Nadhani umefika wakati sisi kama watanzania tujitazame kwa jicho la tatu namaana tuangalie mambo yanayosumbua nchi yetu ili kuboresha amani Tanzania, Haiwezekani tunashughulikia matukio ya nchi nyingine wakati ya ndani hatujayatatua," KAMA UMESHINDWA KUIONGOZA FAMILIA YA MKE, WATOTO, kAMWE HUWEZI ONGOZA TAIFA" Nadhani tunaitaji Mabadiliko Ya haraka katika taifa letu
Mkuu mimi nakuwa kinyume kabisa na wewe kwa sababu inawezekana kabisa kujihusisha kwetu na usuluhishi wa nje kukawa sababu ya kushambuliwa ili na sisi tuonekane hatuna amani , nasema hivyo kwa sababu Tanzania haikuanza leo kusaka amani katika mataifa jirani, wakati matukio ya kumwagiana tindikali ni ya juzi tu na hayana muda mrefu.