DC wa Iramba ajitumbua mwenyewe

DC wa Iramba ajitumbua mwenyewe

vipi bibi, serikali ya parokia imekukasirisha nini?
Hapakazi tu, watendaji wazuri ndo walio na wanaoendelea kuteuliwa
Hayo maneno yanamuudhi bibi yetu, anaona 2020 haifiki, muda wa kukata suruali na kuvaa makobasi magogoni imehamia msoga. Sasa ni kazi tu.
Usishangae akahamia cuf, ingawa damu yake ya kijani.
 
Katika hali isiyotarajiwa DC wa Iramba Lucy Mayenga ambaye pia ni Mbunge wa viti maalumu amuomba Rais amuache kwenye uteuzi wa wakuu wa wilaya kwani ukuu wa wilaya umemsababishia biashara zake huko Shinyanga kwenda vibaya.

Hii aliongea wakati alipokutana na UWT huko Shinyanga ambapo inasemekana Waziri Mkuu alivyopita pande hizo Mkuu huyo wa Wilaya alimuomba Waziri Mkuu amwambie Rais asimteue tena.

Mheshimiwa Waziri Mkuu akamwambia asubirie uteuzi mpya na amesema isitafsiriwe kuwa ameshindwa kwenda na kasi ya Rais.

My take:
Inawezekanaje mteule wa Rais aseme sasa kuwa biashara zake zinaenda vibaya kisa ukuu wa wilaya? Je hapo mwanzo hakuliona hilo?
Source: magazeti ya leo.

Hongera sana binti! Huu ndio uongozi siyo kung'ang'ania hata kama umetingwa, acha wengine wenye nafasi wafanye. Safi sana Lucy.
 
Faiza fox mwaka jana alipiga kelele kweli kutetea ccm, nafikiri aliahidiwa ki post flani ila sasa ameona hata dalili za japo U DC hamna kabisa! Pole mama ni wengi waliahidiwa hasa na Riz Moko ila kwa Makufuli wamedunda 'kumwombea' watu kama ilivyozoeleka!
Anajuta kimya kimya kupiga kampeni, bora angekaa kimya. Sasa ameamua kuunda id tofauti ili achangie kwa uhuru, kumbe hajui makada wenzake tunamfuatilia, hata nyumba 10 hapati. Pole sana,
 
Huyu ni moja ya vile vipoozeo vya Mzee wa Msoga nini?
Picha tafadhali
 
I see!!!Kumbe ndio huyu?basi sawaaaaaa
image.jpeg
 
Mwaka huu hakuna kubebana vyeo 2 mtu mmoja! Wabunge wote wataukosa u DC: Kina Stella Manyanya na wengine walibebwa sana maana walikuwa wanavuta mishahara 2!
Wakati Stella alipokua mkuu wa mkoa rukwa alikua akipokea mshahara gani mwingine?
 
Hata hivyo anahudumu nafasi zaidi ya moja, si rahisi kutoa matokeo yanayotarajiwa kwenye nafasi zote bora apumzike badhi ya nyazifa.
 
Mbunge wa viti maalumu
Ali kuwa anaropoka matusi bungeni utafikiri yupo kwenye kifua cha mkwere
Hahaha kifua cha mkwere? Fafanua kdg. Hivi kumbe alikua mbunge viti maalumu? Hivi unaweza kua mkuu was mkoa na mbunge pia. Maana yule gama aliyekua kilimanjaro alijiuzuru u RC ili kugombea ubunge
 
Back
Top Bottom