzania, Haiwezekani tunashughulikia matukio ya nchi nyingine wakati ya ndani hatujayatatua," KAMA UMESHINDWA KUIONGOZA FAMILIA YA MKE, WATOTO, kAMWE HUWEZI ONGOZA TAIFA" Nadhani tunaitaji Mabadiliko Ya haraka katika taifa letu
 
Kwenye 24 hrs...naona jinsi ctu wanavyojaribu kuzuia matukio tarajiwa na kubuni mbinu za kuwakamata wahalifu.....si mchezo mambo yapo kwa teknolojia ya nguvu.....tiss walipaswa kuiga....ila siamin kama hapa bongo twaweza zuia uhalifu tarajiwa....longolongo tu...mungu tusaidie.
 
Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Serikali Eliezer Feleshi amesema tukio la kumwagiwa tindikali kwa raia wawili wa Uingereza sio la kigaidi. "matukio haya yasichukuliwe jumla jumla, sisemi moja kwa moja kuwa tukio hilo ni la kigaidi ila naomba tuhamasishe jamii ya watanzania utii wa sheria bila shuruti, na tusaidie vita dhidi ya matumizi mabaya ya tindikali" - Alikuwa anajibu swali kama tukio la Tindikali nalo ni la kigaidi kama yale aliyopitisha ofisini kwake yafunguliwe mashtaka ya Ugaidi yaliyokataliwa na Mahakama

IGP- Amekwepa swali la kuwa endapo yupo tayari kujiuzulu kwani matukio mabaya yamekuwa yakiendelea tu.
"Kwanini usijiuzulu kwa kuwa matukio kama haya yamekuwa yakijirudia, na wewe umekalia kiti hicho?"

Hayo yamejiri kwenye ofisi za Wizara ya Mambo ya Ndani muda mchache kulikuwa na Press conference, Wazungumzaji walikuwa ni IGP, DPP na Mkemia Mkuu wamechanganyikiwa na tukio la Waingereza kumwagiwa Tindikali. Pamoja na hayo, hoja yangu je Serikali inaamka wageni wakiguswa? tangu lini matukio ya watu kumwagiwa tindikali yameanza kutokea na serikali haichukui hatua, wala kukamata watuhumiwa. Mabomu yamelipuka hatujawahi kusikia serikali ikitoa maelezo na namna ya kujilinda. Leo la tindikali la Waingereza IGP, DPP na Mkemia Mkuu wanafika kueleza namna ya kudhibiti tindikali, na namna ya kupata taaarifa za tindikali.
Nadhani ni mapema kuhusisha tukio la zanzibar na ugaidi, tuvipe vyombo vya dola muda ya kujiridhisha ili tupate taarifa iliyokamilika.
 
Back
Top Bottom