Heloo
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 4,391
- 3,409
Huyuu Mdada mzuriiii jichoooo iloo mashalahhh..ila Ukweli Ni kwamba Huyu Ni Wa enzi Wa Amina Chifupa kipindi Amina anachaguliwa vitu maarumu Na yeye alishinda akiongoza kwa kura Amina akimfuata kwa vijana....Unakumbuka siku moja nikiwa Na ndugu yangu mmoja kasigara...tukiwa Millenium Towers ya Makumbusho akutokea ATM za CRDB alisalimiana Na huyo ndugu yangu kati ya Maneno waliyoongea kidogo Na ambayoo siwezi kumsahau Ni pale alipoulizwa Mbona wewe sio Mtata muongeaji ili kujipatia Umaarufu kama Chifupa????akacheeeka Na kujibu:Siasa naijuaa Na wkt mwingine Ni mchezo mchafu akasema yeye anahakikisha anachangia kwa njia ya maandishi Na kamwe hawezi Fanya siasa ya sifa huku akijihatarishia Maisha yyake..cha msingi anapata manufaa anayoyapata Maisha yanasongaaa.. huyuu ndiye Lucy Mayenga with High profile!!!