Kibona_Son
Member
- Dec 31, 2015
- 12
- 5
Ameona kwa utawala huu propaganda za kisiasa hazipo, kilichopo ni kufanya kazi kwa vitendo na si kukaa ofisini tena. Ni bora ameliona hilo na kujiondoa mwenyewe.
Sikuhizi umebadirika sana Mkuu! Mdogo Mdogo umeanza Kuona Nyeupe Ni Nyeupe sio Njano tena!Kaona hailipi.
vipi bibi, serikali ya parokia imekukasirisha nini?Kaona hailipi.
Mmeanza lini kuamini CCM kuna asiyelipa..??!Kaona hailipi.
Siku hizi umekua sasa..Kaona hailipi.
Labda kaona kwa sasa dili hazipigiki kabisa.Kaona hailipi.
Jamani nafasi bado zipo, msiwakatishe tamaa watu. Wilaya zote za Tanzania hii watakosa kweli?Faiza fox mwaka jana alipiga kelele kweli kutetea ccm, nafikiri aliahidiwa ki post flani ila sasa ameona hata dalili za japo U DC hamna kabisa! Pole mama ni wengi waliahidiwa hasa na Riz Moko ila kwa Makufuli wamedunda 'kumwombea' watu kama ilivyozoeleka!
hahaha.. hapo mwishoni sijakuelewa kabisa mkuu...Hata wewe siku hizi kuitetea ccm na viongozi wake hailipi kwa sababu ya magu sio mkata suruali mwenzenu!
Wewe mtwa mkulu, mbona umepost maneno yangu aisee? Yaani nilimuuliza huyu mama mkwe wangu faizafoxy umetoka ICU au kuna mtu anamjibia?umekuwa mpole mno mamaangu @faizafox
Haha hivi mkuu wa wilaya ni mtumishi wa umma?Automatically Lucy anakosa sifa kutokana na sheria ya Utumishi wa Umma unaomtaka mfanyakazi kuacha kazi ya serikali Mara akishateuliwa kuwa mbunge na NEC
Kwa hiyo ameona hilo ndio maana ameamua kuomba na asingeweza kuendelea kutokana na sheria hiyo iliyoanza kutumika mwaka Jana!
Faizafoxy ni kada, ila nashangaa jana kajibu post moja kuwa Nyerere alikuwa dictator.Huyu nae ameona hailipi kumtetea JPM
U DC kazi ya kimaskini sana.Kaona hailipi.
ameamua kujihami mapema maana hawa ndio walikuwa wanaacha maswali juu ya teuzi zao
Bibi kahamia upinzani, ana id zaidi ya 33 humu anawatukana makada wenzake na kuwatuhumu wanaunda maporokia.Mnataka kusema bi faiza foxy aliambulia nini kwa kumtetea wa dini yake miaka yote? Au ndo kuwa tu nyumba ndogo ya kiimani tu basi? Maana sijamsikia kwenye ubunge,ukuu wa wilaya labda tusubiri ukuu wa wilaya. Though kwa Dr Magufuli sidhan maana Huyu Dr aliyeenda shule kiukwel ana nia ya dhati ya kulikomboa taifa hili lililohujumiwa kwa miaka 10
Hahaa, mama amejichokea, mwacheni apumzike kwa amani. Ana id zaidi ya 20 anatumua kuwatukana makada wenzake humuSikuhizi umebadirika sana Mkuu! Mdogo Mdogo umeanza Kuona Nyeupe Ni Nyeupe sio Njano tena!
Usizungumze usichokijua. Chimba mambo kwanza ndio uandike. UDC ni cheo cha siasa.Automatically Lucy anakosa sifa kutokana na sheria ya Utumishi wa Umma unaomtaka mfanyakazi kuacha kazi ya serikali Mara akishateuliwa kuwa mbunge na NEC
Kwa hiyo ameona hilo ndio maana ameamua kuomba na asingeweza kuendelea kutokana na sheria hiyo iliyoanza kutumika mwaka Jana!