DDP: Tukio la tindikali Zanzibar sio ugaidi

DDP: Tukio la tindikali Zanzibar sio ugaidi

Wakuu ninaomba kuelewa: Tindikali inapatikana wapi? Ni nani anaeruhusiwa kuwa nayo kihalali? Je matumizi yake halali ni yapi?

Inapatikana kwa Mwigulu Nchemba, anayeruhusiwa kuwa nayo kihalali ni gaidi yeyote afananae na Mwigulu, matumizi yake ni kumwagia watu usoni na sehemu nyingine za mwili, kama alivyomwagiwa Mussa Tesha ili atumike kipropaganda, yule mwenyekiti wa ccm wilaya ya kongwa, na matukio mengine yafananayo na haya yanayoratibiwa na Mwigulu
 
Narudia kusema ugaidi hauwezi kuwa ugaidi mpaka uchunguza ufanyike na kubaini kuwepo kwa mazingira ya ugaidi tukio haliwei kuitwa ugaidi kabla ya kuwepo vibainishi vya ugaidi.

Tuambie basi mmejuaje kwamba sio ugaidi wakati hamjachunguza? kwahiyo sasa hiv tuelewe lile ni tukio la aina gani kabla halijachunguzwa?
 
Serikali inachanganyikiwa, maana inafanya mizaha mpaka sasa inawagharimu.
Tufanye hima wananchi wenzangu kuiondoa hii serikali ya Ccm madarakani kabla nchi haijaoza kabisa.
Inafanya kazi ishabiki hata kwenye ofisi za uma, Tukio la Igunga wamepeleka mashtaka mahakamani kuwa ni ugaidi sasa unatendeka ugaidi wa kweli Zanzibar wanatweta ,wanadai si ugaidi! Ni UGAIDI hamwezi kuidanganya jumuia ya kimataifa kwamba si ugaidi LIMEWAGANDA HILO kukurukeni kuchomoa na Uccm wenu!

Badala ya kuteua watendaji wa kweli mnateua watendaji watetezi wa Ccm! tena vichwa panzi!
 
Hizo porojo nenda mkafarijiane na jamaa zako. Ukweli uko wazi hakuna Ugaidi Tanzania wala isitake kukitetea mpk uchunguzi ufanyike mara Cjui Ugaidi mpk iwe niño! Ukweli ni kwamba dhana ya Ugaidi imehasisiwa na Ccm ili kuukandamiza upinzani. Mlifamikiwa kuizohofisha Cuf lakini kwa Cdm mmechemka. Na jamaa yenu Tendwa mlikua mnamtegemea awasaidie kukufuta Cdm ndo huyo amesepa. Amebaki DPP. Naye kuzi Amepewa Somo Kule Tabora na bwana jaji. Sasa ccm mmekwisha hiyo dhana yenu imegonga Mwamba. Chadema oyeeeeeee! Kibatala na Safari na Lissu na Mabele Malando juuuuuu!

Naona ndugu yangu Ntuzu hukunielewa, Nilikuwa namjibu Ndg Uncle Deo kama alivyosema hapo chini. Hata hivyo ukipitia vizuri maoni/maswali yangu utaona hatutofautiani nawe, ona bold na italic mwishoni.

"Quote By Uncle Deo View Post
Narudia kusema ugaidi hauwezi kuwa ugaidi mpaka uchunguza ufanyike na kubaini kuwepo kwa mazingira ya ugaidi tukio haliwei kuitwa ugaidi kabla ya kuwepo vibainishi vya ugaidi.

Nikamjibu hivi: "Je, uchunguzi wa siku moja umebainisha kuwa tukio lile siyo la Kigaidi? Kama ndiyo kwa nini matuko mengine yanachukua wiki, miezi kabla ya Tamko? Kama wameshatoa ufafanuzi huu mapema ikija kubainika ni la kigaidi watasemaje?. Kama matukio mengine yanayo fanana na hilo wanasema ni matukio ya kigaidi why this not?
 
Wewe kweli mburura, acid ni aci mkuu watu watakucheka sana.

We Kiazi kweli kweli wewe!!!!!!!
Acid zina Matumizi tofaut tofauti, ACID ya Chemistry Lab (Sulphuric) Shuleni Huwezi Fananisha na ACID meant for Maji ya Betry interms of Concentration.
Akili yako imeoza aisee, Next time Jaribu hata ku Google kabla huja Expose Brain yako kiasi hiki
 
Nadhani haukumuelewa Mahoka2 alichojaribu kusema ni kuwa, hayo matukio ambayo makamanda wa Cdm walituhumiwa kuwa ni ugaidi yalishafanyiwa uchunguzi, hili la zanzibar ndo kwanza limetokea , kwa hiyo huwezi kukimbilia kusema ni ugaidi kabla ya kuwa na ushahidi huo.

Kwa Hiyo Uchunguzi ukaonesha kuwa ni la Ki Gaidi na DPP faster akakurupuka kufungua Kesi ??
 
Hivi tindikali ya yule jamaa wa Mwigulu bw. Tesha na hii ziko tofauti? Manake hiyo ya mwigulu ni ugaidi na hii ya znz inakuwaje sio ugaidi? Naomba kuelimishwa tafadhali
 
DPP anafanya kazi kwa double standard. Mbona tukio la Tesha wa Igunga alifungua mashtaka ya Ugaidi. DPP atupe tafsiri ya ugaidi. Maana kesho asije akasema mlipuko wa Soweto si wa kigaidi. Im confused..!

Mamlaka ya DPP na mkemia mkuu wa Serikali mwisho Chumbe, kwa upande wa Znz hawana mamlaka yoyote yale kwa mujibu wa sharia zenu.

Znz kuna DPP wake na Mkemia mkuu wake. hao Fereshi na mwenzake kuzumgumzia mambo ya Znz ni kiherehere chao tu kwani ya kwao yanawashinda.



 
mmeshasahau lile la kubenea halikuwa la ugaidi! Mpaka yalipomkuta mwana cicim,lkn haya ndo matunda ya sirikali kaamasiaha watu kusoma sayansi makofi tafadhaliiiiiiii
 
Mamlaka ya DPP siku hizi yanaextend hadi zanzibar?? Mzee ibrahim dpp wa zanzibar yeye sio msemaji?
Wao hawana mkemia mkuu???
Ya zanzibar tuwachie wayashughulikie
Felesh na prof manyele mkemia mkuu mnajiabisha kama hata mipaka ya kazi yenu hamuijui.
 
Baada ya issue ya tindikali haijasaidia vya kutosha kuzima hoja ya UNGA, wameanzisha agenda nyingine inayo mhusu Ponda, ni tukio moja baada ya jingine kufunika issue ya madawa! UNGA JUU...!
 
Naona ndugu yangu Ntuzu hukunielewa, Nilikuwa namjibu Ndg Uncle Deo kama alivyosema hapo chini. Hata hivyo ukipitia vizuri maoni/maswali yangu utaona hatutofautiani nawe, ona bold na italic mwishoni.

"Quote By Uncle Deo View Post
Narudia kusema ugaidi hauwezi kuwa ugaidi mpaka uchunguza ufanyike na kubaini kuwepo kwa mazingira ya ugaidi tukio haliwei kuitwa ugaidi kabla ya kuwepo vibainishi vya ugaidi.

Nikamjibu hivi: "Je, uchunguzi wa siku moja umebainisha kuwa tukio lile siyo la Kigaidi? Kama ndiyo kwa nini matuko mengine yanachukua wiki, miezi kabla ya Tamko? Kama wameshatoa ufafanuzi huu mapema ikija kubainika ni la kigaidi watasemaje?. Kama matukio mengine yanayo fanana na hilo wanasema ni matukio ya kigaidi why this not?

Forget about that! Unajua Hawa waleta mada na wachangiaji wengine wanaleta hoja za ajabu za ukandamizaji wa Haki mpaka ukiwa unajibu Morari inapanda! Anyway! Siku zote watetea haki ndo huitwa Magaidi mifano halisi mingi ipo!
 
Hapa ndipo tunaona "double standard": Tindikali dhidi ya Wanzungu si ugaidi, ila ile dhidi ya mwana CCM igunga ni ugaidi; Mabomu ya Arusha kanisani na Sowetto; Ulimboka na Kibanda; etc.

Najifunza mengi sana jinsi njia ya mwongo ilivyo fupi.

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom