DC Songwe: Vijana Msipende Wenye Misambwanda, Wana Gharama Kubwa

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,115
49,833
Vijana msio na pesa Kuna ujumbe wenu hapa kutoka Kwa DC.

=======
MKUU wa Wilaya ya Songwe, Solomon Itunda amewataka vijana kuacha kubabaika na kupagawa na wanawake wenye makalio makubwa (mizigo) hali inayosababisha kuhonga mpaka mitaji yao ambapo amewakumbusha kuwa baadhi ya mizigo ina gharama zake ikiwemo kufilisi vijana mitaji na hata kupata magonjwa.

Itunda amesema hayo wakati wa kongamano la kujadili namna ya kuzuia ajali wilayani humo lililowahusisha zaidi ya vijana 1,000 ambao ni madereva wa bodaboda, bajaji, guta, noah na taksi lililofanyika katika Mji wa Mkwajuni ambapo amesema wakati mwingine madereva husababa isha ajali kutokana na kuwaangalia wanawake hao wakati wao wakiwa wanaendesha
 
Ni kweli wenye misambanda mikubwa ni ghali kuwapata kwa kuwa soko lao ni kubwa. Hawa wengine shapeless and pollygon hawana soko unawapata hata kumi kwa jero jero tu, hata buku wanachukua na wanaona kubwa. Ugomvi mkubwa wa wanaume hutokea katika kutaka kumiliki mwenye msambwanda. Ukioa mwenye msambwanda tegemea kusalitiwa na kuibuka mgogoro mkubwa ndoani kwani wanaume wengi wakware watataka kumuonjea mpiko
 
Kukomesha Hii Tabia Ya Viongozi Kuropoka Kama Huyu DC, Marry Chatanda
WA Aina Hiyo Wangefutwa Kazi Haraka Sana Tena Mchana
 
Kukomesha Hii Tabia Ya Viongozi Kuropoka Kama Huyu DC, Marry Chatanda
WA Aina Hiyo Wangefutwa Kazi Haraka Sana Tena Mchana
yupo mwingine ni mkuu wa mkoa mwanamke naye hutamka bila aibu wala kupepesa macho mambo kama haya. Huyu dc wange match kama wangefanya nae kazi mkoa mmoja. Anyway, kila kiongozi ana hulka na haiba ya kuongea kwa hadhira yake
 
Nani atafute hayo matatizo, kwanza machafu,bibi ana kilo 150 kuna raha gani hapo km si adhabu?
Mi na vimbaumbau vyangu tu mpk kifo mambo kubeba zigo la tako na mirangirangi kibao upenuni badae UTI hiyo.
awali sikuwa mfuasi wa kupenda misambwanda, mi nilipendelea ma model na ma portable tu hayo matipwatipwa sikuyapenda kabisa. Ilifika wakati nikataka niyaonjee mpiko nijue yana ladha gani? Duh! Nilikutana na changamoto kubwa kunako uwanja wa mechi, mapigo yao ni tofauti na wasio na misambwanda. Hawa wenye misambwanda pigo zao ni tofauti. Wanachoka haraka hawana pumzi ya kwenda mwendo mrefu, dakika kumi zinawatosha. Sarakasi hawaziwezi ni wazito na kubinuka ni shughuli pevu
 
DC anaongelea matatizo ya vijana mnasema analopoka mlitaka asiongee wakati tatizo lipo na yeye yupo hilo eneo anaona kabisa vijana wanakesha na boda boda harafu hela zao zinaishia kuhonga wenye migongo wacha aongee ili atatue tatizo kuliko kuficha tatizo tutawapoteza vijana kwa migongo..
 
Nani atafute hayo matatizo, kwanza machafu, bibi ana kilo 150 kuna raha gani hapo km si adhabu?

Mi na vimbaumbau vyangu tu mpk kifo mambo kubeba zigo la tako na mirangirangi kibao upenuni badae UTI hiyo.
Kula nguruwe aliyenona
 
Vijana msio na pesa Kuna ujumbe wenu hapa kutoka Kwa DC.

=======
MKUU wa Wilaya ya Songwe, Solomon Itunda amewataka vijana kuacha kubabaika na kupagawa na wanawake wenye makalio makubwa (mizigo) hali inayosababisha kuhonga mpaka mitaji yao ambapo amewakumbusha kuwa baadhi ya mizigo ina gharama zake ikiwemo kufilisi vijana mitaji na hata kupata magonjwa.

Itunda amesema hayo wakati wa kongamano la kujadili namna ya kuzuia ajali wilayani humo lililowahusisha zaidi ya vijana 1,000 ambao ni madereva wa bodaboda, bajaji, guta, noah na taksi lililofanyika katika Mji wa Mkwajuni ambapo amesema wakati mwingine madereva husababa isha ajali kutokana na kuwaangalia wanawake hao wakati wao wakiwa wanaendesha
CCM wanawaza ngono tu
 
Back
Top Bottom