josam
JF-Expert Member
- Nov 22, 2011
- 2,252
- 1,046
Baada ya maelezo yangu ya kushangaa, napendekeza yafuatayo:
1. Serikali isimamie sheria inazotunga kupitia Bunge. Mawaziri wanaojaribu kufuata sheria mbona wanasifiwa? Tanzania tunazo sheria ambazo zinaweza kutusaidia kudhibiti baadhi ya mambo paoja na kwamba zinamapungufu. Hatuzitumii/ kuzifuata. Sheria ya udhibiti wa kemikali (Industrial and Consumer chemical (Management and Control) 2003 na marekebisho yake ni nzuri na haina mchezo juu ya uzalishaji, usafirishaji, utunzaji na matumizi ya kemikali! Kemikali nyingi zimetajwa na meno ni makali haswa! Kwa nini haifuatwi?????
2. Sheria ya kudhibiti vyakula, dawa na mamlaka zake; Food, Drugs and cosmetics Act 2003, hazina mapungufu makubwa juu ya udhibiti hata wa kadili juu ya umiliki na matumizi ya kemikali. Sheria zote zinamaelekezo na matakwa kisheria ya kuzalisha, kusafirisha, kutumia, kuhifadhi na kutupa!!!!
Tunataka vyombo vifuatavyo vifanye kazi zao
1. GCLA - Mkemia mkuu
2. NEMC - Mazingira
3. TFDA -
4. OSHA Tanzania
5. DPP
6. Ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali
Wote hao wana nafasi ya kudhibiti mienendo yote ya Kemikali kama nivyotaja hapo juu. FANYENI KAZI ACHENI MAZOEA! Kodi Mnayolipwa mishahara, maghari, masomo, vitumbua na chai ofisini vinafaida gani kwa Mwananchi???
1. Serikali isimamie sheria inazotunga kupitia Bunge. Mawaziri wanaojaribu kufuata sheria mbona wanasifiwa? Tanzania tunazo sheria ambazo zinaweza kutusaidia kudhibiti baadhi ya mambo paoja na kwamba zinamapungufu. Hatuzitumii/ kuzifuata. Sheria ya udhibiti wa kemikali (Industrial and Consumer chemical (Management and Control) 2003 na marekebisho yake ni nzuri na haina mchezo juu ya uzalishaji, usafirishaji, utunzaji na matumizi ya kemikali! Kemikali nyingi zimetajwa na meno ni makali haswa! Kwa nini haifuatwi?????
2. Sheria ya kudhibiti vyakula, dawa na mamlaka zake; Food, Drugs and cosmetics Act 2003, hazina mapungufu makubwa juu ya udhibiti hata wa kadili juu ya umiliki na matumizi ya kemikali. Sheria zote zinamaelekezo na matakwa kisheria ya kuzalisha, kusafirisha, kutumia, kuhifadhi na kutupa!!!!
Tunataka vyombo vifuatavyo vifanye kazi zao
1. GCLA - Mkemia mkuu
2. NEMC - Mazingira
3. TFDA -
4. OSHA Tanzania
5. DPP
6. Ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali
Wote hao wana nafasi ya kudhibiti mienendo yote ya Kemikali kama nivyotaja hapo juu. FANYENI KAZI ACHENI MAZOEA! Kodi Mnayolipwa mishahara, maghari, masomo, vitumbua na chai ofisini vinafaida gani kwa Mwananchi???