DC wa Iramba ajitumbua mwenyewe

DC wa Iramba ajitumbua mwenyewe

Ameona kwa utawala huu propaganda za kisiasa hazipo, kilichopo ni kufanya kazi kwa vitendo na si kukaa ofisini tena. Ni bora ameliona hilo na kujiondoa mwenyewe.
 
Faiza fox mwaka jana alipiga kelele kweli kutetea ccm, nafikiri aliahidiwa ki post flani ila sasa ameona hata dalili za japo U DC hamna kabisa! Pole mama ni wengi waliahidiwa hasa na Riz Moko ila kwa Makufuli wamedunda 'kumwombea' watu kama ilivyozoeleka!
 
Faiza fox mwaka jana alipiga kelele kweli kutetea ccm, nafikiri aliahidiwa ki post flani ila sasa ameona hata dalili za japo U DC hamna kabisa! Pole mama ni wengi waliahidiwa hasa na Riz Moko ila kwa Makufuli wamedunda 'kumwombea' watu kama ilivyozoeleka!
Jamani nafasi bado zipo, msiwakatishe tamaa watu. Wilaya zote za Tanzania hii watakosa kweli?
 
Automatically Lucy anakosa sifa kutokana na sheria ya Utumishi wa Umma unaomtaka mfanyakazi kuacha kazi ya serikali Mara akishateuliwa kuwa mbunge na NEC

Kwa hiyo ameona hilo ndio maana ameamua kuomba na asingeweza kuendelea kutokana na sheria hiyo iliyoanza kutumika mwaka Jana!
Haha hivi mkuu wa wilaya ni mtumishi wa umma?
 
ameamua kujihami mapema maana hawa ndio walikuwa wanaacha maswali juu ya teuzi zao

Huyu Lucy Mayenga alipokuwa mbunge na DC enzi ya Kikwete biashara zake zilikuwa zinakwenda vizuri lakini alipoingia Magufuli ndio biashara zake zimeanza kudorola? Ukweli ni kwamba kwa vyovyote vile Magufuli asingemteua kuwa DC hata kama sheria ingeruhusu kwani Magufuli hana hulka ya mkweree; yeye akienda mikoani ni KAZI TU!!!
 
Iramba watatumbuliwa wote, huyo mbunge wao tu ashukuru halmashauri kuu ya juzi kati ndio imemzuia Magu (muzee ya bastola) lakini angesharara nae mberee………!
 
Mnataka kusema bi faiza foxy aliambulia nini kwa kumtetea wa dini yake miaka yote? Au ndo kuwa tu nyumba ndogo ya kiimani tu basi? Maana sijamsikia kwenye ubunge,ukuu wa wilaya labda tusubiri ukuu wa wilaya. Though kwa Dr Magufuli sidhan maana Huyu Dr aliyeenda shule kiukwel ana nia ya dhati ya kulikomboa taifa hili lililohujumiwa kwa miaka 10
Bibi kahamia upinzani, ana id zaidi ya 33 humu anawatukana makada wenzake na kuwatuhumu wanaunda maporokia.
My take: ukivuliwa nguo hadharani chuchumaa kaa kimya, hakuna namna nyingine tena.
 
Sikuhizi umebadirika sana Mkuu! Mdogo Mdogo umeanza Kuona Nyeupe Ni Nyeupe sio Njano tena!
Hahaa, mama amejichokea, mwacheni apumzike kwa amani. Ana id zaidi ya 20 anatumua kuwatukana makada wenzake humu
 
Automatically Lucy anakosa sifa kutokana na sheria ya Utumishi wa Umma unaomtaka mfanyakazi kuacha kazi ya serikali Mara akishateuliwa kuwa mbunge na NEC

Kwa hiyo ameona hilo ndio maana ameamua kuomba na asingeweza kuendelea kutokana na sheria hiyo iliyoanza kutumika mwaka Jana!
Usizungumze usichokijua. Chimba mambo kwanza ndio uandike. UDC ni cheo cha siasa.
 
Back
Top Bottom